Pre GE2025 Hivi ndio tuseme Wahariri wanaamini Tanzania hakuna ‘Electoral fraud’?

Pre GE2025 Hivi ndio tuseme Wahariri wanaamini Tanzania hakuna ‘Electoral fraud’?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hujawaelewa wahariri.
Wahariri walimpa TL fursa adhimu ya kufafanua zaidi msingi wa hoja za Chadema za 'No reform, No elections", na walidodosa kubainisha jinsi msimamo huo ulivyo vigumu kutekelezeka katika mazingira na utamaduni wa kitanzania...

Bahati mbaya TL alipofikishwa kwenye 'ukuta'... kama wasipopata uungwaji mkono na watanzania walio wengi, atafanyaje...
Majibu yake yameumbua na kupambanua uwezo wake wa ustahimilivu wakati wa kujadili na kushughulikia mambo nyeti ya kitaifa yenye mitazamo kinzani.
We Kapongo, hivi Kasongo ni ndugu yako?
 
Wahariri wengu bongo hii ni makasuku wa mfumo, wengine ni waoga, wengine wananufaika na mfumo huu dhalimu.
 
Unajuwa maana ya United republic of Tanzania au unajitoa ufahamu. Nakupa mifaano ya nchi zaidi ya moja kuungana. United Kingdom, United states of America, United arab emirates zingine endeleza wewe......
Itakuwa hujui aina za miungano
Tafadhaali fahamu kwamba kuna unitary type na federalism type.
Nchi zikiungana zinapendekkeza Mungano wa aina gani kati ya aina mbiii hizo.
Tanzania tulichagua unitary type .
Hata katiba yetu inaeleza hivyo.
Tafadhali soma katiba yetu ukurasa wa kwanza.
Pia jielimishe kuhusu aina za miungano ya serikali

Dah kumbe wewe jamaa ni kilaza namna hii ndio maana unabishana kipuudhi akili zako ni ndogo sana
 
Itakuwa hujui aina za miungano
Tafadhaali fahamu kwamba kuna unitary type na federalism type.
Nchi zikiungana zinapendekkeza Mungano wa aina gani kati ya aina mbiii hizo.
Tanzania tulichagua unitary type .
Hata katiba yetu inaeleza hivyo.
Tafadhali soma katiba yetu ukurasa wa kwanza.
Pia jielimishe kuhusu aina za miungano ya serikali

Dah kumbe wewe jamaa ni kilaza namna hii ndio maana unabishana kipuudhi akili zako ni ndogo sana
Umezunguka mwisho wa siku hapa sijakuelewa unataka kusema nini. Swali Tanzania ni nchi mbili au nchi moja.
 
Itakuwa hujui aina za miungano
Tafadhaali fahamu kwamba kuna unitary type na federalism type.
Nchi zikiungana zinapendekkeza Mungano wa aina gani kati ya aina mbiii hizo.
Tanzania tulichagua unitary type .
Hata katiba yetu inaeleza hivyo.
Tafadhali soma katiba yetu ukurasa wa kwanza.
Pia jielimishe kuhusu aina za miungano ya serikali

Dah kumbe wewe jamaa ni kilaza namna hii ndio maana unabishana kipuudhi akili zako ni ndogo sana
Haya mwenye akili kubwa sisi na UK ni unitary umeonaje uwakilishi wa Scotland, Wales na NI? wale wana madaraka yao ya ndani makubwa tu na pia wana uwakilishi mkubwa kwenye serikali kuu.
 
Umezunguka mwisho wa siku hapa sijakuelewa unataka kusema nini. Swali Tanzania ni nchi mbili au nchi moja.
Screenshot_20250305_155943_All Document Reader.jpg
 
Ni bora kuondoa rasmi jina United republic of Tanzania iwe Republic of Tanzania.
Ndio.maana watu wenye akili kukuzidi wewe ambaye hata haueleweki upo wapi wanata reforms
Reforms kwenye katiba hadi mifumo ya uchaguzi.
Nakushauri badala ya kubishabisha vitu ambavyo huvielewi jaribu kujielimisha kidogo manake coments zako zinaonyesha jinsi ulivyo mpumbavu
 
U
LISU ajifunze na aone hali halisi ya mapokeo ya agenda zake ngumu kumeza kama hii ya No Reform No Election. Yaani huku mitaani SIO CDM wala CCM wote hayupo anayehangaika na agenda hii.
TL ajifunze kwa mtangulizi wake. Jamii ya watanzania haina huo utamaduni wa siasa za "kiuanaharakati".
Tukiongea na mapovu mdomoni huku shingo imekukakamaa tu, watanzania wanakudharau.
Watanzania wako tofauti kabisa na wakenya Mathalan ktk ishu ya Gen Z majuzi.
Kingine cha mwisho ni maendeleo na huduma za msingi zilivyosambazwa kote nchini
1. Maji
2. Umeme
3. Mabarabara
4. Shule na miundombinu yake
5. Fedha Iko mitaani
6. Private sector imepewa kipaumbele
7. Hela mitaani zipo
8. Ajira ndogo ndogo kibao, kuanzia bodaboda, viwandani, migodini n.k
UTULIVU huu wa nchi unawafanya hasa VIJANA wasite kutibua equilibrium kwa kuingia kwenye harakati za hovyo.
Akikubali kushauriwa basi aachane tu na na msimamo mkali wa no election.
Bora ashirikiane na WENZAKE kuhakikisha reform zinaendelea kutafutiwa platforms zingine ikibidi mashinikizo ya kimataifa zaidi. Ila kuzuia uchaguzi ni kujidhalilisha tu
Umeandika kichawa sana, usitusemee sie tusioendekeza njaa na uchawa
 
Wahariri wanajua dhulma zote lkn wanavizia teuzi,matangazo ya biashara Toka serikalini na wanahofu wasifungiwe au kuazoriwa gwanda.
Ni aibu kwamba tuna wanahabari wengi maskini,wenye njaa za vyeo,wanaojipendekeza kwa Rais nawatu wake kichawachawa.
 
Ndio.maana watu wenye akili kukuzidi wewe ambaye hata haueleweki upo wapi wanata reforms
Reforms kwenye katiba hadi mifumo ya uchaguzi.
Nakushauri badala ya kubishabisha vitu ambavyo huvielewi jaribu kujielimisha kidogo manake coments zako zinaonyesha jinsi ulivyo mpumbavu
Yaani wewe katika watu wana akili ndogo wewe jitafakari, maana nakusoma hata sikuelewi unasimamia nini naona unaandika tu mwisho hujui huyu mtu anaongea nini? wapi nimesema nataka reforms na wapi nimesema nataka katiba. jingaaaa kubwa njaa mbaya sana.
 
Ndio.maana watu wenye akili kukuzidi wewe ambaye hata haueleweki upo wapi wanata reforms
Reforms kwenye katiba hadi mifumo ya uchaguzi.
Nakushauri badala ya kubishabisha vitu ambavyo huvielewi jaribu kujielimisha kidogo manake coments zako zinaonyesha jinsi ulivyo mpumbavu
Baada ya kukukosma nimekuelewa mwana Chadema mwanaharakati. Reform mama yako mbwa wewe mtabaki humu humu mitandaoni. Nani awape nchi kenge nyie njaa mpaka matakoni.
 
Back
Top Bottom