Hivi ndivyo Jimmy Carter alivyobaki. Ndiyo tujue sasa dunia haina urafiki

Hivi ndivyo Jimmy Carter alivyobaki. Ndiyo tujue sasa dunia haina urafiki

A point of correction. Jimmy carter yupo kwenye hospice care, nyumbani kwake.

Yeye na mkewe waliamua wasitunzwe tena na familia zao, sasa Atafiki daktari maalum au muuguzi kuwatunza wao.

Kwasasa ana terminal disease. Any time annaweza kututoka, kwa maono yake yeye.

Yupo kwake na mkewe ila anatunzwa na wauzui hajaenda kwenye nyumba ya wazee. Ila tu anahitaji muda wake, na Mungu na Matibabu ya kawaida. He is at the end.

Ila pia huyu bwana bado alikua anatumika na serikali hasa bunge na. Ushauri mbali mbali.

Alionekana hata mwaka jana kabla hajafika 99, kwenye vikao mbalimbali.
nadhani aliyeongea hajui nini maana ya rais wa marekani. kwamba rais akatunzwe nursing homes za wazee? huo ni rais ati. na anahudumiwa na serikali maisha yake yote.
 
Binadamu wote wanaona kifo ndio kitu kibaya.Wanaochagua kufa ni wachache sana.
Sasa jee wanaoogopa kifo hawaogopi uzee.
Kifo sio kitu kibaya hata kidogo - ndo maana ukifa watu wanakuja kujumuika kukuzika na linakuwepo "bufee" na muziki/nyimbo au mahubiri, sala n.k. Ni sherehe ya aina yake.
Inafikirisha sana eti watu wanaogopa kifo ilhali kifo hutokea "ni Chap" lakini uzee ni kwa taaratibu, muda mrefu na wenye madhila mengi na watu wanafikia hatua ya kukukwepa na kukuacha peke yako ukomae na hali yako. Lakini ktk kifo watu hao-hao wanakuja wengi na wamejiandaa na michango yao(kukupongeza?), wamevaa vizuri na kukusifia eti alikuwa ni mtu wa watu........
 
Hivi mtu mwenye mafanikio akiumwa au akifa huwa mnajaribu ku justfy nini haswa?
Hizi ni mentality za kimasikini

Wote tumezaliwa hatuna kitu, wote tutapata changamoto za uzee tukiufikia, wote tutakufa
Kwanini hizi hadithi ziwahusu waliofanikiwa kinaisha tu?

Miaka 90+ is no joke
 
Hivi mtu mwenye mafanikio akiumwa au akifa huwa mnajaribu ku justfy nini haswa?
Hizi ni mentality za kimasikini

Wote tumezaliwa hatuna kitu, wote tutapata changamoto za uzee tukiufikia, wote tutakufa
Kwanini hizi hadithi ziwahusu waliofanikiwa kinaisha tu?

Miaka 90+ is no joke
Nanukuu: Hivi mtu mwenye mafanikio akiumwa au akifa huwa mnajaribu ku justfy nini haswa?
Katika maisha au MAPITO mintarafu Uhai wa mwanadamu awaye yeyote yule, inapokuja HOJA ya kuumwa au kufa watu huitumia hoja hiyo ku-Justify kwamba watu Wote tuko sawa hakuna anayebaguliwa, anayependelewa wala kuonewa au kudhalilishwa - hapo ni "ngoma droo".
Mkuu, hebu fafanua kidogo "Hizi ni mentality za kimasikini"
 
Kifo sio kitu kibaya hata kidogo - ndo maana ukifa watu wanakuja kujumuika kukuzika na linakuwepo "bufee" na muziki/nyimbo au mahubiri, sala n.k. Ni sherehe ya aina yake.
Inafikirisha sana eti watu wanaogopa kifo ilhali kifo hutokea "ni Chap" lakini uzee ni kwa taaratibu, muda mrefu na wenye madhila mengi na watu wanafikia hatua ya kukukwepa na kukuacha peke yako ukomae na hali yako. Lakini ktk kifo watu hao-hao wanakuja wengi na wamejiandaa na michango yao(kukupongeza?), wamevaa vizuri na kukusifia eti alikuwa ni mtu wa watu........
😀😀😀😀
 
hv mkuu point yako ni nn hasa, kuna sehemu nimesema jimmy ana tamaa na pesa zake kwa sasa? Au unatakaje wewe, kuwa tusitafute madarara kwa sababu tuliowahudumia kuna siku hawatakuwa na time na sisi au tusitafute hela maana kuna siku hatutakuwa na maamuzi nazo au hazitatusaidia? Kwa hyo tukizaliwa tukae tu kusubiria kufa? Dunia ingekuwa ya namna gani sasa?
Akili yako ndio imefikia mwisho hapo katika kuwaza.
 
Unadhani Jimmy Carter ana tamaa ya pesa tena pale alipo.Au matumizi ya pesa alizokuwa nazo ana maamuzi nazo tena.
Mantiki unayoeleza ni njema, lakini 'utapia' sarufi wenu ona ulivyoharibu sentensi nzima na kupotosha maana!
... 'ana maamuzi nazo tena'...
 
maana uliyokusudia haijaeleweka.Fafanua zaidi
Mkuu hapo ni kama kusema Utapiamlo i.e. Ukosefu/Ufinyu katika sarufi " Utapia sarufi" umechangia kukwamisha hoja yako nzuri kuelewa kwa wasomaji wako yy akiwa ni mmojawapo.
 
Katika umri huo Jimmy Carter ndiye raisi aliyewahi kuishi miaka mingi zaidi na aliyebaki hai muda mrefu zaidi baada ya kuondoka madarakani.
Una ujumbe mzuri ila haujaendana na jimmy, maana mi naona Bado anakula Bata tu, najua hata huku jumba la vibabu kaenda na walinzi na wapiga vinubi,. ,, Ujumbe wako unafaa kwa babu zetu huku bongo, umri huo unakuta kunuka mkojo kawaida tu, kwanza alishaacha kuvaa ata suluali ni shuka tu, ,,kiukweli sisi Bado tunahitaji huruma ya Mungu, 😔😔😔

Mcheki jimmy vizuri na tai yake, afu watu waliomzunguka, njo kwetu,wababu wa hivo unaweza lia
 
Mkuu hapo ni kama kusema Utapiamlo i.e. Ukosefu/Ufinyu katika sarufi " Utapia sarufi" umechangia kukwamisha hoja yako nzuri kuelewa kwa wasomaji wako yy akiwa ni mmojawapo.
Hamna la maana ulilosema.
Ukosefu/ufinyu.....yy.
Kama umelewa nenda kalale mpaka asubuhi.
 
Nanukuu: Hivi mtu mwenye mafanikio akiumwa au akifa huwa mnajaribu ku justfy nini haswa?
Katika maisha au MAPITO mintarafu Uhai wa mwanadamu awaye yeyote yule, inapokuja HOJA ya kuumwa au kufa watu huitumia hoja hiyo ku-Justify kwamba watu Wote tuko sawa hakuna anayebaguliwa, anayependelewa wala kuonewa au kudhalilishwa - hapo ni "ngoma droo".
Mkuu, hebu fafanua kidogo "Hizi ni mentality za kimasikini"
Mkuu kibaiolojia watu wote tupo sawa, wote tunakunya, wote tunaumwa, wote tuna hisia, wote tutakufa..... so what’s a big deal kama tajiri atajamba au atacheka au ataumwa au atakufa?

Masikini wana mentality ya kuwaona “matajiri” wanajifanya ni watu special sana, na ndio maana wakifa wanaanza kusema yako wapi sasa kafa kama tunavyokufa sisi

Huwezi kukuta tajiri ana mentality kama hizi masikini akifa
 
Back
Top Bottom