MwajabuOmary
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 384
- 418
Ni suala la unafiki kuwa kwa sasa linalipaBado wana akili za uoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni suala la unafiki kuwa kwa sasa linalipaBado wana akili za uoga
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.
Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.
Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.
Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.
Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.
Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
"Mfano mzuri ni kilichotokea kabla, wakati na baada ya uchaguzi mkuu chamani". Tueleze kasoro zilizotokea kwenye huo uchaguzi ili tuweze kufananisha.There is something in human, when they've an agenda of their own, it's been always manifested that no amount of truth will do.
Kabla ya kuwalaumu hao, zingatia kwamba hata ndani ya CDM yenyewe takriban nusu ya makada wakubwa haziivi na TAL.
Mfano mzuri ni kilichotokea kabla, wakati na baada ya uchaguzi mkuu chamani.
Pili, hao wahariri walitakiwa kufanya nini, kwa mfano? Kusimpathaiz na TAL?
I mean, what did you expect that did not happen?
Tambua kwamba politics ni a game of influence and winning all groups - media outlets included.
Kama TAL alishindwa kuwashawishi hao, hilo ni kosa lake. Kama wahariri hawakuwa tayari kushawishiwa vyovyote vile, basi hilo ni kosa lao na pigo kuu kwa taifa.
Mwisho lakini si kwa umuhimu, hivi wahariri nao wana haki ya kuchagua upande wa kisiasa?
Kama ndivyo, hebu fikiria kwao wengi wao wako Sisiemu au chama kingine tofauti na CDM, unategemea nini?
Yote kwa yote, chama chochote cha upinzani kijifunze kwamba kutwaa madaraka, hususan kukiondoa chama tawala, siyo lelemama wala zoezi la usiku mmoja - it's a serious, constant business.
Until then, Sa100 mitano tena!
Unajuwa maana ya United republic of Tanzania au unajitoa ufahamu. Nakupa mifaano ya nchi zaidi ya moja kuungana. United Kingdom, United states of America, United arab emirates zingine endeleza wewe......"Tanzania ni Nchi Moja na ni Jamhuri ya Muungano "
Hivyo ndivyo Katiba yetu inavyoanza .
Wewe hilo la Tanzania ni Nchi mbili umelitoa wapi?
Mapenzi yamekuzidi weweRubbish sio lazima ulete ujinga wako hapa. TL yupo sahihi kabisa tatizo vijana sasa hivi ni wajinga flan hivi. hamtaki kushughulisha akili zenu.
Dar miundombinu ni mizuri sana, je, mbunge wako amewahi kukufikia?Lissu hoja yake ya uwakilishi bungeni dhaifu sana kumsikia akiletea mifano ya Zanzibar na Temeke, yeye hajui kuwa Tanzania ni nchi mbili? akili ya kawaida anataka Zanzibar wawakilishwe na mbunge mmoja tu kwa kuwa wachache. Kaja na mfano wa Dar na Mtwara kufananisha population na uwakilishi. Hajuia Mtwara ki size ni kubwa sana miundombinu sio rafiki kumfikia kila mtu wakati Dar hapo Temeke, Kigamboni, Ilala ni mdomo na pua pamoja na wingi wa watu lakini kufikia ni rahisi na mahitaji ya watu laki 4 temeke au hata wangekuwa laki 1 mahitaji na yaleyale. Mimi nadhani anataka kutuletea mfumo wa USA electoral vote kwenye nchi moja bila kulelewa USA zile ni nchi 50 zimeungana.
Tanzania tuna rais mmoja na bunge moja, achana na hilo la wawakilishi ambao hawatungi sheria za nchi.Unajuwa maana ya United republic of Tanzania au unajitoa ufahamu. Nakupa mifaano ya nchi zaidi ya moja kuungana. United Kingdom, United states of America, United arab emirates zingine endeleza wewe......
wanini? sina shida ya mbunge mimi.Dar miundombinu ni mizuri sana, je, mbunge wako amewahi kukufikia?
Hizo nchi ulisikia wana Maraisi wawili.Tanzania tuna rais mmoja na bunge moja, achana na hilo la wawakilishi ambao hawatungi sheria za nchi.
Robot la MatopeKwahiyo wahariri ni wendawazimu??
Naomba anayejua kutag anisaidie kuwatagi tukianza na Pascal Njaa
Kutag hapa jamii forums ni unafanya tu kama unavyomtag mtu kwenye group la whatsappKwahiyo wahariri ni wendawazimu??
Naomba anayejua kutag anisaidie kuwatagi tukianza na Pascal Njaa
Ni rahisi tu wakibeba mitutu au kutumia ugaidi wanakitoa asubuhi tu. Issue hapa ni namna ya kukitoa kidemokrasia, hao wakiruhusu katiba iheshimiwe mbona wanaondoka asubuhi tu. Si walisema kumuangusha Mbowe haiwezekani lakini uchaguzi ulipokua huru na haki aliondoka mapema kabisa.Yote kwa yote, chama chochote cha upinzani kijifunze kwamba kutwaa madaraka, hususan kukiondoa chama tawala, siyo lelemama wala zoezi la usiku mmoja - it's a serious, constant business.
Kwani mmi nimemchulia,, na poa, Kwani Balele mimi nimesema Anakosa lolote mimi nimewaambia CDM wafanye kama wanavyo fanya wenzao wote wakiwaita waandishi wa habari wakitaka habari zao ziandikwe vizuri. Wawe na uhusiano mzuri na waandishi wa habari badala ya kuwafokea. Wawachukulie kuwa ni muhimili kamili wa nchi japokuwa hua wanaonekana kuwa watu wa kawaida. Ila wakiwachukulia poa watakuwa wanalalamika kila siku kuwa habari zao zinaandikwa zile mbaya tu nzuri haziandikwi. Ushawishi na mahusiano mazuri ndiyo yataweza kupata nafasi kwen,, nye vyombo vya habari vya nchi hii.
Wanajua sana kuwa ipo lakini teuzi zinawabana.Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.
Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.
Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.
Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.
Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.
Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
Hoja kuu ni bunge, wao kila jimbo (state) linatunga sheria zake ambazo haziingiliwi na jamuhuri.Hizo nchi ulisikia wana Maraisi wawili.
Nenda kasome kidogo vizuri state wana vikao vyao vinaongozwa na Mayor huku kwetu kama madiwani na kuna congress hawa wantunga sheria za nchi kupitia Federal Goverment. Hapa Zanzibar wana baraza lao la wawakilishi pia wanasheria zao watunga za ndani ila kuna bunge la jamhuri wana deal na mambo ya Tanzania. Zanzibar wana mambo yao wanajiamulia hata kodi zao wanajipangia ndio maana bidhaa ya Zanzibar inapigwa tax tena huku na mambo mengine.Hoja kuu ni bunge, wao kila jimbo (state) linatunga sheria zake ambazo haziingiliwi na jamuhuri.