joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #41
hahahaha, haijawahi tokea Tanzania kuuza chakula kingi nje ya nchi kama hawamu hii, " Inflation rate kuwa stable and very low ", Shilingi ya Tanzania kuwa stable, na bei za vitu kuwa stable.Kemu leta bei ya petrol na diesel hapa...
Halafu nasubiria uniletee vijiji kenya kando na northern kenya watu hawalimi wanategemea kununua vyakula madukani...
Tatizo mnajipandikizia mambo tu yasiyoeleweka...
Halafu km ni bei za bidhaa ni juzi tu tumecheki kenya na tanzania bei hazikupishana mbali...endeleeni kuunga juhudi tu, mkishtukizia nchi magufuli kaiharibu..
Katila awamu zote nne zilizopita, awamu hii tanzania maisha yamepanda zaidi mno...tanzania ya sasa sio ile ukiwa na tsh50k unajikuta uko juu....sai ni hela ndogo sana
Haijawahi tokea miradi mikubwa kujengwa kwa wakati mmoja kama safari hii, bei za UMEME na MAJI kufikia kiwango cha chini kama wakati huu, hii ndio sababu wakenya wengi wanataka kuja kuishi Tanzania.