Hivi ndivyo itakavyokuwa pale unapoanza kufa

Hii ni imani tu,

Imani inaweza kuwa kweli au si kweli.

Tatzo linakuja kwenye ukweli, ukweli cku zote unaendana na ushahidi.

Je taarifa hii ni kweli au sio kweli?
 

Sisi tulio uku palestina hii haituhusu ukisikia rocket tu ujue umepona usiposikia ujue safari ya mbinguni
 
Hayo yote ndiyo watanzania wengi wanayapitia mpaka Sasa hv
 
nimewahi kupata hypovolemic shock baada ya kuvuja damu nyingi sana, enzi hizo 2003, tarehe 18 siku ya ijumaa saa kumi jioni, uliyoyaeleza hapa niliyapitia, kuna watu walikua wakilia pembeni kwenye kitanda kwamba nimekufa bado yanki na mambo mengi, nilikua nawaona hasa wale walio kuwa wameniface direct, nachokumbuka ilifikia sehemu nataman kumuaga rafiki yangu aliyekua kando ya kitanda changu lakini sauti ilikua haitoki na pumzi kukata, nilikuja kushtuka kesho yake nina running bilateral IV fluids, nishapigwa 2 units za blood,
ni kitu ambacho sitasahau, maana ilinijengea picha ya namna kifo kinavyokua, nikikumbuka hali ile naogopa sana,
 
Nawaza tu kwamba nitakuwa nimekufa hakika au nitafukiwa nikiwa na bado na hisia nisiweze kujitetea
 
Wanaokufa kWa shoti za umeme au ajali za magari nao wanapitia haya?
 
Ushawahi kufa?

 
Miaka flan naripoti uboyzn ile mikwara ya hapa na pale nliropoka ujinga Kuna Mkurya alinipiga buti ya Karne ya 17 nlipigiza vbya nkazima mpaka nikahis baadhi ya dalili ulizotaja lkn sikufa

Pia nliwahi pata ajali nkahis hvo lkn sikufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…