Katwangilo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2021
- 759
- 738
Mwenyewemambo ya jamhuri ya ukimani ni mangumu kwerikweri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyewemambo ya jamhuri ya ukimani ni mangumu kwerikweri
Wagombea mazoba
Wanaowachagua na sijui watu gani...eti any kweseni
Ova
Any queseni? Aibu sana hii aisee! Yaani Makune ndiye kaenda kutudhalilisha namna hiyo wana Shinyanga? Eti chagueni embe dodo! CCM hawako serious!Nimeangalia hii video nimeshindwa kuelewa tofauti ya Kuuza sera na "Kujiuza" ni ipi. Shame.
View attachment 3086726
Weka maneno ya kwanzaHayo maneno yalikuwa ni ya mwisho kabisa ili kuwafurahisha wajumbe wampe kura zao 🙌👍🙏
Wampe tu kura mjukuu wetu 🙌🙏🙏👍
Si afadhali hata hili embe dodo ni dodo kweli, kwasababu miongoni mwa wabunge wa EALA, kuna mazangazaga fulani ya kwenye yale mambo yetu ya makorokocho kabisa lakini yapo!.Nimeangalia hii video nimeshindwa kuelewa tofauti ya Kuuza sera na "Kujiuza" ni ipi. Shame.
View attachment 3086726
We unajua hakuenda kimkakati?Hakupita amesaidia tu kuingiza pesa kwenye chama kwa kununua fomu
Hayo yapo kwaajili ya burudani.Si afadhali hata hili embe dodo, kati ya wabunge wa EALA, kuna zanga zaga fulani ni korokocho kabisa lakini lipo!.
P
Usiwaite midada na mimama, tumia jina la heshima siku hizi wanaitwa mashangazi!.Hayo yapo kwaajili ya burudani.
Midada na mimama ya chama hiyo.
swadakta.Kwa Mwamba wa Lusaka triple C, au sio ???!
😅
waoh. Nawe sio mchache kwenye wan en tuuZ!Usiwaite midada na mimama, tumia jina la heshima siku hizi wanaitwa mashangazi!.
P
Any kweseni any kweseni any kweseniNimeangalia hii video nimeshindwa kuelewa tofauti ya Kuuza sera na "Kujiuza" ni ipi. Shame.
View attachment 3086726
AiseHuwezi amini alikuwa mshindi wa pili kwa idadi ya kura katika wagombea wote 8 kwenye Round ya kwanza
Round ya Pili wagombea watatu ndiyo akashindwa.