shure mkuu umeona mapungufu yake 1800usd in 10hrs? tooo far san hyoUna haja ya kupanick umekosa discipline and proper risk management inaonyesha.
Na huko too emotional.
Tafiti mapungufu yako learn more you will be good.
Been there, done that.
Wewe unaonekana kuanza kulielewa hili fursa kwa uzuri.hawa templerfx, nao wana changa moto yao. mie hawa nawatumia kwa ajiri ya matumizi madogo madogo maana hawa eleweki vizuri.
sehemu ya investment nimefanya etoro na forex
Pole huku unacheka mzee baba?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poleni
Wewe unaonekana kuanza kulielewa hili fursa kwa uzuri.
Templerfx nae haqualify kuwa broker basi tu.
Niiice! Ukiijua hii taaluma unakula kiwepesi sana but haitaki kitu kimoja tu tamaa. Greedy and emotions will wipe you out immediately.huyu huwa na trade kwa ajiri ya hela za matumizi, na hua sivuki kiwango cha pesa nilichoweka, huwa natoa faida tu, na imeisha jirudisha tayari zaidi na zaidi na kila siku hua napiga si chini ya $ 50 za matumizi ya home na vijiweni
yeaah hawa jamaa kutoa usd200 ni kazi kwel kwel wao zao ni 40 20 usd piwa spread zao its about 5pips na kuendelea ingawaje wapo vizur kwenye mambo ya mpesaWewe unaonekana kuanza kulielewa hili fursa kwa uzuri.
Templerfx nae haqualify kuwa broker basi tu.
Mkuu unafungua trade zaidi ya 4 kwa mtaji wa 6 usd hapo risk management imekaa vibaya kwa mawazo yangu lakini.Mkuu I have noticed that forex is all about skills and experience not capital
Binafsi nilishapoteza almost 300 usd lakn namshkuru Mungu noe nimeanza kuona mwanga
Yesterday night I deposited 6 usd lets see nitafika wapi next week View attachment 735923
Ahahaha!! Sijakuelewa best!Pale shuzi linapopata mjambaji
Poleni sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu mchezo hauhitaji hasiraNandy, AY, Max, Ruge mutahaba, hawa wote nao wamekula za uso.
Wengine walikuwa wana trade kwa siri.
Hapa ndipo waswahili wanapofurahia anachomoa mkwanja toka London una ingia straight hadi kwenye m-pesa.yeaah hawa jamaa kutoa usd200 ni kazi kwel kwel wao zao ni 40 20 usd piwa spread zao its about 5pips na kuendelea ingawaje wapo vizur kwenye mambo ya mpesa
Itakua aliweka lots size kubwa ndiyo ikapelekea kuunguza account.shure mkuu umeona mapungufu yake 1800usd in 10hrs? tooo far san hyo
Niiice! Ukiijua hii taaluma unakula kiwepesi sana but haitaki kitu kimoja tu tamaa. Greedy and emotions will wipe you out immediately.
Huwez kunielewa best mpaka utumie macho ya ndani ya kichwaaaaAhahaha!! Sijakuelewa best!