Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
HAKA achana nako!...FITINA MKUU!You can say that again.
BTW kale ka offer kako ka kuwa MOD kamepotelea wapi?
nadhani unafahamu wazi huu ni mwaka 2010😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAKA achana nako!...FITINA MKUU!You can say that again.
BTW kale ka offer kako ka kuwa MOD kamepotelea wapi?
uwiiiiiii! yero larubu menye! wewe iko natania sisi!"Mmasai".........."Mama Yeyoooo nataka ile namesa mwensake saa hii"
ngoja niandike kwenye smsYaaa!
Tunachana nywele hata kama tuna vipara......😀😀😀!!!!!!
Jino Moja mswaki wa nini?
Usisahau kumwomba mshiki kiyumbo mayu leo usiku.......!!!!
mkuu Sikonge, hiyo Kiyumbo Mayu ndo kinanihii cha kufanyia nanihii au?
Nimependa hiyo, mi ntaanza kuitumia
mamaa kuba.....Kiyumba mayu bana!..fasta basi.
Yaaa!
Tunachana nywele hata kama tuna vipara......😀😀😀!!!!!!
Jino Moja mswaki wa nini?
Usisahau kumwomba mshiki kiyumbo mayu leo usiku.......!!!!
Ehh jamani:
Kuchora kwa Kisukuma ni kutafuta, kuomba. Mayu ni mama/dada.
Kuyumba ni kutembea. Hii ni kama unavyosema kwa Kiswahili kwamba "Asha binti MchekaOvyo katembea na Abdallah bin KichwaWazi".
Ukimwabia binti naomba kiyumbo, basi ujumbe utakuwa umefika.
Jesus!
Nilisahau kucheki kama bado uko online!
Ngoja nisepe!
mbona nilim-quote shemeji yangu Sikonge....thats how it goes pande za kina Sikonge!!Mamushka unakaba vibaya.
Afu mbona hujanipa za kule kwenu? lambertini alipotaka mchezo alikuambiaje?
Hehehe! Sikonge hapana! Simuwezi. Ananichekesha mpaka baaaaasi!
Ulikuwa wapi muda wote kiongozi? Tumezimisi sana hizi yuzifuli posti! Dah! Unafanikiwa sana kunivunjia mbavu zangu. LOLZ!
uwiiiiiii! yero larubu menye! wewe iko natania sisi!
Hehehe! Sikonge hapana! Simuwezi. Ananichekesha mpaka baaaaasi!
Nope. Mie mfipa! That is an outsider's skewed perspective! Umekariri kuhusu uchawi !-Huwa tunasema Mama weno yiza kuno! Yaani mama fulani njoo huku. Mzee anaitia chumbani!wafipa ni noma zaidi!MWANAMKE kila akiamka anakuta kalowa.....!jamaa ni washirikina hadi kwenye tendo la ndoa😀😀