Hivi ndio vyuo vya kata vya Tanzania

Hivi ndio vyuo vya kata vya Tanzania

Wakuu naomba kuweka wazi kwamba hapa tanzania kuna vyuo vya kata hii ni kutokana na ukweli kwamba vinachukua wanafunzi wabovu ,hamna wahadhiri wa kutosha n.k vyuo vyenyewe ni hivi hapa 1.SAUT 2.Arusha university 3.tia 4.cbe 5.teofilo kisanji 5.MUCCoBS ,ahsanteni

Kuku mgeni hakos kamba mguuni wewe umetoka huko ulkokuwa kwa aibu unataka leta ujinga na ukilaza wako huku,ukisoma post za watu ndo utajua upo kund gan huku kwa GT,unaweza kuwa wa mwisho kabsa hata wakileta pepa ya kujielezea wewe n nam make uwezo wako wa akil unahesabika....back to topc

NBAA wametoa matokeo kwa vyuo vitatu bora Tz walifanya vizur n UD,TIA na IFM y useme havna wataalamu hlo mosi...
PSPTB bodi ya ugavi imetoa matokeo ya level 2013 nafasi ya 1-10 wote wametoka TIA leo useme n chuo cha kata!!!!shame n yo
Sisi watu wazma tuliopo mtaani ndo tunajua n kipi pumba na kip mchele,chuo chuo tu je ulichokipata kitakusaidia maishan mwako?ndo swal hlo sio kulegeza surual ili upewe marks za CA afu uje ujisifie ww watokea Ud cjui Mzumbe.....crewn
 
Wakuu naomba kuweka wazi kwamba hapa tanzania kuna vyuo vya kata hii ni kutokana na ukweli kwamba vinachukua wanafunzi wabovu ,hamna wahadhiri wa kutosha n.k vyuo vyenyewe ni hivi hapa 1.SAUT 2.Arusha university 3.tia 4.cbe 5.teofilo kisanji 5.MUCCoBS ,ahsanteni

hivo vingine sina uhakika na mtazamo wako ila hapo MUCCoBS umechemka!
 
Kuku mgeni hakos kamba mguuni wewe umetoka huko ulkokuwa kwa aibu unataka leta ujinga na ukilaza wako huku,ukisoma post za watu ndo utajua upo kund gan huku kwa GT,unaweza kuwa wa mwisho kabsa hata wakileta pepa ya kujielezea wewe n nam make uwezo wako wa akil unahesabika....back to topc

NBAA wametoa matokeo kwa vyuo vitatu bora Tz walifanya vizur n UD,TIA na IFM y useme havna wataalamu hlo mosi...
PSPTB bodi ya ugavi imetoa matokeo ya level 2013 nafasi ya 1-10 wote wametoka TIA leo useme n chuo cha kata!!!!shame n yo
Sisi watu wazma tuliopo mtaani ndo tunajua n kipi pumba na kip mchele,chuo chuo tu je ulichokipata kitakusaidia maishan mwako?ndo swal hlo sio kulegeza surual ili upewe marks za CA afu uje ujisifie ww watokea Ud cjui Mzumbe.....crewn

Kuna madogo hawajielewi....sasa wewe subiri
Amalize chuo aone libeneke la kupata kazi .anadhani jina UDSM litambeba..yani nyie watoto nawaonea huruma sana..kizazi chenyewe mlicho ni cha shida halafu mnaleta kejeli....wait and u will see...utaishia kusema nimesaka kazi nimekosa...nimeenda interview kachukuliwa wa cbe me nimeachwa...kwann usiachwe na hauko competent....eti mnatambia division 1 zenu za olevel na alevel wajinga sana hawa
 
hahaha, yaani hii story huwa naisema kila siku humu jf. hii tabia ya kujiona bora kuliko wengine huwa naipenda sana. Hata huko kwenye vyuo vya state, kuna wanaojiona wana GPA kubwa na kazi wameandaliwa. Yaani nikikutana nao nafurahije kuwakimbiza? manake wanaingia maofisini na attitude hawajui kuna issues za ofisi mfagiaji na secretary ndo watakuonyesha njia. wanapeperusha gpa tu hahahaha.

Vijana, ukipata elimu hata ya chini ya mwembe changamka! Ukiingia kitaa hutumii notes, ina-adopt na kuadapt tu, period!
 
Wakuu naomba kuweka wazi kwamba hapa tanzania kuna vyuo vya kata hii ni kutokana na ukweli kwamba vinachukua wanafunzi wabovu ,hamna wahadhiri wa kutosha n.k vyuo vyenyewe ni hivi hapa 1.SAUT 2.Arusha university 3.tia 4.cbe 5.teofilo kisanji 5.MUCCoBS ,ahsanteni

Wenyewe wanamind lakini ndo ukweli, ongeza na kingine KIU.
 
There is elements of truth in this thread, angalia GPA zinazo gawiwa vyuo vya private ni za juu na kudisco ni kwa nadra au hakuna. Sasa je wote wana uwezo? Kuna vyuo kama SUA, UDSM,UDOM hata ukipata GPA YA 2.5 huyo mtu anauwezo mkubwa kwa kichwa. Lakini kuna jamaa zangu tulisona nao Adv walikuwa poor academically, wakapata 3 ya mwisho lakini walivyo kwenda private universities wana GPA si chini ya 4 kila mmoja. Hivyo vyuo vya private vingi vinawachukulia wanafunzi wake kama wateja kwa kuwapa alama nzuri ili na kesho waje au walete ndugu zao. Fanya research utapata majibu.
 
Wakuu naomba kuweka wazi kwamba hapa tanzania kuna vyuo vya kata hii ni kutokana na ukweli kwamba vinachukua wanafunzi wabovu ,hamna wahadhiri wa kutosha n.k vyuo vyenyewe ni hivi hapa 1.SAUT 2.Arusha university 3.tia 4.cbe 5.teofilo kisanji 5.MUCCoBS ,ahsanteni

mi nilisoma vyuo vya kata lakini leo ni boss na ninawaongoza waliosoma vyuo visivyo vya kata alafu bro wangu nae alisoma vya kata lakini ana kampuny na amewaajiri hao unaowaita hawajasoma vyuo vya kata .so hacha vikra za kizee
 
There is elements of truth in this thread, angalia GPA zinazo gawiwa vyuo vya private ni za juu na kudisco ni kwa nadra au hakuna. Sasa je wote wana uwezo? Kuna vyuo kama SUA, UDSM,UDOM hata ukipata GPA YA 2.5 huyo mtu anauwezo mkubwa kwa kichwa. Lakini kuna jamaa zangu tulisona nao Adv walikuwa poor academically, wakapata 3 ya mwisho lakini walivyo kwenda private universities wana GPA si chini ya 4 kila mmoja. Hivyo vyuo vya private vingi vinawachukulia wanafunzi wake kama wateja kwa kuwapa alama nzuri ili na kesho waje au walete ndugu zao. Fanya research utapata majibu.

Kwahiyo unataka kusema kuwa vyuo vya serikali ndiyo bora? Umefanya utafiti na kulinganisha productivity na utendaji wao baada ya masomo?
 
Wakuu naomba kuweka wazi kwamba hapa tanzania kuna vyuo vya kata hii ni kutokana na ukweli kwamba vinachukua wanafunzi wabovu ,hamna wahadhiri wa kutosha n.k vyuo vyenyewe ni hivi hapa 1.SAUT 2.Arusha university 3.tia 4.cbe 5.teofilo kisanji 5.MUCCoBS ,ahsanteni


Natamani ungesoma historia ya SAUT ndo uanze kuongea maharage yako. Mi nimesoma SAUT, UDSM na OUT na elimu nakuzidi kwa mbali sana. Umekosa ya kuandika? Kuna watu mashuhuri waliosoma katika baadhi ya vyuo hivyo lakini hawana maringo kama yako. Huenda hata kazi huna!
 
we nae sijui kama unajielewa,kwani div one pts 3 zinazoenda ud na mzumbe ni sawa na div 3 pts 17 zinazoenda muccobs au cbe?tukubali au tukatae,chuo bora huchukua wanafunzi bora,na chuo cha hovyo huchukua wanafunzi wa hovyo kama wewe hapo.

Perry you may be right mimi sijielewi. Kwa hiyo UD na Mzumbe ndio wanaochukua 1.3 na hao wengine 3.17 fanya utafiti ujue ukweli. Angalia hapa chini hao ni admitted students.
UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
DIRECTORATE OF UNDERGRADUATE STUDIES
LIST OF DIRECT APPLICANTS FOR ADMISSION IN ACADEMIC YEAR 2010/2011
GS-F|PH-E|CH-F|MT-E
GS-F|PH-F|CH-E|BI-E|BA-F
GS-F|GE-F|DI-A|PH-E|MT-E

Narudia hakuna mwanafunzi hovyo kama ana minimum qualifications. Hata UD kuna wanaoingia na pass za kawaida. Kwa criteria zako utaita UD chuo cha kata? Au utasema nao wanachukua wanafunzi hovyo?
Kuna ukweli na kuna perceptions.
 
there is elements of truth in this thread, angalia gpa zinazo gawiwa vyuo vya private ni za juu na kudisco ni kwa nadra au hakuna. Sasa je wote wana uwezo? Kuna vyuo kama sua, udsm,udom hata ukipata gpa ya 2.5 huyo mtu anauwezo mkubwa kwa kichwa. Lakini kuna jamaa zangu tulisona nao adv walikuwa poor academically, wakapata 3 ya mwisho lakini walivyo kwenda private universities wana gpa si chini ya 4 kila mmoja. Hivyo vyuo vya private vingi vinawachukulia wanafunzi wake kama wateja kwa kuwapa alama nzuri ili na kesho waje au walete ndugu zao. Fanya research utapata majibu.
vyuo vya private waalimu wanafundisha kama mteja,ni sawa na shule za secondary tu wanavyojari wateja,ila vyuo vya goverment wanakupeleka tu wakijua umefaulu alama za juu basi unauelewa wa haraka.mfano chuoni kuna waalimu wanafundisha kibingwa yaani wanapiga topic mpaka tatu kwa kipindi cha masaaa mawili.yaani hapo ni mtindo wa kushusha slides tu.tatizo linakuwa kwa watu ambao hiyo course ni ngeni kwake.inabidi atumie nguvu nyingi.pia gpverment ndiyo maana havijitangazi sababu vina monopoly power ndani yake.
 
mwanafunzi mbovu ni yupi? Tcu ina minimum qualifications for admission-kila mwanafunzi aliefikia hizi minimum qualifications ana haki ya kupata chuo kama nafasi ipo. So hii sio issue unless wanaokuwa admitted hawakufikia hizo minimum qualifications. Mwanafunzi mzuri anajua ukishajiunga na chuo kazi inaanza upya hubebwi na ufaulu wako wa a level kwenye performance yako chuo.

Uwepo wa wahadhiri ni relative na inategemea uchapaji wao wa kazi. Sitatetea kwa hili kwani lataka utafiti wa kutosha. Ujue pia kuwa kuna vyuo walimu wapo lakini "hawaonekani" hivyo namba tu zinaweza kudanganya. Je mwenzetu umefanya utafiti kuhusu hili au ni impression yako tu?
kweli kabisa mkuu chuo ni mtiti mwingine.mwingine unaweza ingia na point za juu zaidi na ukakamatwa
 
Wakuu naomba kuweka wazi kwamba hapa tanzania kuna vyuo vya kata hii ni kutokana na ukweli kwamba vinachukua wanafunzi wabovu ,hamna wahadhiri wa kutosha n.k vyuo vyenyewe ni hivi hapa 1.SAUT 2.Arusha university 3.tia 4.cbe 5.teofilo kisanji 5.MUCCoBS ,ahsanteni

Mkuu kichwa chako kinaongeza uzito kweny mwili sidhani kama kina faida yeyote zaidi ya kuongeza uzito aisee
 
There is elements of truth in this thread, angalia GPA zinazo gawiwa vyuo vya private ni za juu na kudisco ni kwa nadra au hakuna. Sasa je wote wana uwezo? Kuna vyuo kama SUA, UDSM,UDOM hata ukipata GPA YA 2.5 huyo mtu anauwezo mkubwa kwa kichwa. Lakini kuna jamaa zangu tulisona nao Adv walikuwa poor academically, wakapata 3 ya mwisho lakini walivyo kwenda private universities wana GPA si chini ya 4 kila mmoja. Hivyo vyuo vya private vingi vinawachukulia wanafunzi wake kama wateja kwa kuwapa alama nzuri ili na kesho waje au walete ndugu zao. Fanya research utapata majibu.

Acha ujinga wewe ustake kutuaminisha uongo,wewe unaenda chuo kikuu na pass zako za juu halafu ukifika kule hujishughulishi kusoma ukitegemea scores za form six utafaulu wapi,wakati mwenzako akiwa kaenda na scores ndogo anasoma kwa juhudi ili apate marks nzuri unategemea mtalingana lazima akupige bao tu kwa GPA.Chuo ni wewe mwenyewe unavokichukulia
 
mi nilisoma vyuo vya kata lakini leo ni boss na ninawaongoza waliosoma vyuo visivyo vya kata alafu bro wangu nae alisoma vya kata lakini ana kampuny na amewaajiri hao unaowaita hawajasoma vyuo vya kata .so hacha vikra za kizee

mkuu usijihangaishe huyu mtoa mada ni mburula tu mi nipo wanapopaita vyuo bora wanachuo wamejaa majivuno lakini ubunifu hamna full kumeza madesa na kusolve past papers ili wafaulu mtihani tu,watu waache ushabiki wa vyuo maisha magumu tuhangaike kusoma popote tulipo ilimradi tunapata elimu
 
Umevurugwa dogo, japo kuna kaukweliiiii kwa mbaliiiiiiii..sema umekosea kuweka mtiririko sana na vigezo!
 
There is elements of truth in this thread, angalia GPA zinazo gawiwa vyuo vya private ni za juu na kudisco ni kwa nadra au hakuna.
unahitaji tu kueleweshwa kwa sababu hujui.

mifumo yote ya taasisi za binafisi kokote duniani ina ufanisi wa hali ya juu sana na wanasimamia kwa kikamilifu na hata uende marekani utakuta private wana ufanisi kushinda taasisi za umma.

wakati unaropoka hivi jaribu kuanzia mwanzo wa elimu mpaka juu ya elimu.

1.shule ya msingi.

ukichukua watoto wanaosoma shule za binafisi na wale wa shule za umma. utabaini haya.

kwanza marks wanazopata watoto wa shule za binafisi ni kubwa sana kwa sababu kila kitu wamefundishwa kwa ukamilifu na wakaelewa,wale wa shule za umma wanapata marks ndogo sana kwa sababu hawajafundishwa kwa ukamilifu na hakuna usimamizi na wengi wao wanakuwa ni wanafunzi wa kubahatisha maana hawaelewi.

lakini unaweza kushangaa huyo wa shule za umma akawa ana akili kushinda wa binafsi lakini kwa sababu hakufundishwa sawasawa ama hakufundishwa kabisa basi hata ukiwapa swali moja huyo wa umma anaanza kujiumauma asijue la kufanya na huyo wa binafisi anafanya kwa haraka sana na kwa usahihi. bisha kama wewe ni mbishi wa asili lakini kama unachangia kwa hoja utakubali ukweli huu

pili,hata ukiamua kuwajaribu watoto hawa juu ya uelewa wao wa jumla katika mambo mbalimbali utakuta hawa wa private wamejengwa katika misingi ya kujua mambo mengi sana ya kidunia na hawa wa umma unakuta hawaelewi nini kinaendelea na kwa kiasi kikubwa wao ni kukariri kwa kwenda mbele.

tatu,unapokuja mtihani wa darasa la saba unakuta hawa wa shule za binafisi wanapata marks za juu mno sawa na marks wanazopata kwenye mitihani ya shuleni na hawa wa umma ndio wengi wanaishia kupata marks za chini na kufaulu kwa mbinde sawa na marks walizokuwa wanazipata kwenye mitihani ya shuleni

KAMA SHULE YA MSINGI WANAFUNZI WANGEKUWA WANAPEWA MITINI YA SHULE ZAO TU kama mitihani ya kuhitimu,BASI BILA SHAKA UNGESEMA YALEYALE KUWA KWA NINI WANAFAULU WOTE AMA KWA NINI WANAPATA MARKS ZA JUU,LAKINI KWA SABABU MTIHANI NI MMOJA HAPA UTAKUWA KIMYA WALA HAUTAKUMBUKA KAMA NA HUKO WANAPATA MARKS ZA JUU KUSHINDA WA SERIKARI

2.sekondari kidato cha kwanza hadi cha nne.
huku nako hali ni ileile,wanafunzi wa private wanafundishwa vizuri kwa ustadi mkubwa chini ya usimamizi makini,wale wa shule za serikali ndio wanajitafutia wenyewe,kama kuna kitu hakupata ndio basi,hawana mwongozaji,wengi wao hata hawajiaminina darasani wamelundikana kama mahindi,


tofauti yao.

kwanza,wanafunzi wa sekondari shule binafisi wanacover karibu kila kitu kwa wakati sawia,lakini wale wa umma wengine mpaka wanaingia necta form four hawajawahi kusoma kitu,wanaishia kujaza majina tu. kwa hali hii wanafunzi wengi wa private ukikagua marks zao wanapata marks za juu sana hata mashuleni kwao lakini wale wa shule za serikali wanapata marks za chini hata huko mashuleni,kumbuka shule za serikali O LEVEL ndio zinapewa nafasi ya kwenda kuchagua wanafunzi waliofanya vizuri kwenye mtihani wa darasa la saba na hivyo wanafunzi wengi wa private walikosa nafasi hizo na hivyo shule za private wanafunzi wengi ni makapi baada ya shule za serikari kuwaacha,MIMI MWENYEWE NI MHANGA,SIKICHAGULIWA KWENDA FORM ONE IKABIDI WANINUSURU NA SHULE YA PRIVATE na ni watano tu tulinusuriwa na wengine hawakwenda kokote kwa kuwa hakuna aliyepenya darasa zima,na nikawa mzuri na baadae moto wa kuotea mbali.


pili,wanafunzi wa shule za binafisi wanaongoza kwa ufaulu katika mitihani ya kitaifa huku wale wa shule za serikali wengi wakioongoza kufeli hata kama wanaakili kwa sababu hawahudumiwa ipasavyo,na kwa KUWA WANAFANYA MTIHANI MMOJA WOTE HAKUNA ANAEPIGA KELELE KUWA MBONA WA SHULE ZA PRIVATE WANAPATA MARKS ZA JUU,LAKINI KELELE ZINAZOPIGWA NI KWAMBA SHULE ZA SERIKALI NDIZO MBOVU ILA WANAFUNZI SI WABOVU,kaangalie marks za mitihani ya mashuleni kati ya watoto wa private na wale wa serikali utakutana na tofauti ileile ya watoto wa private kupata marks za kubwa bila kujali kama walikuwa na uwezo usiostahili hata kuchaguliwa serikali na wale wa shule za serikali wanapata marks ndogo licha ya kuwa ndio waliokuwa na ufaulu mkubwa darasa la saba.


mfano mdogo tu,shule niliyosoma mimi O level haikuwahi kufelisha mwanafunzi hata mmoja form two kwenda form three kwenye necta ya form two toka nilipoanza shule pale miaka ya 2000s na kuna siku mwanafunzi mmoja wa shule za serikali akaniambia haiwezekani wafaulu wote kila mwaka labda kama mnaiba mitihani,ukweli naujua kuwa shule haijawahi kuiba mtihani ila nikamuacha kwa sababu yeye alisumbuliwa na imani,na mfano mwingine,mimi nina mdogo wangu wa kike palepale niliposoma na uwezo wake ni wakawaida sana,jana ndo kanitumia matokeo kuwa ana wastani wa 77 na kapata A tano,wa kwanza ana 95 na wa mwisho ana 50, na wako 142. hapo hakuna aliyefeli wote wamefaulu.
lakini ukiniambia niweke matokeo ya shule yoyote ya serikali ni aibu,lazima wapo waliofeli ama wamepenya kwa tabu.


tatu,matokeo ya necta form four hakuna anaebisha kuwa kila mwaka shule za private ndio zinafanya vizuri wakati wanafunzi wote wanatumia syllabus ileile na mitihani ni ileile na vitabu ni vilevile na walimu wao wametoka kwenye vyuo mbalimbali ikiwemo na hivyo vyuo mnavyoviita vya kata


3.advanced level.

kama kuna elimu mbovu niliyopata kuishuhudia ni advance shule za serikali,kama kawaida yao,serikali wanajichagulia wanafunzi wote waliofaulu alafu makapi wanaachiwa tena ndugu zangu wa private,private wanafunzi wao ni wale wa div 3 za mwisho na four,wapo wanaoreseat kabisa,lakini wao ukifika na CCC(C TATU) ZA MASOMO YOYOTE HATA KAMA KWENYE KOMBI INASOMA DFC ama DDF ama CCF nk watakuchukua wanakuumba mpaka unakuja kuapata one,two ama three ya kwenda chuoni.


KWA SABABU NAMI O LEVEL NILIFAULU serikari haikuwa tena na jeuri ya kuniacha,wakanipeleka kwenye shule zao,nilipofika tu shuleni nilichanganyikiwa na mandhari peke yake kabla hata sijaingia darasani,nilipiga simu palepale nyumabani wanihamishe shule lakini ilishindikana,nilisoma kwa tabu sana na mpaka namaliza shule siwezi kusema nilienda advance kufundishwa bali ile shule ni sawa na tu na kituo cha kufanyia mtihani,sitaki hata kusikia serikali na shule zao,pale shuleni nilibahatika kukutana na wanafunzi waliopenya toka shule za serikari ambao kwa idadi walikuwa wachache sana mana wengi tulitoka private schools,wengi wao walionekana kuna vitu vingi sana hawakujua na walifaulu kwa kukariri zaidi hata kama walikuwa na akili nyingi.


nakumbuka matokeo menyewe ya shule ya mtihani wa necta form six yaliwaangusha wengi na wengine wakapata hata zero lakini yote hayo ni kwa sababu,hatukufundishwa,hatukupewa vitabu,yaani ni mwendo wa watoto wa bata wa kujitafutia kila kitu.


matokeo ya form six yakishatoka unakuta watu mpaka wanafunzi wa shule za private walioreseat wamefanya vizuri kwenye shule za binafisi na wale waliopenya na kuchaguliwa serikalini wanaanguka


4.vyuoni

katika vyuo mambo ni yale yale,kwanza ikumbukwe kuwa vyuo vya serikali vimekuwepo muda mrefu sana na vyuo vingi vya private si vya siku nyingi,lakini ni ajabu kuwa kwa muda mfupi sana private wamepiga hatua kubwa sana,si tu katika kuweka miundombinu bali hata katika ubora wa elimu maana hawataki mchezo,sema kinachosumbua watu ni kule kukariri kuwa mtu akisema chuo basi ni mlimani pekee,ama mtu akisema anaenda kusoma engineering basi ni civil engineering,lakini ukimwambia mtu eti nasoma telecom engineering kwa kiasi kikubwa watu wengi mtaani wataona unachukua kitu cha ovyo labda mpaka uanze kumwelewesha taratibu,IMANI NI KITU KIBAYA SANA WAKATI MWINGINE.


NIMETOA MFANO HUMU,shule niliyosoma O LEVEL kuna mwanafunzi kamaliza form six mwaka jana pale,matokeo yake ya o level alipata four ila akafanikiwa kuwa na C tatu katika 4 yake,ikabidi asome pale maana hakuwa na pa kwenda,shule ya private ikamfundisha akawa anapata marks nzuri tu na mpaka necta inafika alikuwa anafikisha wastani wa shule,matokeo yake ya six akafaulu vizuri na sasa yuko tena serikalini wamemchukua kwa kuwa katengenezwa,yuko hapo udsm mwaka wa kwanza,na ndio alikuwa mwanafunzi bora wa mkoa mzima mpaka serikali wakampa zawadi wakati kuna shule kubwa na za muda mrefu za serikali na mashuhuri lakini wanafunzi wake hawakufua dafu kwa huyu,pia shule yenyewe pamoja na kuchukua makapi yote kitaifa ilikuwa ya 17(TUNAPOSEMA SERIKALI HAIFAI WATU HAWAELEWI KUWA KARIBU KILA TAASISI IMEATHIRIKA NA UBOVU WA SERIKALI AMA UBOVU WA MFUMO NA HATA ELIMU HAIWEZI KUWA IMESALIMIKA NA ATHARI ZA SERIKALI KATIKA MATOKEO)


NISEME KWA KIFUPI SANA KUWA SHULE ZA PRIVATE NA VYUO VYA PRIVATE NI SAWA NA TIMU YA ARSENAL,WAO WANA KAZI YA KUTENGENEZA NA KUNOA VIPAJI VYA WANAFUNZI NA KUWAUZIA SHULE NA VYUO VYA SERIKALI AMBAVYO KWA KIASI KIKUBWA NDIO WANAONGOZA KUHARIBU WANAFUNZI ALAFU WANASINGIZIA UBORA WAO WA ELIMU UKO JUU.


Sasa je wote wana uwezo?

IVI WEWE KAMA UMEPEWA KAZI YA KUFUNDISHA 1+1=2 NA WOTE WAKAELEWA UNATAKA WAKIFANYA MTIHANI WAJIKOSESHE ILI WAONEKANE WANATENDA HAKI?this is crazy.
nimesoma O level katika shule ambayo toka ianzishwe miaka ya 1990s mpaka leo haijawahi kupata div zero,unataka wajikoseshe wapate zero?ili iweje?hivi mbona huulizi kwa nini shule za serikali zinachagua wanafunzi wote wenye uwezo alafu zinashindwa kuwafanya wafaulu wote maana hata kabla hazijawachagua wanakuwa wamethibitika kuwa na uwezo.


NI KICHEKESHO SANA KUWA WATU WENGI HAWAWEZI KUNGAMUA.


PRIVATE SCHOOL=wanachagua wanafunzi wao miongoni mwa makapi yaliyoachwa na government schools
GOVERNMENT SCHOOLS=wanachagua wanafunzi wenye uwezo tu na wanaonekana hawana uwezo wanawaachia private.


KAMA UNGEKUWA MDADISI ulipaswa pia kujiuliza kwa nini shule za serikali zenye wanafunzi wote wenye uwezo hawafaulu wote?
pia kwa nini shule za private zinafanya vizuri pamoja na kuwa wanafunzi wengi ni makapi ambao hawakustahili kupata nafasi serikalini?


Kuna vyuo kama SUA, UDSM,UDOM hata ukipata GPA YA 2.5 huyo mtu anauwezo mkubwa kwa kichwa.

acha uongo wewe kutumia majina na si vigezo na ufanisi wa vyuo,mimi mbona kuna watu nimesoma nao shule ya msingi nilikuwa nawazidi uwezo,nikasoma nao sekondari pia uwezo wao ulikuwa chini yangu na hata advance na kwa sababu huku kote mtihani ni mmoja yaani wa kitaifa hawawezi kubisha,sasa kwa kuwa wao waliamua kusoma huko na mimi nikaenda kwingine na mitihani yetu inatofautiana leo unataka kutoa hitimisho kwa kutumia mitihani tofauti???????


hauwezi kuwapima watu kwa kutumia vigezo tofauti,kungekuwa kuna mtihani mmoja wa vyuo ubishi huu nadhani usingekuwepo maana ni wa kishabiki zaidi.


ngoja nikupe mfano mdogo kwa evaluation yangu kuhusu kusifia watu kwa vyuo walivyotoka.
kuna siku nilihudhuria kongamano la kigoda cha mwalimu Nyerere pale udsm MWAKA JANA,mada ilikuwa ni dira ya taifa,huku tukiangazia azimio la arusha,watoa mada alikuwepo zitto na mdada mmoja simkumbuki,
pia alikuwepo Willy Mtunga wa kenya(jaji wa mahakama ya juu kenya,supreme court),KINGUNGE NA WENGINE WENGI.


ilipofika wakati wa floor panel kuchangia,wanafunzi wa udsm walichangia utumbo karibu wote wakionekana walikuwa na uelewa mdogo sana. binafsi nilishangaa sana kwa wale waliokuwepo watanielewa na wasiponielewa nitawaelewesha.


siku hiyo tukapata mwaliko wa kuhudhuria uzinduzi wa documentary ya mwanaharati na mpigania uhuru DR. Walter Rodney,UZINDUZI uliofanyika kesho yake na documentary ilitengenezwa na Clairemount Chung kutoka JAMAICA.


nilikuwa mwanafunzi pekee ambaye sikutoka udsm,tulipofika mambo yaliendelea,ilipofika wakati wa kujadili ndipo wanafunzi wa udsm walitia aibu,kwa sababu wazungumzaji walikuwa wanajua mambo mengi sana na english yao haikuwa ya mchezo na mada ilikuwa nzuri sana,

ila nilishangaa kuona wanafunzi wa udsm wakikimbia bila hata kuchangia wala kuuliza swali mara tu baada ya mjadala kuanza na alibaki mwanafunzi mmoja tu,binafisi nilichangia walau kiasi na nikaongea na nguli hao wa histoaria japo mimi si mwana arts. kifupi wale jamaa walikimbia na kwa haraka haraka nilihisi kiingereza ndo kiliwakimbiza na uelewa wa wale jamaa maana haikuwa rahisi kuchangia mbele ya watu wanaojua kupitiliza tena wengine maprofesa toka sehemu mbalimbali duniani.

mjadala uliisha saa sita usiku na wanafunzi tulikuwa wawili tu,mmoja wa udsm aliyebaki japo hakuchangia wala kuhoji chochote na mimi.



Lakini kuna jamaa zangu tulisona nao Adv walikuwa poor academically, wakapata 3 ya mwisho lakini walivyo kwenda private universities wana GPA si chini ya 4 kila mmoja. Hivyo vyuo vya private vingi vinawachukulia wanafunzi wake kama wateja kwa kuwapa alama nzuri ili na kesho waje au walete ndugu zao. Fanya research utapata majibu.

maelezo haya nadhani nimeyajibia vya kutosha,ila si vibaya nikaongeza kidogo.
huko private ufundishaji wao ni tofauti sana na vyuo vya serikali na usifikiri wanapewa marks.


mfano. udsm unaingia lecture,wanafunzi mko kama mia 500 ama 400 ama 300 lecturer anafundisha kundi lote hili na wanafunzi wake hawaelewi kwa mmojammoja,hapo anatumia microphone,hakuna hata nafasi ya kusema mwalimu sijaelewa,ikipigwa lecture ngumu wanafunzi mnatoka hamjaelewa na hamkuuliza ili mueleweshwe,hapo unategemea uje kupata GPA kubwa wakati hata darasani hupati nafasi ya kuelewa kila kitu?marks zinaanzia hapa kupungua na ukitoka hapo unategemea discussion zikusaidie na ukute hao wanaokusaidia nao kuna vitu wamemiss.


vyuo vya private unakuta darasa limegawanywa kwa wanafunzi 40 ama 60 kila darasa japo kozi ni moja na labda ina wanafunzi 150.
wanafunzi wanafundishwa kwa ukaribu mpaka lecturer anapata nafasi ya kuwazungukia aone wanafanya nini,je wameelewa,pia anakuwa amewakariri uelewa kwa kila mmoja,na wasipoelewa wanauliza na mwalimu anawaelewesha na hata ofisini unaweza kumfata mwalimu akakuelewesha. rejea idadi inayotakiwa kufundishwa na mwalimu mmoja,maana hili lundo kama mahindi lina athari zake na wengi wanaingia tu kama ushahidi,pia serikalini huwezi kumkataa lecturer ambaye numwelewi yaani ni mtindo wa kwenda nae hivyo hivyo,private kama lecture haeleweki mkisema tu anang'olewa na kibarua kinaota nyasi na mnatafutiwa lecturer anaeeleweka.


HAWA WAKIJA KUFANYA MTIHANI KWA VYOVYOTE VILE LAZIMA WAFANYE VIZURI KULINGANA NA WALIVYOFUNDISHWA.


watu ni wabishi tu. maana sijajua kigezo gani wanatumia kusema WANAFUNZI WA PRIVATE hawana uwezo .
hivyo vyuo vya private vina wanafunzi toka hata shule zinazojulikana kama shule za watu wenye vipaji maalumu kama tabora boys,mzumbe,kibaha,ilboru,tena wengine wamesoma shule za vipaji tu kuanzia form one mpaka form six.

KAMA BADO HAUJAELEWA WEWE UTAKUWA NA AJENDA NYINGINE.

cc
mpigamsuli
 
weeee.hyo tia labda kwa campus za dploma na certfcat.ukumbuke tia n miongon mwa vyuo vya mwanzo kabsaa hapa Tz.enz hzo klkuwa knaitwa dar es salaam school of accountancy.upo?maana naona qualification zako zmebase kwa vyuo vlvyo exist muda mrefu na s utoaj wa elmu...
 
Back
Top Bottom