Hivi ndivyo Jimmy Carter alivyobaki. Ndiyo tujue sasa dunia haina urafiki

Hivi ndivyo Jimmy Carter alivyobaki. Ndiyo tujue sasa dunia haina urafiki

Jimmy Carter ni rais wa Marekani wa 39 ambaye mnamo oktoba 1 mwaka 2023 alikuwa akisherehekea miaka yake 99 tangu kuzaliwa kwake mwaka 1924.

Rais huyo mstaafu alitwala Marekani kuanzia mwka 1977 mpaka 1981.

Miongoni mwa mafanikio ya utawala wake ilikuwa ni kufanikisha kutiiana saini ya kurejesha uhusiano kati ya Israe na Misri mnamo mwaka 1979.

Kwa sasa Raisi huyo amepelekwa kwenye nyumba zenye huduma za afya za kuhudumia wazee baada ya kupata maradhi ya saratani isiyotibika tena.

Katika umri huo Jimmy Carter ndiye raisi aliyewahi kuishi miaka mingi zaidi na aliyebaki hai muda mrefu zaidi baada ya kuondoka madarakani.

Muhimu kwa binadamu wengine ni kujifunza kwamba katika maisha inafika muda heshima zote zinaondoka na hata marafiki binafsi, urasimu wa kimadaraka vinaisha na kuonekana mzigo na familia na kutokuwa na umuhimu wowote wa kutafutwa ushauri kutoka ofisi uliyoihudumia.

Inafika wakati vyakula vyote vizuri unavimiliki lakini hata ukivitumia havibadilishi afya ya mwili.

Dawa zozote za kutibu za hali ya juu haziwezi tena kutibu maradhi yanayokupata.

View attachment 2977746View attachment 2977693View attachment 2977691
Kwa Mzee Jimmy Carter ulitaka Mungu ampe nini zaidi ya aliyokwishampa? Hoja ni wewe utakufa na miaka mingapi, ukiwa nani Mtaa kwako?
 
Una ujumbe mzuri ila haujaendana na jimmy, maana mi naona Bado anakula Bata tu, najua hata huku jumba la vibabu kaenda na walinzi na wapiga vinubi,. ,, Ujumbe wako unafaa kwa babu zetu huku bongo, umri huo unakuta kunuka mkojo kawaida tu, kwanza alishaacha kuvaa ata suluali ni shuka tu, ,,kiukweli sisi Bado tunahitaji huruma ya Mungu,
 
Jimmy Carter ni rais wa Marekani wa 39 ambaye mnamo oktoba 1 mwaka 2023 alikuwa akisherehekea miaka yake 99 tangu kuzaliwa kwake mwaka 1924.

Rais huyo mstaafu alitwala Marekani kuanzia mwka 1977 mpaka 1981.

Miongoni mwa mafanikio ya utawala wake ilikuwa ni kufanikisha kutiiana saini ya kurejesha uhusiano kati ya Israe na Misri mnamo mwaka 1979.

Kwa sasa Raisi huyo amepelekwa kwenye nyumba zenye huduma za afya za kuhudumia wazee baada ya kupata maradhi ya saratani isiyotibika tena.

Katika umri huo Jimmy Carter ndiye raisi aliyewahi kuishi miaka mingi zaidi na aliyebaki hai muda mrefu zaidi baada ya kuondoka madarakani.

Muhimu kwa binadamu wengine ni kujifunza kwamba katika maisha inafika muda heshima zote zinaondoka na hata marafiki binafsi, urasimu wa kimadaraka vinaisha na kuonekana mzigo na familia na kutokuwa na umuhimu wowote wa kutafutwa ushauri kutoka ofisi uliyoihudumia.

Inafika wakati vyakula vyote vizuri unavimiliki lakini hata ukivitumia havibadilishi afya ya mwili.

Dawa zozote za kutibu za hali ya juu haziwezi tena kutibu maradhi yanayokupata.

View attachment 2977746View attachment 2977693View attachment 2977691
Sasa si ni uzee Na ugonjwa? Cha ajabu ni kipi hapo? Na uzee lazima ukukute,lakini haifuti hiyo historia yake , mengine hayana maana
 
hv mkuu point yako ni nn hasa, kuna sehemu nimesema jimmy ana tamaa na pesa zake kwa sasa? Au unatakaje wewe, kuwa tusitafute madarara kwa sababu tuliowahudumia kuna siku hawatakuwa na time na sisi au tusitafute hela maana kuna siku hatutakuwa na maamuzi nazo au hazitatusaidia? Kwa hyo tukizaliwa tukae tu kusubiria kufa? Dunia ingekuwa ya namna gani sasa?
Huyo jamaa aliyeanzisha uzi amekuwa kama kachanganyikiwa.

Haeleweki shida yake ni nini hasa.

Je, hakutaka Jimmy Carter afikishe miaka 99?

Hataki Jimmy Carter ahudumiwe na waangalizi maalumu?

Ujinga ni mzigo.
 
Huyo jamaa aliyeanzisha uzi amekuwa kama kachanganyikiwa.

Haeleweki shida yake ni nini hasa.

Je, hakutaka Jimmy Carter afikishe miaka 99?

Hataki Jimmy Carter ahudumiwe na waangalizi maalumu?

Ujinga ni mzigo.
Dunia si rafiki wa binadamu.
Ukiwa na akili nzuri huwazi kula vizuri na kutengeneza matukio pekee ili usifiwe.
 
Kwa sasa Raisi huyo amepelekwa kwenye nyumba zenye huduma za afya za kuhudumia wazee baada ya kupata maradhi ya saratani isiyotibika tena.

Katika umri huo Jimmy Carter ndiye raisi aliyewahi kuishi miaka mingi zaidi na aliyebaki hai muda mrefu zaidi baada ya kuondoka madarakani.

Muhimu kwa binadamu wengine ni kujifunza kwamba katika maisha inafika muda heshima zote zinaondoka na hata marafiki binafsi, urasimu wa kimadaraka vinaisha na kuonekana mzigo na familia na kutokuwa na umuhimu wowote wa kutafutwa ushauri kutoka ofisi uliyoihudumia.

Inafika wakati vyakula vyote vizuri unavimiliki lakini hata ukivitumia havibadilishi afya ya mwili.
kwanza huyo alitaka mwenyewe apelekwe huko baada ya kuona hakuna tena matibabu ambayo yangemfaa, na siyo kwamba serikali yake imeshindwa kuhumuhudumia.

Mtu mwenyewe ana miaka 98 nadhani unatarajia angeishi mpaka lini? Hapo Mwenyezi Mungu amemzawadia uhai mrefu na kwa wakati wake alikuwa mtu mwema na wala siyo mpenda mbwembwe.
 
kwanza huyo alitaka mwenyewe apelekwe huko baada ya kuona hakuna tena matibabu ambayo yangemfaa, na siyo kwamba serikali yake imeshindwa kuhumuhudumia.

Mtu mwenyewe ana miaka 98 nadhani unatarajia angeishi mpaka lini? Hapo Mwenyezi Mungu amemzawadia uhai mrefu na kwa wakati wake alikuwa mtu mwema na wala siyo mpenda mbwembwe.
Jee unaamini kuwa hiyo ni zawadi kweli.Na kama ni zawadi kweli na wewe unapenda zawadi kama hiyo.
Ukipewa hiyo zawadi ya umri mrefu mpaka miaka 150 unakusudia kuitumia vipi zawadi hiyo.
 
Dunia si rafiki wa binadamu.
Ukiwa na akili nzuri huwazi kula vizuri na kutengeneza matukio pekee ili usifiwe.
Shida yako ni nini hasa?

Hueleweki.

Onyesha shida hapo nini?

1. Kila mtu atafarili iwe kwa uzee, ugonjwa au ajali.

2. Watu wengi wakifika umri mkubwa hupata maradhi na nimuhimu kupata uangalizi wa madaktari, kama uwezo upo.

3. Jimmy Carter anamiaka 99. Je, ulitegemea umri huo awe sawa kiafya?

4. Ukichunguza vitu ulivyoandika kwenye uzi na comments zako utagundua unatatizo la uelewa kwasababu hautaki au huwezi kufikiri sawa sawa.
 
Jee unaamini kuwa hiyo ni zawadi kweli.Na kama ni zawadi kweli na wewe unapenda zawadi kama hiyo.
Ukipewa hiyo zawadi ya umri mrefu mpaka miaka 150 unakusudia kuitumia vipi zawadi hiyo.
hiyo iko nje ya uwezo wangu, ni Mungu mwenyewe ndiyo anajua amenipa mgao wa miaka mingapi.
 
Sijaelewa mantiki ya huyu mtoa maada! Hutaki watu watafute kwamba wasubiri tu kifo.
Kifo ni haki ya kila kiumbe chochote kilicho hai bila kujali uliishi vipi na ulimiliki nini ulipokua hai.
Death is Inevitable! Dont get scared.
 
Shida yako ni nini hasa?

Hueleweki.

Onyesha shida hapo nini?

1. Kila mtu atafarili iwe kwa uzee, ugonjwa au ajali.

2. Watu wengi wakifika umri mkubwa hupata maradhi na nimuhimu kupata uangalizi wa madaktari, kama uwezo upo.

3. Jimmy Carter anamiaka 99. Je, ulitegemea umri huo awe sawa kiafya?

4. Ukichunguza vitu ulivyoandika kwenye uzi na comments zako utagundua unatatizo la uelewa kwasababu hautaki au huwezi kufikiri sawa sawa.
Nionavyo mimi wewe ndio una shida ya kuwaza.
Unamuona mzee kama huyo aliyewahi kuwa raisi wa taifa kubwa halafu unasema kila kitu ni kawaida tu.Huchukui funzo hata moja.
 
Shida yako ni nini hasa?

Hueleweki.

Onyesha shida hapo nini?

1. Kila mtu atafarili iwe kwa uzee, ugonjwa au ajali.

2. Watu wengi wakifika umri mkubwa hupata maradhi na nimuhimu kupata uangalizi wa madaktari, kama uwezo upo.

3. Jimmy Carter anamiaka 99. Je, ulitegemea umri huo awe sawa kiafya?

4. Ukichunguza vitu ulivyoandika kwenye uzi na comments zako utagundua unatatizo la uelewa kwasababu hautaki au huwezi kufikiri sawa sawa.
Kabisa mimi sijamwelewa hasa analenga nini? Labda upeo wa mtoa maada ni mdogo
 
Sijaelewa mantiki ya huyu mtoa maada! Hutaki watu watafute kwamba wasubiri tu kifo.
Kifo ni haki ya kila kiumbe chochote kilicho hai bila kujali uliishi vipi na ulimiliki nini ulipokua hai.
Death is Inevitable! Dont get scared.
Yaani akili yako imekufikisha hapo tu.Kuwa death is inevitable !
 
A point of correction. Jimmy carter yupo kwenye hospice care, nyumbani kwake.

Yeye na mkewe waliamua wasitunzwe tena na familia zao, sasa Atafiki daktari maalum au muuguzi kuwatunza wao.

Kwasasa ana terminal disease. Any time annaweza kututoka, kwa maono yake yeye.

Yupo kwake na mkewe ila anatunzwa na wauzui hajaenda kwenye nyumba ya wazee. Ila tu anahitaji muda wake, na Mungu na Matibabu ya kawaida. He is at the end.

Ila pia huyu bwana bado alikua anatumika na serikali hasa bunge na. Ushauri mbali mbali.

Alionekana hata mwaka jana kabla hajafika 99, kwenye vikao mbalimbali.
Yupo kwenye hospice kitambo ila hafi.
 
Jimmy Carter ni rais wa Marekani wa 39 ambaye mnamo oktoba 1 mwaka 2023 alikuwa akisherehekea miaka yake 99 tangu kuzaliwa kwake mwaka 1924.

Rais huyo mstaafu alitwala Marekani kuanzia mwka 1977 mpaka 1981.

Miongoni mwa mafanikio ya utawala wake ilikuwa ni kufanikisha kutiiana saini ya kurejesha uhusiano kati ya Israe na Misri mnamo mwaka 1979.

Kwa sasa Raisi huyo amepelekwa kwenye nyumba zenye huduma za afya za kuhudumia wazee baada ya kupata maradhi ya saratani isiyotibika tena.

Katika umri huo Jimmy Carter ndiye raisi aliyewahi kuishi miaka mingi zaidi na aliyebaki hai muda mrefu zaidi baada ya kuondoka madarakani.

Muhimu kwa binadamu wengine ni kujifunza kwamba katika maisha inafika muda heshima zote zinaondoka na hata marafiki binafsi, urasimu wa kimadaraka vinaisha na kuonekana mzigo na familia na kutokuwa na umuhimu wowote wa kutafutwa ushauri kutoka ofisi uliyoihudumia.

Inafika wakati vyakula vyote vizuri unavimiliki lakini hata ukivitumia havibadilishi afya ya mwili.

Dawa zozote za kutibu za hali ya juu haziwezi tena kutibu maradhi yanayokupata.

View attachment 2977746View attachment 2977693View attachment 2977691
Point yako ni ipi hapa? Au mimi ndiye kiazi?
 
Back
Top Bottom