S.M.P2503
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 2,421
- 4,344
yale yale ya Brazzaville Congo...Shida ni siku embe dodo likitakiwa ku defend nchi huko nje yanakuwa Yale ya "on behalf of myself"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yale yale ya Brazzaville Congo...Shida ni siku embe dodo likitakiwa ku defend nchi huko nje yanakuwa Yale ya "on behalf of myself"
😆😆 huyo ni mjukuu wangu hivyo nakuachieninenda kalidake ndugu yangu, limewiva sana 🙂 limelala mchangani tayari
Any kweseniNimeangalia hii video nimeshindwa kuelewa tofauti ya Kuuza sera na "Kujiuza" ni ipi. Shame.
View attachment 3086726
naona aibu mimi kwa kweli, hii fisiem hiiNimeangalia hii video nimeshindwa kuelewa tofauti ya Kuuza sera na "Kujiuza" ni ipi. Shame.
View attachment 3086726
ushirikina kwa wanaume, wanawake kutoa sehemu za siriBila ushirikina hutoboi ndani ya CCM
😁😄😃😀😀😃😄😄😆😆Watu wamekosa kweseni kwa embe dodooo!
Hii ndiyo aina ya watu wanaopendwa na ccm.Jamani weeeeeeee
Inasikitisha.. Tanzanians wengi hawapo serious na nafasi wanataka kupata kiungozi.
Mnitag akichaguliwa..
Kimuonekano tu, hana hela ya kumuhonga mtu huyo. Labda rushwa ya ile kitu, sasa ndo utawapa wangapi wakupigie kulaLazima achaguliwe kwa rushwa
Chagua embe dodo!Ii watalaamu wa code waliopita cuba state university wanaelewa hapa hii ni mlo wa jioni kwa wakubwa ndani ya clotus chota ...
Tumsamehe bure mjukuu wetu na afundwe tu ! 🙏🙏Utani wa kufanyia baba zake? si kila mahali ni utani, ni lazima kufanya utani ili uchaguliwe??
Nimeangalia hii video nimeshindwa kuelewa tofauti ya Kuuza sera na "Kujiuza" ni ipi. Shame.
View attachment 3086726
Mzee wa pass mingi-mingi na makaterero kama yote ahahhaKwa Mwamba wa Lusaka triple C, au sio ???!
😅