Hivi ndio Wagombea wa CCM wanaomba kuteuliwa kuwania Ubunge wa Afrika Mashariki?

Hivi ndio Wagombea wa CCM wanaomba kuteuliwa kuwania Ubunge wa Afrika Mashariki?

CCM kila kitu kinawezekana unaweza kushangaa huyo dada akapata "ushindi wa kishindo".

Maana wizi wa kura sio kwenye uchaguzi mkuu hata chaguzi zao wanaibiana.
images - 2024-09-04T171337.015.jpeg
images - 2024-09-04T171347.250.jpeg
 
Wenye sifa hawapewi ila wanapewa wenye connection.

Kuna Dada ni Dr alikuwa wa mwisho kufanyiwa vetting naona kidogo yupo vizuri ila alipata kura chache sana mchujo wa awali nadhani alipata kura 7.
 
Back
Top Bottom