Pre GE2025 Hivi ndio tuseme Wahariri wanaamini Tanzania hakuna ‘Electoral fraud’?

Pre GE2025 Hivi ndio tuseme Wahariri wanaamini Tanzania hakuna ‘Electoral fraud’?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.
Huyo Balile ni kada au kwa jina pendwa chawa wa chama. Kazi ya watu kama hao ni upotoshaji, propaganda.
Siyo kwamba hawajui, wanafahamu vizuri kuwa ccm hawapati ushindi halali, ni wizi, unyang'anyi, hadaa.
Lakini machawa hawawezi kusema ukweli, kazi yao ni kupigia debe uongo kwa malipo haramu!!


View: https://x.com/Nipashetz/status/1746897669929292081?t=sCKgMQBF86NDG5E9Jma40w&s=19
 
Mainstream media siku hizi ni mouthpiece ya serikali,wao ndiyo wanaongoza kwa kuimba nyimbo za mapambio na kusifu. Wakijaribu tu kuwa wakosoaji wa serikali basi matangazo ya biashara yatakata,bwana TRA ataweka kambi kwenye ofisi zao.

Mfumo wetu wa vyombo vya habari pamoja na sheria zetu za vyombo vya habari zinafanya vyombo vya habari visiwe huru. Media house ikitaka idumu bila kubughudhiwa lazima ilambe miguu ya mamlaka,ndiyo maana siku hizi hata raia hawazifuatilii sana.

Tushukuru sana uwepo wa internet pamoja na mitandao ya kijamii anbayo serikali haina indirect control. Bila hivyo tungekuwa tunapigwa propaganda masaa 24 kwa siku.
 
Balile anapewa na Lissu series zote za matukio ya vote rigging, wagombea kuenguliwa, mawakala kufukuzwa vituo vya kupigia kura,

Balile hataki kuelewa.
OK, tusimlazimishe.
Mimi sijui, najiuliza hivi Job ethics za mwandishi niku-side upande mmoja mwanzo-mwisho wa dialogue..
 
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.

Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.

Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.

Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.

Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.

Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
Inasikitisha kwa hakika lakini ndiyo nchi ambayo Mungu katuchagulia, labda ana kusudio lake!
Historia ni ndefu lakini yalipofayika maoni kujua nani anataka vyama vingi au kuendlea na chama kimoja, 80% hawakuwa na maoni lakini 20% wakataka vyama vingi. Kwa vile Mwalimu alielewa kuwa hawa 20% ndio wanaofikiri na 80% ni wale wanaopigania mlo wa siku hivyo akasema wasikilizwe hawa 20%.
Inasikitisha kuwa pamoja na teknolojia kutupatia utajiri wa taarifa tumeenda na hii trend hadi miaka 30 bila kubadilika!
Majuzi CAG Prof. Assad alituelezakuwa kiasi kikubwa sana cha wafanyakazi wa umma hawajui hata ni kwa nini wamo maofisini, tukampuuza. Baadae amekuja waziri akasema 40% ni mizigo (huenda hapa waziri alificha aibu kidogo, labda mizigo ni zaidi ya 60%!)
Je, ni nani anajua kama na kwenye fani ya habari (wahariri) nako kuna mizigo!?
Tafiti zitatuonyesha baadae kuwa mizigo ya wahariri ilikuwa kiasi gani na wakati huo hata kama TL atakuwa meshaondoka usije kushangaa sanamu yake inawekwa (kama Martin Luther King Jr ilivyo ikulu ya USA) na kutambulia kama Mtanzania aliyekuwa mbele ya muda wakati 80% wakiwa usingizini.
Yote Kheri
 
Unakubali kuwa kukiondoa chama tawala ni kazi ngumu kwani chama tawala kinatumia nguvu kubwa ya dola, lakini mwishoni unatumbukia kwenye ujinga wa kusema Samia 5 tena! Akili za watanzania ndivyo zilivyo mbovu ndio maana CCM inasitawi sana.

Kosa kubwa alilofanya Lisu ni kutohamasisha vijana kujiandikisha kwa nguvu kubwa sana.

Yaani alitakiwa aseme bila kuwaandikisha vijana wote hakuna uchaguzi.

Muda wa kuandikisha watu umekua mdogo na daftari limejaa marehemu na wazee wa miaka 80 wa vijijini wasiohitaji tena ajira wala elimu bora wala kupigania nchi yao inayoangmiwa kwa rushwa na kuuzwa kwa wageni.

Vijana wasio na ajira na wenye umri wa kupiga kura ni zaidi ya mil. 28 . Hawa wakipiga kura wote hata tume iwe ya Machawa wa CCM wanashindwa kwa kishindo kikubwa .
CCM inashinda uchaguzi kwa sababu ya kuvuruga daftari la mpiga kura ndio maana haijawahi kupata kura zaidi ya mili .12.

Kura za CCM zinaangaliwa wanachama wake kwanza . Ndio maana wananunuaga kadi ili kupunguza nguvu za upinzani kupiga kura.
Kwa hiyo Chadema wamekosea sana kushindwa kuhamasishwa vijana zaidi ya mil 28 kujiandikisha kwenye nchi yenye watu mil 65 ,CCM atachaguliwa na marehemu wengi pamoja na wanachama hai wa CCM wasiozidi mil 9.

Lakini pia Tamko la No reform no Election sio la Lisu .
Lilitolewa na Freeman Mbowe akiwa mwenyekiti.

Hakuna Tamko la Mbowe liliwahi kufanikiwa .Kuanzia UKUTA na matamko mengine kama ya Samia Must go .
Yote ni kwa sababu ni matamko ya kukurupuka na kuacha mambo ya msingi .
Kama kuwaandaa vijana kupiga kura kwa wingi sana . Ni wazi kwa sasa Lisu ni Mwanasiasa mwenye jina kubwa kwa uwezo aliopewa na Mungu. Samia ana jina kwa sababu ya pesa nyingi,madaraka makubwa, mamlaka ya kuteua .Vyombo vya dola,vyombo vya habari kuwekwa mfukoni n.k. Lakini Lisu ni Mtu from ziro tu Hero . Watu kama Lisu ni wachache sana na ndio hasa Chaguo la Mungu. Watu wakimbeza Lisu hasa watanganyika watakuja kumkumbuka watakapoona kuwa nchi na ardhi yote sio mali ya mtu mweusi tena na kila kitu kimeshachukuliwa na wageni kuanzia madini ,wanyama, bandari ,ardhi ,misitu na viwanda na biashara zote kubwa ni mali za wageni . Wenyeji watabaki wakipigwa na mapolisi mpaka siku atakapotokea Shujaa mmoja mwenye uzalendo na utu na kuwaonea huruma waafrika wenzake kama ilivyotokea Kagame,Traore ,Museven,Gadaffi ,Sadam Husein n.k na kurejesha Tanganyika kwa wananchi mili.65 kutoka kwenye mikono ya familia ya watu wasiozidi 20.
 
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.

Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.

Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.

Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.

Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.

Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
Bahasha za kaki ni sumu na adui mkubwa wa tasnia hii ya habari!
 
Inasikitisha kwa hakika lakini ndiyo nchi ambayo Mungu katuchagulia, labda ana kusudio lake!
Historia ni ndefu lakini yalipofayika maoni kujua nani anataka vyama vingi au kuendlea na chama kimoja, 80% hawakuwa na maoni lakini 20% wakataka vyama vingi. Kwa vile Mwalimu alielewa kuwa hawa 20% ndio wanaofikiri na 80% ni wale wanaopigania mlo wa siku hivyo akasema wasikilizwe hawa 20%.
Inasikitisha kuwa pamoja na teknolojia kutupatia utajiri wa taarifa tumeenda na hii trend hadi miaka 30 bila kubadilika!
Majuzi CAG Prof. Assad alituelezakuwa kiasi kikubwa sana cha wafanyakazi wa umma hawajui hata ni kwa nini wamo maofisini, tukampuuza. Baadae amekuja waziri akasema 40% ni mizigo (huenda hapa waziri alificha aibu kidogo, labda mizigo ni zaidi ya 60%!)
Je, ni nani anajua kama na kwenye fani ya habari (wahariri) nako kuna mizigo!?
Tafiti zitatuonyesha baadae kuwa mizigo ya wahariri ilikuwa kiasi gani na wakati huo hata kama TL atakuwa meshaondoka usije kushangaa sanamu yake inawekwa (kama Martin Luther King Jr ilivyo ikulu ya USA) na kutambulia kama Mtanzania aliyekuwa mbele ya muda wakati 80% wakiwa usingizini.
Yote Kheri


Ni kweli kabisa maana hata Polisi na wanajeshi wanajua wazi kuwa Kura zinaibiwa lakini hao hao wanaonyesha hasira zao kwa Wapinzani wanaopinga kufanyika kwa uchaguzi usiofuata kanuni za kidemokrasia na kufuata hata sheria zile zilizopo.
Hivi kweli Jeshi la Polisi na jeshi la wananchi hua hawaonagi matokeo halali ya kura yakibadilishwa ?
Mbona Kamanda Siro aliwahi kukataa uhuni wa kubadili kura akiwa RPC Mwanza kuepusha mauaji na vurugu?

Jeshi la Polisi likiendeleza uhuni wa Wasimamizi wa uchaguzi na CCM ipo siku watasababisha mauaji badala ya kuzuia mauaji na vurugu kwa kusimamia haki na kura halali kutoa mshindi . Hiyo ndiyo haki ambayo hata Mungu wa mbinguni anataka Majeshi yake yasimamie achilia mbali muNGU rais na mwenyekiti wa CCM.

Biblia haikutaja Mungu wa wanasiasa au wa wenyeviti au wa vyama Tawala .
Mungu ni Mungu wa Majeshi ya mbinguni na Duniani.

Hivyo ukiwa na majeshi yasiyosimamia na kutenda haki basi hayo ni majeshi ya mafreemason na watawala wa kifreemason.

Ndio maana nchi zinapokosa uelekeo majeshi ndiyo yanyosimama na kuinusuru nchi kurejea kwenye dira na kujenga nchi yenye usawa maana wanasiasa wakiwemo watawala wengi hawajali usalama wa nchi zaidi ya vyeo vyao na maslahi yao na familia zao. Tofauti na majeshi ambapo viapo vyao wanavilinda hata kama ni wazazi wao wamekiuka sheria wanawashughulikia lakini watawala na wanasiasa wanaangalia maslahi na kunufaisha familia zao hata kwa njia haramu za kifisadi wanatetea na kulinda wetu wao na marafiki zao.

Hivyo majeshi yanatakiwa yasimamie na kuhakikisha uchaguzi unafuata sheria na kura zinaamua raia yupi apewe heshima ya kuongoza nchi na sio mtu mdanganyifu . Maana Majeshi yanafanya kazi chini ya Mungu Mwenyewe .
 
And that's democracy per se! different people, different lines of thoughts. but they must co-exist in harmony despite their differences in their world outlook!
That's the "empty-headiocracy".
 
Vijana wasio na ajira na wenye umri wa kupiga kura ni zaidi ya mil. 28 . Hawa wakipiga kura wote hata tume iwe ya Machawa wa CCM wanashindwa kwa kishindo kikubwa .
Mkuu,
Kote nakubaliana na wewe kasoro hapo nilipo quote. Ccm hawashindi kwa sababu ya idadi ya kura, bali kwa sababu ya anayesimamia upigaji kura na anayetangaza matokeo.

Ndiyo kusema hata kama kwenye kituo Y cha kura kuna wapiga kura 1000, na wote wakachagua mgombea asiye ccm, kwa mfumo wa sasa atakayetangazwa mshindi ni ccm.

Na hapo ndo inakuja mantiki ya Cdm kuwa "No Reform No Election".

Nape aliweka hili vizuri pale aliposema kweli kuhusu wanavyofanya, kuwa:-

"Matokeo ya uchaguzi siyo yale ya kwenye box, inategemea nani ANAHESABU na KUTANGAZA....." - Nape

Msikilize hapa..
👇


View: https://youtube.com/watch?v=bsMYAk6cWaE&si=6_SZUYhMRMmizD3T
 
Kosa kubwa alilofanya Lisu ni kutohamasisha vijana kujiandikisha kwa nguvu kubwa sana.

Yaani alitakiwa aseme bila kuwaandikisha vijana wote hakuna uchaguzi.

Muda wa kuandikisha watu umekua mdogo na daftari limejaa marehemu na wazee wa miaka 80 wa vijijini wasiohitaji tena ajira wala elimu bora wala kupigania nchi yao inayoangmiwa kwa rushwa na kuuzwa kwa wageni.

Vijana wasio na ajira na wenye umri wa kupiga kura ni zaidi ya mil. 28 . Hawa wakipiga kura wote hata tume iwe ya Machawa wa CCM wanashindwa kwa kishindo kikubwa .
CCM inashinda uchaguzi kwa sababu ya kuvuruga daftari la mpiga kura ndio maana haijawahi kupata kura zaidi ya mili .12.

Kura za CCM zinaangaliwa wanachama wake kwanza . Ndio maana wananunuaga kadi ili kupunguza nguvu za upinzani kupiga kura.
Kwa hiyo Chadema wamekosea sana kushindwa kuhamasishwa vijana zaidi ya mil 28 kujiandikisha kwenye nchi yenye watu mil 65 ,CCM atachaguliwa na marehemu wengi pamoja na wanachama hai wa CCM wasiozidi mil 9.

Lakini pia Tamko la No reform no Election sio la Lisu .
Lilitolewa na Freeman Mbowe akiwa mwenyekiti.

Hakuna Tamko la Mbowe liliwahi kufanikiwa .Kuanzia UKUTA na matamko mengine kama ya Samia Must go .
Yote ni kwa sababu ni matamko ya kukurupuka na kuacha mambo ya msingi .
Kama kuwaandaa vijana kupiga kura kwa wingi sana . Ni wazi kwa sasa Lisu ni Mwanasiasa mwenye jina kubwa kwa uwezo aliopewa na Mungu. Samia ana jina kwa sababu ya pesa nyingi,madaraka makubwa, mamlaka ya kuteua .Vyombo vya dola,vyombo vya habari kuwekwa mfukoni n.k. Lakini Lisu ni Mtu from ziro tu Hero . Watu kama Lisu ni wachache sana na ndio hasa Chaguo la Mungu. Watu wakimbeza Lisu hasa watanganyika watakuja kumkumbuka watakapoona kuwa nchi na ardhi yote sio mali ya mtu mweusi tena na kila kitu kimeshachukuliwa na wageni kuanzia madini ,wanyama, bandari ,ardhi ,misitu na viwanda na biashara zote kubwa ni mali za wageni . Wenyeji watabaki wakipigwa na mapolisi mpaka siku atakapotokea Shujaa mmoja mwenye uzalendo na utu na kuwaonea huruma waafrika wenzake kama ilivyotokea Kagame,Traore ,Museven,Gadaffi ,Sadam Husein n.k na kurejesha Tanganyika kwa wananchi mili.65 kutoka kwenye mikono ya familia ya watu wasiozidi 20.
Uchambuzi wako wa mambo unaonesha jinsi wantanzani walivyo na akili finyu na kweli ndio maana ccm inastawi sana. Wewe unafikiri kuwa tatizo ni daftari la wapiga kura? Kwa tume ;ya uchaguzi na mfumo huu wa wakurugenzi walioteuliwa na rais wa ccm unafikiri tatizo ni vijana kutopiga kura? Hata iweje ccm na mfumo mbovu wasipoondoka ni ndoto kwa upinzani kushinda. Mbowe amefanya makubwa mno CHADEMA lakini inasikitisha wajinga hawaelewi, CHADEMA imeendelea kuwepo, TLP, CUF, UDP, NCCR zilishakufa na hazijulikani kama wapo wapi halafu leo hii unasikia mjina anasema eti Mbowe ameua CHADEMA! Watanzania mnakosa akili sana.
 
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.

Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.

Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.

Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.

Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.

Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
Kwahiyo wewe ulitaka alichosema Lissu wakibebe hivyo hivyo kama Litania ya Bikra Maria sio?
 
Umeongea

Umeongea vizuri sana je CDM iliandaa bahasha zozote kwa ajili ya hao wahariri. Kama ujuavyo vyombo vyetu vya habari ni njaa tupu issue kubwa kama hii inatakiwa pia na mbinu za ushawishi kwa baadhi ya watu. Hasa huyo Balele. Hata hivyo wanaendelea kujifunza. Kwanza hawawajishutukia tu CHDEMA matukio yao yote waliofanya hakuna hata moja ambalo limetoka kwenye gazeti lolote bado wana imani na vyombo hivyo. CDM wanapaswa wajue kuwa issue za siasa humu ndani nchini ni ngumu sana kwanza huwezi kukut,, a mtu ameweka bendera ya CDM nyumbani kwake siku hizi hiyo nyumba inaweza ikabomolewa tofauti na enzi za kikwete na Mkapa. Hakuna mtu yoyote hivi sasa ambaye yupo tayari kujionyesha yeye ni mpinzani kwa sasa kama si moja kwa moja anacheo chochote kwenye hicho chama. Kwa hiyo hata hivyo vyombo vya habari hakuna hata kimoja ambaacho kipo tayari kuonyesha kuwa kinaungavmkono ajenda za CDM hata kama zinamanufaa kwa sababu wananchi.
Rubbish, wewe unaongea kama mjinga flan hivi,sorry to say so. unashabikia ujinga. CDM is right na ikiwezekana wasishiriki uchaguzi kabla ya Reforms. Wakifanya hivyo na wao watakuwa ni Wajinga kama wewe.
 
Lissu hoja yake ya uwakilishi bungeni dhaifu sana kumsikia akiletea mifano ya Zanzibar na Temeke, yeye hajui kuwa Tanzania ni nchi mbili? akili ya kawaida anataka Zanzibar wawakilishwe na mbunge mmoja tu kwa kuwa wachache. Kaja na mfano wa Dar na Mtwara kufananisha population na uwakilishi. Hajuia Mtwara ki size ni kubwa sana miundombinu sio rafiki kumfikia kila mtu wakati Dar hapo Temeke, Kigamboni, Ilala ni mdomo na pua pamoja na wingi wa watu lakini kufikia ni rahisi na mahitaji ya watu laki 4 temeke au hata wangekuwa laki 1 mahitaji na yaleyale. Mimi nadhani anataka kutuletea mfumo wa USA electoral vote kwenye nchi moja bila kulelewa USA zile ni nchi 50 zimeungana.
Rubbish sio lazima ulete ujinga wako hapa. TL yupo sahihi kabisa tatizo vijana sasa hivi ni wajinga flan hivi. hamtaki kushughulisha akili zenu.
 
Lissu hoja yake ya uwakilishi bungeni dhaifu sana kumsikia akiletea mifano ya Zanzibar na Temeke, yeye hajui kuwa Tanzania ni nchi mbili? akili ya kawaida anataka Zanzibar wawakilishwe na mbunge mmoja tu kwa kuwa wachache. Kaja na mfano wa Dar na Mtwara kufananisha population na uwakilishi. Hajuia Mtwara ki size ni kubwa sana miundombinu sio rafiki kumfikia kila mtu wakati Dar hapo Temeke, Kigamboni, Ilala ni mdomo na pua pamoja na wingi wa watu lakini kufikia ni rahisi na mahitaji ya watu laki 4 temeke au hata wangekuwa laki 1 mahitaji na yaleyale. Mimi nadhani anataka kutuletea mfumo wa USA electoral vote kwenye nchi moja bila kulelewa USA zile ni nchi 50 zimeungana.
Haujamwelewa TAL kamsikilize tena.
 
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.

Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.

Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.

Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.

Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.

Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
Uchawa Everywhere ???!! 😳 Duh 🙄! If so then what is coming next ?!
 
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.

Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.

Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.

Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.

Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.

Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
Balile ambaye eti ni Mwenyekiti wa wahariri wa vyombo vya habari vyote Tanzania hata hawezi kutambua jambo rahisi kabisa kuwa sheria inapopoka mamlaka ya katiba, basi sheria hiyo automatic inakuwa batili...

Anekomaa na kumng'ang'aniza Tundu Lissu akubaliane na ujinga wake, na Tundu Lissu na Mnyika kila wakimwelimisha juu ya upotofu wake ili fikra zake zirudi kwenye mstari sahihi wa kufikiri, kichwa ngumu huyu aliamini kabisa kuwa anachokielewa yeye ni sahihi na akabaki anang'ang'ana kulalia kwenye ujinga wake tu pasipo kuona hata aibu....

Mwisho wa siku Tundu Lissu akaamua kumponda nyundo iliyomfanya ang'ake kwa kuambiwa "your thoughts and questions are completely nonsense". Pamoja na hayo, bado jamaa wala hata hakushituka🤔🤔🤔

Lakini la muhimu jingine nililoliona mimi, ni kwamba, hawa wanaojiita wahariri wa vyombo vya habari, wengi kwa zaidi ya 95% ufahamu na uelewa wao wa ishu mbalimbali ni almost zero. Mfano, wengi hata hawaijui kabisa katiba ya JMT ya 1977 pamoja na sheria mbalimbali zinazosimamia masuala muhimu ya kitaifa ikiwemo hata sheria za tasnia yao ya habari...

Sasa hebu fikiri. Vyombo vya habari vinavyoongozwa na wahariri vilaza kama huyu Balile na wenzake vinaweza kuipa changamoto gani serikali dhalimu kama hii chini ya CCM kwa ajili ustawi na maendeleo ya watu..??

No way, hili👆 haliwezekani asilani kwa sbb hawa wana bei zao na serikali dhalimu siku zote huwaweka kapuni waandishi wajinga kama hawa...!!

Honestly, Vyombo vya habari Tanzania TVs, Radio, magazeti vingi (99%) ni janga la taifa jingine ukiacha ufisadi wa CCM, na serikali yake....!!
 
Kimsingi TAL anasujudiwa na nyumbu wake wa CHADEMA ambao wanamuona kwamba ana akili sana na ni mpenda haki na demokrasia.

Sasa amekutana na magwiji wanaomfahamu fika toka sekondari na harakati zake za kimaisha mfano Pascal Mayalla . Ndiyo maana AMEPWAYA.

LISSU atawadanganya CHEDEMA tu, ila hana KARAMA ya uongozi
Kama hana akili kama wewe unavyomuona na kumtazama, hebu kosoa hoja zake na za CHADEMA moja au mbili tu anazosimamia kwa wewe kuweka hoja zako mbadala ku counter attack hoja zao..

Unajua nini ndugu Stuxnet?

Huwezi na huna hoja yoyote na ukijaribu tu hata kabla hujamaliza sentensi moja wewe Stuxnet utaonekana mjinga na fala kuliko hata Balile mara 1,000,000 kwa namna alivyogeuzwa mjinga fulani ktk mjadala ule..!!

Pole sana Mhariri wa magazeti ya CCM ya Uhuru na Mzalendo...🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
 
Kama hana akili kama wewe unavyomuona na kumtazama, hebu kosoa hoja zake na za CHADEMA moja au mbili tu anazosimamia kwa wewe kuweka hoja zako mbadala ku counter attack hoja zao..

Unajua nini ndugu Stuxnet?

Huwezi na huna hoja yoyote na ukijaribu tu hata kabla hujamaliza sentensi moja wewe Stuxnet utaonekana mjinga na fala kuliko hata Balile mara 1,000,000 kwa namna alivyogeuzwa mjinga fulani ktk mjadala ule..!!

Pole sana Mhariri wa magazeti ya CCM ya Uhuru na Mzalendo...🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
Sasa umeandika nini hapo? Kweli Tundu anaongoza manyumbu
 
Back
Top Bottom