ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Mjaluo huyo labda 😀Wagombea mazoba
Wanaowachagua na sijui watu gani...eti any kweseni
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjaluo huyo labda 😀Wagombea mazoba
Wanaowachagua na sijui watu gani...eti any kweseni
Ova
Apite tu !Na atapita kwa kishindo
Kitafunio cha wakubwaApite tu !
Hayo maneno yalikuwa ni ya mwisho kabisa ili kuwafurahisha wajumbe wampe kura zao 🙌👍🙏Hata asiposhinda..ataambulia uDC, sabb waliompitisha kote huko wana lengo lao, kwenye vetting makini huyu hawezi kupenya km maneno ya kuombea kura ndio haya..
wewe unafurahia haya maneno..? angekuwa binti yako ungefurahi akisema hivyo..!Hayo maneno yalikuwa ni ya mwisho kabisa ili kuwafurahisha wajumbe wampe kura zao 🙌👍🙏
Wampe tu kura mjukuu wetu 🙌🙏🙏👍
Ni utani tu huo 🙌🙏wewe unafurahia haya maneno..? angekuwa binti yako ungefurahi akisema hivyo..!
Hili ni tatizo!Nimeangalia hii video nimeshindwa kuelewa tofauti ya Kuuza sera na "Kujiuza" ni ipi. Shame.
View attachment 3086726
Hata asiposhinda..ataambulia uDC, sabb waliompitisha kote huko wana lengo lao, kwenye vetting makini huyu hawezi kupenya km maneno ya kuombea kura ndio haya..
Hawa ndiyo wanaenda kupambana kutetea nchi yetu dhidi ya wabunge wa Kenya na Rwanda...wallah twafaaaaNimeangalia hii video nimeshindwa kuelewa tofauti ya Kuuza sera na "Kujiuza" ni ipi. Shame.
View attachment 3086726
Utani wa kufanyia baba zake? si kila mahali ni utani, ni lazima kufanya utani ili uchaguliwe??Ni utani tu huo 🙌🙏
Ndio maana yake..yuko tayari aliwe ili wampe kura!Chagua dodo.....walile
Dodo la kuliwa
Ova
Tangu lini embe dodo linakuwa na kweseni ndugu yangu? wewe ni kualingalia tu huko juu kama limeiva, kisha unaanza kulirushia mawe hadi lidodonge... likidondoka tu, wewe mbio kwenda kulichukua, unalipangusa vumbi na kuanza kulila hapo hapo bila kujali kama lina mauchafu mwingine... kipya kinyemi.... na kipenda roho hula nyama mbichi...Watu wamekosa kweseni kwa embe dodooo!
Huko pana vyote madodo na mapapaiChagua dodo.....walile
Dodo la kuliwa
Ova
Shida ni siku embe dodo likitakiwa ku defend nchi huko nje yanakuwa Yale ya "on behalf of myself"Tangu lini embe dodo linakuwa na kweseni ndugu yangu? wewe ni kualingalia tu huko juu kama limeiva, kisha unaanza kulirushia mawe hadi lidodonge... likidondoka tu, wewe mbio kwenda kulichukua, unalipangusa vumbi na kuanza kulila hapo hapo bila kujali kama lina mauchafu mwingine... kipya kinyemi.... na kipenda roho hula nyama mbichi...
nenda kalidake ndugu yangu, limewiva sana 🙂 limelala mchangani tayariDuuuuuh! Kajifananisha na embe dodo lililoiva kutoka shinyanga, hatari sana hakiyanani!