granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
hata usipokuwa na pesa wala madaraka utazeeka tu, tena afadhali huyo anaweza hata kuweka muuguzi wa kumuhudumia 24/7, kuna wengine wanaozea ndani kwa kukosa hata mtu wa kuwatoa nje kuota jua kisa umaskini.Pesa katika hali kama hiyo ina maana gani.
Kwani Jimmy Carter hana pesa kwenye akaunti zake.
Unadhani Jimmy Carter ana tamaa ya pesa tena pale alipo.Au matumizi ya pesa alizokuwa nazo ana maamuzi nazo tena.hata usipokuwa na pesa wala madaraka utazeeka tu, tena afadhali huyo anaweza hata kuweka muuguzi wa kumuhudumia 24/7, kuna wengine wanaozea ndani kwa kukosa hata mtu wa kuwatoa nje kuota jua kisa umaskini.
Ni mahubiri ya Mungu au ya nani hayo.Yote Poa
Mhubiri 12:8
Mhubiri asema, Ubatili mtupu; mambo yote ni ubatili!
Mhubiri 3:1-8
Kila kitu kina majira yake, kila jambo duniani lina wakati wake: Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa; wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa; wakati wa kuua na wakati wa kuponya; wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga; wakati wa kulia na wakati wa kucheka; wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza; wakati wa kutupa mawe na wakati wa kuyakusanya mawe pamoja; wakati wa kukumbatia na wakati wa kuacha kukumbatia; wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza; wakati wa kuhifadhi na wakati wa kutupa; wakati wa kurarua na wakati wa kushona; wakati wa kukaa kimya na wakati wa kuongea; wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia; wakati wa vita na wakati wa amani.
Ashaishi maisha yake yote Lakin. Kuna shida gan hapoJimmy Carter ni rais wa Marekani wa 39 ambaye mnamo oktoba 1 mwaka 2023 alikuwa akisherehekea miaka yake 99 tangu kuzaliwa kwake mwaka 1924.
Rais huyo mstaafu alitwala Marekani kuanzia mwka 1977 mpaka 1981.
Miongoni mwa mafanikio ya utawala wake ilikuwa ni kufanikisha kutiiana saini ya kurejesha uhusiano kati ya Israe na Misri mnamo mwaka 1979.
Kwa sasa Raisi huyo amepelekwa kwenye nyumba zenye huduma za afya za kuhudumia wazee baada ya kupata maradhi ya saratani isiyotibika tena.
Katika umri huo Jimmy Carter ndiye raisi aliyewahi kuishi miaka mingi zaidi na aliyebaki hai muda mrefu zaidi baada ya kuondoka madarakani.
Muhimu kwa binadamu wengine ni kujifunza kwamba katika maisha inafika muda heshima zote zinaondoka na hata marafiki binafsi, urasimu wa kimadaraka vinaisha na kuonekana mzigo na familia na kutokuwa na umuhimu wowote wa kutafutwa ushauri kutoka ofisi uliyoihudumia.
Inafika wakati vyakula vyote vizuri unavimiliki lakini hata ukivitumia havibadilishi afya ya mwili.
Dawa zozote za kutibu za hali ya juu haziwezi tena kutibu maradhi yanayokupata.
View attachment 2977746View attachment 2977693View attachment 2977691
hv mkuu point yako ni nn hasa, kuna sehemu nimesema jimmy ana tamaa na pesa zake kwa sasa? Au unatakaje wewe, kuwa tusitafute madarara kwa sababu tuliowahudumia kuna siku hawatakuwa na time na sisi au tusitafute hela maana kuna siku hatutakuwa na maamuzi nazo au hazitatusaidia? Kwa hyo tukizaliwa tukae tu kusubiria kufa? Dunia ingekuwa ya namna gani sasa?Unadhani Jimmy Carter ana tamaa ya pesa tena pale alipo.Au matumizi ya pesa alizokuwa nazo ana maamuzi nazo tena.
Unaweza ifikia hiyo 70 na ukaona hapana, 20 tena si haba, bado nina nguvu.Miaka 70 ya kibiblia inatosha sana.....bado miaka 42....Mungu nisaidie
Uzi mzuri ila mwishoni umetia majungu ya kimaskini. Andika uzi bila kutanguliza hisia zako za kimaskini za kuwachukia waliokuzidi.Jimmy Carter ni rais wa Marekani wa 39 ambaye mnamo oktoba 1 mwaka 2023 alikuwa akisherehekea miaka yake 99 tangu kuzaliwa kwake mwaka 1924.
Rais huyo mstaafu alitwala Marekani kuanzia mwka 1977 mpaka 1981.
Miongoni mwa mafanikio ya utawala wake ilikuwa ni kufanikisha kutiiana saini ya kurejesha uhusiano kati ya Israe na Misri mnamo mwaka 1979.
Kwa sasa Raisi huyo amepelekwa kwenye nyumba zenye huduma za afya za kuhudumia wazee baada ya kupata maradhi ya saratani isiyotibika tena.
Katika umri huo Jimmy Carter ndiye raisi aliyewahi kuishi miaka mingi zaidi na aliyebaki hai muda mrefu zaidi baada ya kuondoka madarakani.
Muhimu kwa binadamu wengine ni kujifunza kwamba katika maisha inafika muda heshima zote zinaondoka na hata marafiki binafsi, urasimu wa kimadaraka vinaisha na kuonekana mzigo na familia na kutokuwa na umuhimu wowote wa kutafutwa ushauri kutoka ofisi uliyoihudumia.
Inafika wakati vyakula vyote vizuri unavimiliki lakini hata ukivitumia havibadilishi afya ya mwili.
Dawa zozote za kutibu za hali ya juu haziwezi tena kutibu maradhi yanayokupata.
View attachment 2977746View attachment 2977693View attachment 2977691
Wala hakuna shida yoyote, mleta mada ni mzandiki mmoja tu.Ashaishi maisha yake yote Lakin. Kuna shida gan hapo
Ukishashiba vizuri utatamani chakula tena? Huyo pesa zipo tayari, umri umeenda, pesa si hitaji lake tena sababu Kashiba.Unadhani Jimmy Carter ana tamaa ya pesa tena pale alipo.Au matumizi ya pesa alizokuwa nazo ana maamuzi nazo tena.
Sijui kiwango chako cha eliminateJimmy Carter ni rais wa Marekani wa 39 ambaye mnamo oktoba 1 mwaka 2023 alikuwa akisherehekea miaka yake 99 tangu kuzaliwa kwake mwaka 1924.
Rais huyo mstaafu alitwala Marekani kuanzia mwka 1977 mpaka 1981.
Miongoni mwa mafanikio ya utawala wake ilikuwa ni kufanikisha kutiiana saini ya kurejesha uhusiano kati ya Israe na Misri mnamo mwaka 1979.
Kwa sasa Raisi huyo amepelekwa kwenye nyumba zenye huduma za afya za kuhudumia wazee baada ya kupata maradhi ya saratani isiyotibika tena.
Katika umri huo Jimmy Carter ndiye raisi aliyewahi kuishi miaka mingi zaidi na aliyebaki hai muda mrefu zaidi baada ya kuondoka madarakani.
Muhimu kwa binadamu wengine ni kujifunza kwamba katika maisha inafika muda heshima zote zinaondoka na hata marafiki binafsi, urasimu wa kimadaraka vinaisha na kuonekana mzigo na familia na kutokuwa na umuhimu wowote wa kutafutwa ushauri kutoka ofisi uliyoihudumia.
Inafika wakati vyakula vyote vizuri unavimiliki lakini hata ukivitumia havibadilishi afya ya mwili.
Dawa zozote za kutibu za hali ya juu haziwezi tena kutibu maradhi yanayokupata.
View attachment 2977746View attachment 2977693View attachment 2977691
Mleta mada ana ile chuki ya maskini wengi kuwachukia matajiri.Wala hakuna shida yoyote, mleta mada ni mzandiki mmoja tu.
Mkewe alishafariki mzee.A point of correction. Jimmy carter yupo kwenye hospice care, nyumbani kwake.
Yeye na mkewe waliamua wasitunzwe tena na familia zao, sasa Atafiki daktari maalum au muuguzi kuwatunza wao.
Kwasasa ana terminal disease. Any time annaweza kututoka, kwa maono yake yeye.
Yupo kwake na mkewe ila anatunzwa na wauzui hajaenda kwenye nyumba ya wazee. Ila tu anahitaji muda wake, na Mungu na Matibabu ya kawaida. He is at the end.
Ila pia huyu bwana bado alikua anatumika na serikali hasa bunge na. Ushauri mbali mbali.
Alionekana hata mwaka jana kabla hajafika 99, kwenye vikao mbalimbali.
Oh no. Sio sahihi eti lazima tuzeeke ndipo tufe. Tutakufa wakati wowote kuanzia mimba na kuendelea......Hakuna Cha ajabu hapo, Hakuna asiyejua kuwa tutazeeka tutakufa
Naam. Kama tunavyokuja hapa duniani peke yetu bila hiari yetu ndivyo tutakavyoondoka hapa duniani peke yetu bila hiari yetu.Kwa sasa yuko peke yake akimsubiria Izraeli aichukue roho yake. Mke wake alishatangulia tayari mbele ya haki.