Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
- Thread starter
-
- #881
Mkuu umegeuza Uzi wangu kuwa pango la walanguzi, wezi na wanyang'anyi?Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.
Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.
Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.
Usisite kuomba msaada !!
JISAJILI SASA
TemplerFX | Promo
Wasaidie watu waweze kukusanya pesa za kwenye soko tril 5 $ kwa kuwapa analysis za ukweli sio kutoa referral link ili upate commsion uwapeleke wenzio kwenye moto.Mkuu mimi nasaidia kama nami nilivyosaidiwa na wanaJF wenzangu wasio na choyo humu
Mkuu umegeuza Uzi wangu kuwa pango la walanguzi, wezi na wanyang'anyi?
Huu ni utapeli nao kumuadress mtu kwenda kwa wrong broker ili wewe upate Introduction Broker commission.
Usirudie tena!
Saga gani la TMT? Embu jieleze kinaga ubaga ueleweke!!Mkuu Shark anashindwa kukwambia tu vp saga la TMT ulipona mkuu,hahah.
Huyo nae hapaswi kupewa jina lingine zaidi ya tapeli tu...sababu kati ya mabroker vichomi na huyu yumo. Huyu Broker katulogea Kwenye mpesa tu ila kihuduma ni mbovu sana hacheleweshi kukutumia marginal call.
Mkuu mbona una msemea au wewe ni sekretari wake?Kijana alitaka kujua na wewe ume Trade?
Si ungeanzisha Uzi wako ukifafanua Broker mzuri ni yupi? Kuja hapa kuweka link na maelezo ya kuvutia tu bila kutoa Do and Donts za broker husika mimi natafsiri kama utapeli tu.Nani aliyekuibia mkuu ? mbona povu Jingi ndugu.
Templerfx ndie broker rafiki kwa mazingira ya sasa hivi, mimi mwenyewe ndie namtumia
Mkuu niliku pm, Fanya tuyajengeSi ungeanzisha Uzi wako ukifafanua Broker mzuri ni yupi? Kuja hapa kuweka link na maelezo ya kuvutia tu bila kutoa Do and Donts za broker husika mimi natafsiri kama utapeli tu.
Awww! Sawa mkuu..Nina pm kibao hivyo ukiona kimya ujue sijaignore I'm just preoccupied tu.Mkuu niliku pm, Fanya tuyajenge
mkuu mimi na wewe si marafiki hebu fanya mpango kwanza tudumishe unduguCandlesticks don't lie, withdrawals till a bank taller get amazed with your every week route to bank
Patience patienceView attachment 741124
Ahahaha naona unasogeza kiti kwenye meza yenye Bia nyingi.mkuu mimi na wewe si marafiki hebu fanya mpango kwanza tudumishe undugu
Perfect analysis!Pole sana mkuu. Kwanza mimi nimshukuru Ontario kwa kunipa mwanga zaidi juu ya Forex. Tangu nilipoisikia hii nilianza kujisomea mwenye. Kitu cha kwanza nilianza kujifunza ni 1. Kwanini watu kwanini watu wengi wanapata hasara. Hapa nilimsikiliza sana bwana Adam Khoo. Kisha nikanunua kaunta book size 4, kila siku napata masaa 2-muda ukiruhusu-nasoma topic by topic. Last week nimemaliza online lecture ya Adam khoo. Nimesoma topics 11. Next week naanza na ctraders. Kisha nitaanza 'kutrade seriously'. Vision yangu ni kutumia miez 3 ya kujisomea exhaustively--asante kwa Youtube!.
'Sijatrade seriously' hata siku 1 but muhimu nimejifunza haya.
1. Forex si utapeli ni biashara halali na halis.
2. Brokers na Trainers ndio matapeli-si wote.
3. Kujielimimisha.
Ni biashara inayohitaji ujisomee sana. Kila siku ujielimishe.
4. Tamaa.
Hii ni biashara inayohitaji traders uvumilivu na kuweka tamaa pembeni. Lenga faida 'inayowezekana'.
5. Wekeza ulichotayari kukipoteza.
6. Zingatia kanuni za msingi za biashara.
Kama umewekeza laki 5, ikagenerate laki 1. Hiyo laki 1 iwe imeongeza mtaji. Inatakiwa iwe ni pesa inayojizungusha na kujizalisha yenyewe. Linda mtaji.
Nb 'dont trust anything which is too good to be true'
hamana namna unaweka bia yako tupu una nyanyua mpya ilio jaaAhahaha naona unasogeza kiti kwenye meza yenye Bia nyingi.
Unamshtaki vipi mtu kwa kuliwa kwenye kamari?Lakini, kama amewaliza why don’t you sue him?
Unamshtaki vipi mtu kwa kuliwa kwenye kamari?
we na matangazo yako unazengu sana kaushaKwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.
Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.
Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.
JISAJILI SASA
TemplerFX | Promo
We are waitingmimi najishukuru mwenyewe ila namshukuru sana sandile shenzi maana nilikuwa namuangalia lakini niikuwa siju anafanya nini ila baadae nikaja kukaa chini na kufatilia forex hapo ndo safari ilianza hadi leo nimekuja kuona uzi wa ontario nimesha kuwa mwelewa wa 80% nikataka siku niende baada ya kuona watu wana piga pesa ila niliacha baada ya kupiga dollar mia kwa news ya nfp maana nilijilipua nikaona maisha mbona matamu sana uliza kilicho nikutaaa .....continue