Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Dah jamaa alikuwa anawapeleka mbio kichizi.... Na mimi ilibaki kidogo niwe tambara la viraka...... Anyway poleni sana wazee.
 
KUNGURU MUOGA....... na huwa hafanikiwi
watu ni waoga wa maendeleo na kiufupi wanao piga pesa huwa hawana mda tena wa kuja na mada huwa wanakuwa bize na mambo mengine na sio rahisi hata kuwajua ovyo. so una weza angalia watu walio fanikiwa kwenye forex kupitia vijana wa south wako wengi tu mbona na wengi sana, kwa bongo bado wanakuza mitaji japo wapo pia kama wahindi wamejificha sana,
na watanzania wengi tunapenda kutafuniwa kama mlivyo kuwa manatafuniwa mlitegemea ontario kwenye kuwapa signal ila unge soma mda ambao uko free nahisi ungekuwa mbali sana. akili ya ontario changanya na yako na vitabu na video tutorial na tech na fundamental TRUEST ME YOUR THE BEST

mimi nilianza hivi kabla hata sijaja jamii forum maana nilikuwa na mda wa kujifunza nilikuwa napata hasara sana kidogo nikate tamaa
mwanzo.JPG


nikajitaidi nikaendelea kujifunza mwenyewe geto bila kuchoooka na kukata tamaa ikaja hvii
pili.JPG


mambo ya kaanza ku change na kumbuka ni demo hapo nilikwa sina hata mzuka wa kufungua live na nilikuwa na trade binary ya IQ
bij.JPG


basi maisha yakasonga kujifunza kote kote
tatu.JPG



mpkaaa saizi naandika uzi huu kama mimi mwenyewe inanitosha kabisa kusema kuwa siachi kujifunza wala sito kaa niache ku trade ni sawa na BILL walter.

mambo yaakaa anza ku chanje kupungua kwa hasara tofauti na zamani
nikaanza kuna vi faida ila sikujua jinsi ya kupata faida ya kutosha.
na mwisho kabisa
nne.JPG



na bado niko na demo japo nilichoma account kipindi cha nyuma kama mara 2 sema siku jilaumu coz niko alone na nilikuwa new B ila hadi ninako elekea nahisi nitafika
life.JPG



USHAURI WASIO AMINI FOREX WAACHE maana mnaogopesha wenye moyo wa kujifunza WANAO AMINI FOREX TUENDELE NA SAFARI
 
Nyie wabongo kwa kuwapa majina watu ya utapeli hamjambo

Ontario aliwapa Huduma ni ilikuwa lazima ajilipe kupitia pesa zenu ,

Utapeli ni kutoa kitu alafu ukapewa kitu fake , lakini umetoa pesa ukapata Huduma ,unaitaje utapeli sema wewe umeshindwa

Halafu utapewa mafunzo Bure ? Lazima ulipie Mimi sioni utapeli Wa Ontario Bali naona kasumba za watanzania

Kulalamika kulalamika kulalamika
 
Mkuu wanaoibiwa hapa huwa ni wageni halafu huwa ni dependent traders kama wa TMT. Mfano mimi kuna broker mmoja alishawahi kucheza na MT4 na nikagundua kwahiyo nikafanya analysis kutumia broker mwingine. Mfano mkuu unaoneshwa Shooting star lazima akili iwe tayari kuanza selling lakini ukiangalia broker mwingine hakuna ile shooting start bali ni bullish harami.
Kwahiyo wanakuchanganya kwenye candlesticks pattern/price pattern au wanacheza dili na mentor kuwadivert badala ya kusell nyie mnabuy kwakuwa mnamsikiliza. Newbies wengi wanauingia huu mtego lakn naamini kinakuja kizazi cha profitable traders Tanzania
Kama hikiulichosema ni kweli,,sasa huu ni utapeli unaofanywa na ma broker +mentor.Hatari sana
 
Kwanini unapoteza muda kujibu watu wasiojua kitu? Kama wanasema Forex ni kamari,utapeli wakati sio kweli wewe inakupunguzia nini?
Hapa mlengwa mkuu anajulikana kwanini wewe upoteze muda na kutolea watu maneno ya dharau?
Anayetoa maneno ya dharau atajibiwa kwa dharau pia .

The main concern ya mimi kuwajibu watu humu ni kutokana na wao kui attack the whole industry ya forex badala lawama zao wazielekeze kwa huyo Ontario .

Nikiwa kama mwana industry na ninaye faidika na hii biashara moja kwa moja kutoka sokoni sio kwa hela za watu lazima niipiganie kwa namna yeyote .

Na sisitiza watu kama hujui Forex kiundani acja kutema sumu hapa ni heri uwe mtazamaji tu .

Na kama una dukuduku lako muelekeze huyo aliyelisababisha .

Forex haipo kwa ajili ya kila mtu ieleweke hivyo na forex sio get rich quick scheme muache kudanganywa huko mitaani na social media .

It needs time,sacrifice,patience and more skills .

Kama huwezi pata hivi vitu stay out of forex .

forex is real but not for everyone

Asapp!!
 
Mimi naendelea kuwakumbusha tu,ukiona unaitwa kwenye fursa jua wewe unayeitwa ndo fursa!!

Watanzania tujijengee tabia ya kusoma vitu mbalimbali,siyo kusoma magazeti shigongo kila siku.
 
DU ONTARIO BWANA MDOGO WA MIAKA 23 ANAWALIZA WATU WAZIMA? YAANI HABIBU THE BOLD NAYE KAINGIA KWENYE UPIGAJI? BORA AENDELEE UTUNZI AMTAFUTE SHIGONGO AMPE ABC ZA KUTUNGA VITABU APIGE PESA HUKO,DUUUU YAANI ONTARIO ANA UTAJIRI WA ZAIDI YA MILIONI 500? KWELI MLIPIGWA PESA.
 
Nilijaribu kufungua Account fulani ya Bitcons ccount si ilipotea........!!!! nikajiuliza ningeweka pesa siyo ningelia kilio cha Mbwa mdomo juu............Usawa huu wa Magu................!!!
 
Mimi naendelea kuwakumbusha tu,ukiona unaitwa kwenye fursa jua wewe unayeitwa ndo fursa!!

Watanzania tujijengee tabia ya kusoma vitu mbalimbali,siyo kusoma magazeti shigongo kila siku.
mbona mim sijaitwaaa na nik peke yangu
 
Anayetoa maneno ya dharau atajibiwa kwa dharau pia .

The main concern ya mimi kuwajibu watu humu ni kutokana na wao kui attack the whole industry ya forex badala lawama zao wazielekeze kwa huyo Ontario .

Nikiwa kama mwana industry na ninaye faidika na hii biashara moja kwa moja kutoka sokoni sio kwa hela za watu lazima niipiganie kwa namna yeyote .

Na sisitiza watu kama hujui Forex kiundani acja kutema sumu hapa ni heri uwe mtazamaji tu .

Na kama una dukuduku lako muelekeze huyo aliyelisababisha .

Forex haipo kwa ajili ya kila mtu ieleweke hivyo na forex sio get rich quick scheme muache kudanganywa huko mitaani na social media .

It needs time,sacrifice,patience and more skills .

Kama huwezi pata hivi vitu stay out of forex .

forex is real but not for everyone

Asapp!!
Wafuasi wa kibwetereee .....
 
Kijana haukokosea kutupa wazo forex ila utekelezaji wake kusema ukweli uligubikwa na sura ya kitapeli sana kuwaingiza watu mkenge kwa broker aliyekua anachangamoto kuanzia spread zake pia na masharti ya kozi ukwel huwezi soma forex wiki moja na uanze kutengeneza faida papo hapo haiwezekani
Forex kama forex ina hitaji akili nyingi kusoma na kuelewa unafanya nn kinyume cha hapo utachoma account mpaka ujione kichaa
Forex ipo na matapel wa forex kama kina cre na ontorio wapo pia
 
Acha kupenda kitonga mtu mzima na ndefu zako yeye hata hakujui anaanza wapi kukupa hela kubwa kama laki 4 .

We jamaa hata hujui kujiongeza mtu wa ajabu sana

Yaani jibaba zima linasubiria laki 4 kwa dogo hahahah


Na angekupa ungeichoma ndani ya dakika kadhaa au ungeenda kuhonga na kunywea viroba huko uchochoroni

Bora alivyonyuti

Siku ingine akili yako ifanye kazi vizuri
Acha ufàla na wewe..
Chizi sànaaa wewe ña mama ako naye ni chizi anagongwa
 
Back
Top Bottom