Hivi ndivyo itakavyokuwa pale unapoanza kufa

Kama ni hivyo mbona tulishakufa wengi sasa?
 
kuna hormone itaachiliwa kwa wingi kwenye ubongo wako itakayokufanya upate furaha ya ajabu(euphoria)

ndo maana watu waliopitia near death experiences wanasimulia kuona mwanga flani, au kuingia kwenye uwepo fulani
Raha na wakati watu huwa wanarusha rusha miguu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…