Pre GE2025 Hivi ndio tuseme Wahariri wanaamini Tanzania hakuna ‘Electoral fraud’?

Pre GE2025 Hivi ndio tuseme Wahariri wanaamini Tanzania hakuna ‘Electoral fraud’?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii nchi tunachojari ni kuishi Leo, hatuna principle yoyote,tunaishi kichawa tu,
Juzi nilikuwa naangalia mahojiano ya Kimani Ichungwa, Majority leader katika bunge LA Kenya, na Mehdi Hassan wa Al Jazeera, head to , head, nikawaza hv ukiacha mkapa, kuna mtu yoyote kwenye ccm anaweza kuwa eloquent kiasi kile?, tuna maprofesa, na madokta ambao wakiongea, utafikiri ni vijana wa std 7! jiwe na ndalichako
Kama kigezo ni eloquency nafikiri wapo wengi tu. Kabudi? January? Tax? and the list goes on.. kuna namna watanzania tunajidharau sana.

On top of that English sio lugha yetu ya kwanza au ya pili… by the way BWM alikuwa mwanahabari…
 
Sasa umeandika nini hapo? Kweli Tundu anaongoza manyumbu

Unajifanya kiziwi na kipofu wa ufahamu siyo?

Nimekuambia hivi, chagua hoja moja au mbili tu za CHADEMA/Tundu Lissu zinazobeba maudhui yaliyo ktk movement ya NO REFORMS, NO ELECTION kisha Jenga hoja kanushi ili tukuone kama wewe una akili kweli au ni zoba fulani hivi mpiga mayowe ya ukichaa tu...

Au ngoja nikuchagulie hoja mbili za mfano ili tupime akili na ufahamu wako....;

HOJA #1. MFUMO WA UCHAGUZI KUDHIBITIWA NA RAIS/CCM:

===Je, si kweli kuwa mfumo wetu wa uchaguzi unadhibitiwa na Rais aliyeko madarakani ambaye currently ni Mwenyekiti wa CCM? Wewe unauonaje mfumo huo kwa maoni yako, kwamba huyu Mwenyekiti wa CCM taifa ambaye naye ni mshindani ktk uchaguzi unadhani atashindwa vipi kutumia mamlaka na madaraka yake ya u - Rais vibaya (abuse of powers) ili kujipendelea yeye na chama chake? Be honest, toa maoni yako. Wewe ukweli wako ni upi dhidi ya uongo au uropokaji wa Tundu Lissu/CHADEMA kwenye hili...?

HOJA #2. UCHAFU NA MGAWANYO USIO HAKI WA MAJIMBO YA UCHAGUZI WA WABUNGE:

===Je, sio kweli kuwa Kuna mgawanyo usio sawa wa majimbo ya uchaguzi? Mfano, ni kigezo gani cha kisheria na kikatiba kilichotumiwa na NEC kwa DSM yenye wapiga kura almost 3,500,000 kuwa na majimbo 10 tu ya uchaguzi huku Zanzibar yote yenye wapiga kura 500,000 kuwa na majimbo 50 ya uchaguzi? Au kwanini Jimbo la Handeni vijijini lenye wapiga kura 24,000 Lina hadhi ya Jimbo sawa na Temeke lenye wapiga kura 475,000? Ni kwanini kuna discrepancy ya namna hii ndani ya NEC na serikali? Wewe una hoja gani against kujitetea kwenye hili...?

Ukijibu vyema, nitakuona una akili sana ndugu Stuxnet na nitawaona CHADEMA na Tundu Lissu ni waropokaji sawasawa na akili zako...🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
 
Uchambuzi wako wa mambo unaonesha jinsi wantanzani walivyo na akili finyu na kweli ndio maana ccm inastawi sana. Wewe unafikiri kuwa tatizo ni daftari la wapiga kura? Kwa tume ;ya uchaguzi na mfumo huu wa wakurugenzi walioteuliwa na rais wa ccm unafikiri tatizo ni vijana kutopiga kura? Hata iweje ccm na mfumo mbovu wasipoondoka ni ndoto kwa upinzani kushinda. Mbowe amefanya makubwa mno CHADEMA lakini inasikitisha wajinga hawaelewi, CHADEMA imeendelea kuwepo, TLP, CUF, UDP, NCCR zilishakufa na hazijulikani kama wapo wapi halafu leo hii unasikia mjina anasema eti Mbowe ameua CHADEMA! Watanzania mnakosa akili sana.
Wewe ndio mjinga na mxengerema maji.

Uliona wapi chama tawala duniani lilisaidia chama cha upinzani kukitoa madarakani.

Wewe kama sio juha na mpumbavu Hata uchaguzi ukiwa huru na haki itashinda je kama watu hawajiandikishi .
CCM ina watu zaidi ya mil 10 wa uhakika hata ukiitisha uchaguzi wenye tume iliyoundwa na huyo Mbo we hamuwezi kutoboa bila watu kujiandikisha .

Wewe unaowaita watanzania ni wapumbavu na wajinga kwa sababu ya kukosa mikakati wewe mwenyewe.

Umesadia nini na hizo akili zako unaeoona ziko juu kuliko za watanzania wengine .
Hi unafikiri kuna watu wanawaza hayo mavyama ya siasa kwenye Nchi hizi za Afrika . Kila nchi vijana hawapendi hizi siasa za midomoni .
 
There is something in human, when they've an agenda of their own, it's been always manifested that no amount of truth will do.

Kabla ya kuwalaumu hao, zingatia kwamba hata ndani ya CDM yenyewe takriban nusu ya makada wakubwa haziivi na TAL.

Mfano mzuri ni kilichotokea kabla, wakati na baada ya uchaguzi mkuu chamani.

Pili, hao wahariri walitakiwa kufanya nini, kwa mfano? Kusimpathaiz na TAL?

I mean, what did you expect that did not happen?

Tambua kwamba politics ni a game of influence and winning all groups - media outlets included.

Kama TAL alishindwa kuwashawishi hao, hilo ni kosa lake. Kama wahariri hawakuwa tayari kushawishiwa vyovyote vile, basi hilo ni kosa lao na pigo kuu kwa taifa.

Mwisho lakini si kwa umuhimu, hivi wahariri nao wana haki ya kuchagua upande wa kisiasa?

Kama ndivyo, hebu fikiria kwao wengi wao wako Sisiemu au chama kingine tofauti na CDM, unategemea nini?

Yote kwa yote, chama chochote cha upinzani kijifunze kwamba kutwaa madaraka, hususan kukiondoa chama tawala, siyo lelemama wala zoezi la usiku mmoja - it's a serious, constant business.

Until then, Sa100 mitano tena!
Uko sawa kusema wahariri wako na upande, wameshawishiwa huko. Na sisi hilo tunajua. Pia uko sawa kusema Lisu alitakiwa awashawishi .
Sisi uraiani tunawaona kama kondom tu zinazotumika na kuwa dumped baadae. Kizazi kinachonunulika kwa vipande vya fedha ni tatizo. Na ukweli ndio huu, wasanii, wanahabari aina hizi sio kizazi cha kukitegemea. Kama mwanahabari yuko na upande wake kila habari anayoileta itakuwa imepikwa na ni uselesss news. Sishabikii upinzani na nawaina hawajajipanga lkn sio muumini wa Uchawa na walamba miguu, hii nchi inahitaji maendeleo kwa kizazi kingine inahitaji viongozi na sio comedian na wezi wa rasilimali. Kinachoendelea katika vyama ni uchumia tumbo tu
 
Mkuu,
Kote nakubaliana na wewe kasoro hapo nilipo quote. Ccm hawashindi kwa sababu ya idadi ya kura, bali kwa sababu ya anayesimamia upigaji kura na anayetangaza matokeo.

Ndiyo kusema hata kama kwenye kituo Y cha kura kuna wapiga kura 1000, na wote wakachagua mgombea asiye ccm, kwa mfumo wa sasa atakayetangazwa mshindi ni ccm.

Na hapo ndo inakuja mantiki ya Cdm kuwa "No Reform No Election".

Nape aliweka hili vizuri pale aliposema kweli kuhusu wanavyofanya, kuwa:-

"Matokeo ya uchaguzi siyo yale ya kwenye box, inategemea nani ANAHESABU na KUTANGAZA....."
Msikilize hapa..
👇


View: https://youtube.com/watch?v=bsMYAk6cWaE&si=6_SZUYhMRMmizD3T


Unashindwaje kama hujawandaa wanachama wako kusomeka kwenye Daftari la wapiga kura .

Kwa mfano 2026 Ikaundwa katiba mpya halafu madiwani na wabunge wa CCM wakafa wengi Kuelekea 2030 unaingiaje kwenye uchaguzi wa kupata hizo nafasi wakati huna wapiga kura ?
 
There is something in human, when they've an agenda of their own, it's been always manifested that no amount of truth will do.

Kabla ya kuwalaumu hao, zingatia kwamba hata ndani ya CDM yenyewe takriban nusu ya makada wakubwa haziivi na TAL.

Mfano mzuri ni kilichotokea kabla, wakati na baada ya uchaguzi mkuu chamani.

Pili, hao wahariri walitakiwa kufanya nini, kwa mfano? Kusimpathaiz na TAL?

I mean, what did you expect that did not happen?

Tambua kwamba politics ni a game of influence and winning all groups - media outlets included.

Kama TAL alishindwa kuwashawishi hao, hilo ni kosa lake. Kama wahariri hawakuwa tayari kushawishiwa vyovyote vile, basi hilo ni kosa lao na pigo kuu kwa taifa.

Mwisho lakini si kwa umuhimu, hivi wahariri nao wana haki ya kuchagua upande wa kisiasa?

Kama ndivyo, hebu fikiria kwao wengi wao wako Sisiemu au chama kingine tofauti na CDM, unategemea nini?

Yote kwa yote, chama chochote cha upinzani kijifunze kwamba kutwaa madaraka, hususan kukiondoa chama tawala, siyo lelemama wala zoezi la usiku mmoja - it's a serious, constant business.

Until then, Sa100 mitano tena!
Good analysis, terribly pathetic finishing.
 
Lissu hoja yake ya uwakilishi bungeni dhaifu sana kumsikia akiletea mifano ya Zanzibar na Temeke, yeye hajui kuwa Tanzania ni nchi mbili? akili ya kawaida anataka Zanzibar wawakilishwe na mbunge mmoja tu kwa kuwa wachache. Kaja na mfano wa Dar na Mtwara kufananisha population na uwakilishi. Hajuia Mtwara ki size ni kubwa sana miundombinu sio rafiki kumfikia kila mtu wakati Dar hapo Temeke, Kigamboni, Ilala ni mdomo na pua pamoja na wingi wa watu lakini kufikia ni rahisi na mahitaji ya watu laki 4 temeke au hata wangekuwa laki 1 mahitaji na yaleyale. Mimi nadhani anataka kutuletea mfumo wa USA electoral vote kwenye nchi moja bila kulelewa USA zile ni nchi 50 zimeungana.

"Tanzania ni Nchi Moja na ni Jamhuri ya Muungano "
Hivyo ndivyo Katiba yetu inavyoanza .
Wewe hilo la Tanzania ni Nchi mbili umelitoa wapi?
 
Rubbish, wewe unaongea kama mjinga flan hivi,sorry to say so. unashabikia ujinga. CDM is right na ikiwezekana wasishiriki uchaguzi kabla ya Reforms. Wakifanya hivyo na wao watakuwa ni Wajinga kama wewe.
Sidhani kama umeongea kwa kuangalia madhila yanayotokea kwenye Chaguzi za nchi yetu. yanayo sababishwa na vyombo vya uchaguzi, sidhani kama uliona madhara ya uchaguzi wa 2020 jinsi maelfu ya wanachama na wagombea wa upinzani walivyoteswa bila sababu na wengine wapo ndani mpaka sasa. Tanzania kwasasa hakuna uchaguzi kuna uteuzi Wa wawabunge kwahiyo upige kura usipige wabunge na madiwani wata patikana tu, kura yako siyo inayo mchagua yoyote bali wanao amua nani apite nani asipite na kwa kura ngapi ni hao walioshika mamlaka, mimi sitajisumbua kupiga kura mwaka huu kwasabu nipige au nisipige kura yangu haina maana yoyote. Najua tu kwa vyovyote CCM itapita kwa asilimia 105 ya nini kwenda kujisumbua
 
WASOMI NDIO WANAOTUANGUSHA. Uchawa mwingi mpaka kwa wahariri. Ukiangalia ile video ni dhahiri kuna watu walikuwa wanatetea kundi fulani dhidi ya maslahi ya taifa. Wakati lisu anatetea mstakabali wa taifa wao wanatetea mtu fulani.
Ili mjue watu wameuchoka mfumo wa uchaguzi uliopo angalia idadi ya watu wanaoenda kupiga kura. Wananchi wengi huwa wanasusia uchaguzi maana ni kupoteza muda na pesa zinatumika bure wakati viongozi wameshajulikana nani atakuwa nani.

Na mwaka huu mfumo usipobadilika tutashuhudia idad ndogo sana ya wapiga kura maana watu wamechoshwa na mfumo huu nadhan mumejionea yaliyotokea uchaguzi wa serikali za mitaa. Kuanzia uandikishaji mpaka uchaguzi ni aibu tupu.

MABADILIKO NI HITAJI LA TAIFA KWA MSTAKABALI WA TAIFA
 
Kwahiyo wahariri ni wendawazimu??

Naomba anayejua kutag anisaidie kuwatagi tukianza na Pascal Njaa
Halafu japo sikuwahi kumwelewa Pascal Mayalla , ila nilikuwa najiambia huenda ana kitu ambacho wengine wanaona mimi sioni.

Sasa kwenye hilo la hicho kikao na Lissu nilimsikiliza, mwamba hamna kitu mule.
Ogopa mtu anajiongelesha ilimradi.

Yaani jamaa amejikomba kwa muda mrefu kwa watawala na ameambulia holla, he deserves hollah kwa kweli.
 
Umeongea

Umeongea vizuri sana je CDM iliandaa bahasha zozote kwa ajili ya hao wahariri. Kama ujuavyo vyombo vyetu vya habari ni njaa tupu issue kubwa kama hii inatakiwa pia na mbinu za ushawishi kwa baadhi ya watu. Hasa huyo Balele.
Usimchukulie poa mtu. Huyo Balile unayemuongelea vibaya sio mwenzio kimaisha. Kwanza ni professional , na pia ni mtu wa dini
 
Usimchukulie poa mtu. Huyo Balile unayemuongelea vibaya sio mwenzio kimaisha. Kwanza ni professional , na pia ni mtu wa dini
Kwani mmi nimemchulia,, na poa, Kwani Balele mimi nimesema Anakosa lolote mimi nimewaambia CDM wafanye kama wanavyo fanya wenzao wote wakiwaita waandishi wa habari wakitaka habari zao ziandikwe vizuri. Wawe na uhusiano mzuri na waandishi wa habari badala ya kuwafokea. Wawachukulie kuwa ni muhimili kamili wa nchi japokuwa hua wanaonekana kuwa watu wa kawaida. Ila wakiwachukulia poa watakuwa wanalalamika kila siku kuwa habari zao zinaandikwa zile mbaya tu nzuri haziandikwi. Ushawishi na mahusiano mazuri ndiyo yataweza kupata nafasi kwen,, nye vyombo vya habari vya nchi hii.
 
Kwani mmi nimemchulia,, na poa, Kwani Balele mimi nimesema Anakosa lolote
Umeandika mwenyewe hivi:
"Kama ujuavyo vyombo vyetu vya habari ni njaa tupu issue kubwa kama hii inatakiwa pia na mbinu za ushawishi kwa baadhi ya watu. Hasa huyo Balele."
 
Kwani mmi nimemchukulia,, poa Balele, kwani nimesema anakosa lolote. mimi nimewaambia CDM wafanye kama wanavyo fanya wenzao wote wakiwaita waandishi wa habari,,wakitaka habari zao haziandikwe vizuri. Wawe na uhusiano mzuri na waandishi wa habari badala ya kuwafokea. Wawa,chukulie kuwa ni muhimili kamili wa nchi japokuwa hua wanaonekana kuwa watu wa kawaida. Ila wakiwachukulia poa watakuwa wanalalamika kila siku kuwa habari zao zinaandikwa zile mbaya tu,,, nzuri haziandikwi. Ushawishi na mahusiano mazuri ndiyo yataweza kuwawezesha kupata nafasi
kwe nye vyombo vya habari vya nchi hii.
 
Umeandika mwenyewe hivi:
"Kama ujuavyo vyombo vyetu vya habari ni njaa tupu issue kubwa kama hii inatakiwa pia na mbinu za ushawishi kwa baadhi ya watu. Hasa huyo Balele."
Kwani niongo kwenye kikao kimoja niliwahi kuona waandishi wa chombo fulani wakigombania posho zilizotolewa na mdau aliye waita kila chombo kilitakiwa kiwe na muakilishi mmoja chombo hicho kikawa na wawakilishi wawili wote wanataka wapatiwe takrima.
 
Unakubali kuwa kukiondoa chama tawala ni kazi ngumu kwani chama tawala kinatumia nguvu kubwa ya dola, lakini mwishoni unatumbukia kwenye ujinga wa kusema Samia 5 tena! Akili za watanzania ndivyo zilivyo mbovu ndio maana CCM inasitawi sana.
Kwa akili zetu wananchi zilivyo, kuna uwezekano CCM huwa haiibi kura aisee
 
Kwani niongo kwenye kikao kimoja niliwahi kuona waandishi wa chombo fulani wakigombania posho zilizotolewa na mdau aliye waita kila chombo kilitakiwa kiwe na muakilishi mmoja chombo hicho kikawa na wawakilishi wawili wote wanataka wapatiwe takrima.
Sasa ulitaka kukataa nini kuwa umemchukulia poa Balile kuwa ni miongoni mwa waandishi wa kulegezwa na posho?
 
Unashindwaje kama hujawandaa wanachama wako kusomeka kwenye Daftari la wapiga kura .

Kwa mfano 2026 Ikaundwa katiba mpya halafu madiwani na wabunge wa CCM wakafa wengi Kuelekea 2030 unaingiaje kwenye uchaguzi wa kupata hizo nafasi wakati huna wapiga kura ?
Kwa mfumo wa sasa siyo Daftari la Wapiga Kura wala Sanduku la Kura vinatumika kupata washindi wa uchaguzi.

Kigezo ni WiZI, kuingiza kura bandia, kutangaza matokeo ya uongo, nk.

Wapiga kura wapo ila kwa sasa siyo wajinga, hawaendi kujiandikisha kwa kuwa wanafahamu hata wakipiga kura idadi ya kura zao haizingatiwi, haina tija.
Mifumo ikibadilika watajiandikisha tu..


View: https://youtube.com/shorts/4kAdyEwuvD8?si=JLB0VBzgBqwmbI9z
 
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.

Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.

Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.

Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.

Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.

Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
🌤️🙋‍♂️✍️🎯👏👌👍👊🤝🙏💐🎖️🆒
 
Back
Top Bottom