Hivi ndivyo Hayati Magufuli aliharibu Uchumi wa Tanzania. Takwimu huwa hazidanganyi

Takwimu zinabainisha kwamba licha ya GDP kuongezeka ila Kasi ya uchumi ilipungua kutoka wastani wa 74% awamu ya kwanza ya Kikwete Hadi Asilimia 32% awamu ya kwanza ya Magufuli..
Naomba uni chambulie kichumi zaidi hapa ? Sitaki porojo.
 


Kipindi fulani Magufuli alimtaka waziri wake mmoja awe akivuta bangi kwa siri kusudi awe mkali katika utendaji kazi wake, kwa majibu yako muflisi mimi nakuona wewe USSR unavuta kwa uwazi ili kumuenzi kipenzi chako Pombe.
 
Wale Malaya wenzako wa bongo movi walipokosa pesa za mapapa za kuhongwa wakalia vyuma kwani huwa wanakazi gani nyingine hapa mjini zaidi ya kuuza k

USSR
 
Iweje aliharibu uchumi halafu nchi ikaenda uchumi wa kati. Mtoa mada hebu tueleweshevizuri
 
Akija akaniambia mpaka sasa Rais aliyepo amefanya nini la mama kama legacy nakuja kumjibu tena , namsubilia

USSR
Ngojea tumsubirie aje atuambia lakini kwa wakati huu na wewe shusha nondo kidogo.

Binafsi nimeitembea nchi hii hivi karibuni nimepita Busisi kazi inaendelea vizuri sana walishamaliza kusimika nguzo ziwani sasa hivi wanapandisha ile mikeka** ya kupitia kitaalamu sijui wanaiitaje so Mama amepambana kwenye huu mradi.

Pia nimebahatika kupita kutoka Dar hadi Mwanza na kisha Kigoma Dar nimeona namna ujenzi wa barabara ulivyopamba moto sio Uvinza wala Kasulu Kibondo ni kazi kwenda mbele hapa Mama anapambana sana.

Pia nikiwa safarini nimeona SGR bado watu wanapambana sana na kazi hii maana yake Mama hajalala na nilimsikia ana pesa ya lot 6 mpaka Kigoma aiseee ametisha sana.

Hapo Rufiji nilimuona kwenye taarifa ya habari amezindua bwawa la Nyerere kujazwa maji means alipambana sana kulikamilisha.

Nimeshuhudia matangazo mengi ya ajira kitu ambacho kilikuwa nadra sana huu ni ushahidi mama anataka kuinvest in human capital hapa ametisha sana.

Ujenzi wa madarasa ya kisasa nchi nzima aisee ametishaa.

Hivi karibuni nimesikia kibali cha ujenzi wa bomba la mafuta kimetolewa na ujenzi ni wazi sasa utapamba moto hili ni jambo jema hasa ukizingatia tumewekewa mizengwe sana juu ya hili bomba huko nje lakini mambo yanaenda inaonekana Mama ameweza kucheza karata ya diplomasia vizuri hapo.

Uhuru wa vyombo vya habari na mikutano ya kisiasa,kesi za kisiasa na kurudi nyumbani kwa baadhi ya wenzetu walioenda kuomba hifadhi huko nje ni wazi pana nia njema katika kujenga ustawi wa nchi yetu.

Sitayamaliza yote ila haya yote yataleta transformation kubwa sana.
 
Iweje aliharibu uchumi halafu nchi ikaenda uchumi wa kati. Mtoa mada hebu tueleweshevizuri
Hajui lolote kuhusu uchumi unamuuliza swali zito sana na upeo wake wa la Saba c atajibu nini

USSR
 
Magufuli angekusanya hizo pesa angeshindwa kuajiri? Miradi aliyoiqnzisha ingekuwa inasuasua?

Ndio maana nakwambia wewe ni useless umebeba kichwa kama mzigo, Waziri wa Fedha ambae ni VP wa Sasa anasema kabisa mapato Kwa mwezi aliacha 1.2 Til na Sasa ndio Yako 2.0 Tilioni wewe unaleta hadithi za kutunga?

 
Hakuna mkweli akija mwingine watamponda hata wanaayemsifu leo
 
Kama Kuna kosa ccm waliwahi kulifanya kwenye nchi hii, ni kumpa Urais John Pombe Joseph Magufuri... Yaani walifanya kosa kubwa na la kiufundi ..
Magufuri hakuwa mwana dipromasia ...hakuwa na uelewa wa masuala ya uchumi .. ila alikuwa mahili kwenye propaganda tu .. pia alijaaliwa roho ya kwann , kila mwenye uchumi mzr yy alimchukia na kumuona mwizi .. na ndo maana aliiacha nchi ikiwa na uchumi kwa 4.5 ya ukuaji wa uchumi... Kibaya zaidi hata wapambe wake huwa hawajui alijenga km ngp za barabara .. yaani kifupi aliivulunga nchi kila mahali
 
Kudhibiti Mfumuko wa bei?

Yaani mataahira mmekaa mnasubiri muambiwe na bank ya Dunia, nyie hamuoni? Yaani mmekaa mnasubiri watu walioko Washington ndio wawaambie kwamba rais amedhibiti mfumuko wa bei?

Kwa hiyo maharage sasa yanauzwa shilingi 500 na mchele shilingi 600?

Hii nchi bado imejaa mataahira. Mwalimu alipambana na ujinga toka 1960s hadi leo majinga bado yapo.
 
Aibu sana yaani !
 
Mnateseka sana,
 
Pale juu nimechambua asante kwa nyongeza maana hiyo miradi yote unayoisema ilianzishwa na Magufuli tena kwa kupingwa kila kona na hawa vibaraka

Meli ya mv mwanza sasa inatoa mizigo mwanza mpaka Uganda na kenya ikitokea kwenye reli yetu ya mizigo ile ya urithi wa mjerumani.

Busisi ni kiungo hasa magari ya mizigo yanayoelekea Rwanda, Uganda , Burundi na DRC

Hilo bwawa wakina Lisu walikwenda hadi Ulaya UNESCO kupiga kelele leo wanaona aibu

Rais Samia alisema hivi"viatu vya Magufuli ni vikubwa sana kwangu yeye alikuwa bora kila sehemu"

Tena akasema "jana usiku nikiwa nimelala nilimuoa Magufuli akija na kuniuliza miradi yake ambayo tulianzisha pamoja " ile miradi ni moyo wa uchumi

USSR
 
Ndio maana nikamwambia wewe ni kiazi umeanzisha hoja inayo kuzidi kimo sana hujui lolote ,unaleta ushahidi wa Twita motherfuc ,mimi najadili ishu za world bank na IMF wewe unaleta twitter za channel 5 mapuuzi wewe

USSR
 
Huyu anakaa kwa mme wa mamake mdogo hata hajui bei ya unga imepanda, mchele, sukari,umeme,maji ,mafuta ,hajui kuwa kipindi cha Magufuli walitaka kupandisha Magufuli akaibuka na kuzuia na kutumbua hadi anaondoka hakuna aliyejaribu kupandisha bei

USSR
 
Huyu anakaa kwa mme wa mamake mdogo hata hajui bei ya unga imepanda, mchele, sukari,umeme,maji ,mafuta ,hajui kuwa kipindi cha Magufuli walitaka kupandisha Magufuli akaibuka na kuzuia na kutumbua hadi anaondoka hakuna aliyejaribu kupandisha bei

USSR
Ndio shida, mtu anakaa na mume wa dada yake, anakula bure, anaoga bure, bando ananunuliwa na hawara yake hawezi kujua kama Tanzania kuna mfumuko wa bei haijawahi kutokea. Toka lini Tanzania kilo ya maharage ikawa 5000?
 
Ndio maana nikamwambia wewe ni kiazi umeanzisha hoja inayo kuzidi kimo sana hujui lolote ,unaleta ushahidi wa Twita motherfuc ,mimi najadili ishu za world bank na IMF wewe unaleta twitter za channel 5 mapuuzi wewe

USSR
Umeanza kutukana,hii ni Twitter? Mbishie na VP Mpango basi 👇

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…