Hivi ndivyo Hayati Magufuli aliharibu Uchumi wa Tanzania. Takwimu huwa hazidanganyi

Mkimaliza kupambana na Legacy mje mtuambie kwa Nini huduma za kijamii ziliimbalika sana kuliko wakati wowote.
 
Mwinyi ndiye mastermind wa ukuuaji wa uchumi na hasa sector binafsi.Mkapa angelimuanzishia nani hiyo mifumo ya ukusanyaji kodi kama walipa kodi wanatembea matako wazi na kula mlo mmoja?.
 
Andika kitabu chako basi tuje tusome uongo huo. Nani asiyejua hao jamaa ndie walioweka nchi zao kwenye pedestal za juu ??? nani Alijenga Autoban? nani Alijenga Workers Wagon? VW Nani Aliinua Fiat? Nani ali revolutionise ujengaji wa viwanda vikubwa kama cha Fiat?

Nenda Uganda mpaka leo wanamkubali, bila sera zake Mabilionea wa Uganda wa Leo hii wasingekuwepo...vilevile hao matajiri wakubwa Italy, Ujerumani.... n.k Wacha hizo leo hii mnawakataa babu zenu!
 
Facts speak louder, agreed
 
Vipi wale walioporwa mali/biashara zao, waliodhulumiwa,

Walidhulumiwa kivipi majambazi na yamekiri?
waliotekwa na kuteswa,
Walijiteka?

na hao walioteswa waliweka mazingira yao...wateseke

walioshambuliwa kwa risasi na kujeruhiwa, Wangapi hao? Au unadai yule aliepigwa na water pelets?

waliobomolewa nyumba zao bila ya compensations,
Ndio wajifunze sheria. Nchi inaongozwa na Sheria na sio Huruma huruma.

waliotukanwa na kukashifiwa
Fiisadi ni Fisadi, wazembe ni wazembe waliostahili hayo walistahili
baada ya kupata madhara na hasara kutokana na natural disasters

Ushasema natural disasters! Kumuweka Hayati ndiye aliyeyafanya hayo ili iweje?

na ndugu wa wale waliouawa au 'kupotezwa' hao hawapo humu janvini?
Huna hata uhakika na hayo.

Punguza hasira basi usomeke wewe Monster au ndio hivyo wewe ni Baradhuli hilo
 

Kazi nzuri aliifanya Jiwe na moja hii hapa kwenye elimu

Your browser is not able to display this video.
 
Mkimaliza kupambana na Legacy mje mtuambie kwa Nini huduma za kijamii ziliimbalika sana kuliko wakati wowote.
Nitajie Huduma mojawapo iliyoimalika na mie nikutajie mamia ya failures za awamu ya 5
 
Umesema Huduma ziliimarika nilotegemea Madarasa yawepo ya kutosha Ili Watoto wasikae chini kama hivyo kumbe hakuna alichofanya ila mnategemea Samia ndio afanye,hovyo kabisa..

Sasa ni hivi baada ya Rais Samia kumaliza tatizo la madarasa sekondari,kuanzia mwaka huu anaanza Mpango wa kumaliza Hilo tatizo shule za msingi,stay tuned
 
Kwa hiyo wewe unataka akae tu ikulu asifanye kazi?. Kichwa mfuniko wwa shingo hiki.
 
Kwa hiyo wewe unataka akae tu ikulu asifanye kazi?. Kichwa mfuniko wwa shingo hiki.
Mradi huu hapa unaenda kumaliza hizo shida za madarasa shule za msingi, Mwendazake alishindwa,Til.1.1 zitafanga kazi hiyo.

 
Mradi huu hapa unaenda kumaliza hizo shida za madarasa shule za msingi, Mwendazake alishindwa,Til.1.1 zitafanga kazi hiyo.

Madarasa yatatosha tu iwapo watu wataanza kuzaa kwa mpango.

Sasa hivi ajenge tu baada ya 2030 atakae ingia atajenga zaidi. Kichwa chako sijui kinawaza umbali gani, nahisi kinaishia hapo ulipo.

Population inaongezeka kila siku, huwezi viongozi walio pita kwa upungufu wa madarasa.

Tozo mtutoze, sifa ya ujenzi mpate nyie, ebo.
 
Miaka yote yalishindwa kutosha licha ya Majigambo Kwa sababu kuu Moja, upungufu ulikuwa zaidi ya 75% wakati uwezo wa Serikali kuyajenga kuendana na Kasi ya ongezeko la Watoto ni 50% .

So Rais Samia atafuta hiyo gap Ili budget za kawaida ziweze kuhimili,ndivyo amefanya huko Sekondari chini ya Mradi wa Sequip na madarasa ya tozo na ndivyo anataka kufanya chini ya mradi wa Boost .
 
Naelekeza CHAWA Pro. Halielewi hata chanzo cha upungufu wa madarasa.
 
Hivi mtu una akili unaandika kitu kama hiki kweli! Inasaikitisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…