Wewe unataka kujua kuwa Magufuli alikusanya hadi Trilioni 2 kwa mwezi kutoka billion 800 za Kikwete
Unataka kujua alijenga SGR , kununua ndege 11,kujenga stand ya mbezi Louis,Dodoma , Chato, kupanua uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu Nyerere , kujenga Chato airport,kupanua kwanza airport,njia nne kibaha hadi kimara,kuhamishai serkali Dodoma,kujenga meli ziwa Victoria na nyasa, kuhakikisha elimu Bure, kujenga barabara za lami dar hasa kinondoni, kupambana na rushwa ,madawa ya kulevya , uhujumu uchumi, wafanyakazi hewa na vyeti fake na kununua majengo ya kibalozi na kuanzisha balozi mpya au kubuni vitambulisho vya machinga
Mimi nitakufunza kilaza wewe usiyemjua kuchambua ilaza za vyama
Wewe unataka nini nije nikujibu
USSR