Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Honestly speaking sisi tulisoma kwa fee ya 130,000/= sijui intake zilizofuata labda ada iliongezwa?

Vipi wewe ukuwahi fursa iliyogeuka juice ya fursana kwa mtu mmoja? Akatukunywa?

Hahahaaaa I’m too smart.

Waaaaay to smart than 99.98 % of the muhfuckaz in here.

So for me to fall for such schemes is almost unthinkable.

Imagine this, some of these muhfuckaz actually believe ‘Julius Magembe’ is my “real name”.

And I’m sitting here laughing out loud and literally rolling on the floor on how dumb, stupid, and gullible they are.

So nah, I don’t really partake in any of those schemes. I just stay in my lane.
 
Ahahaha!! I can't deny that bitter truth I tried several time to trace your ass way back in the days but never succeeded. You are bad ass morfuker.

Previously I thought I'm smart and sophisticated but Now I know I'm dumbass morfuker.. This nigga outsmarted me swiftly..got me roamed in town like all little kid..easily rob my money.Ahahaha! Bow to this nigga.

He has done my ass wrong? Daamn it?

But shit happen bru!
 
Ahahaha!! I can't deny that bitter truth I tried several time to trace your ass way back in the days but never succeeded. You are bad ass morfuker.

Previously I thought I'm smart and sophisticated but Now I know I'm dumbass morfuker.. This nigga outsmarted me swiftly..got me roamed in town like all little kid..easily rob my money.Ahahaha! Bow to this nigga.

He has done my ass wrong? Daamn it?

But shit happen bru!

Hahahaaa.

Check this out right, we live in an information age.

That means a lot of our information is online.

Which means a simple Google search should provide enough hits.

Now, if I live in the ATL and I’m a homeowner and whatnot, if you Google me you should get plenty of hits.

Now Google that name and see what you get......

Teh teh teh
 
Jisajili Templerfx upate dollars 30 bure. Ukisha kamilisha usajili omba hiyo 30 kabla ya kudeposit
Templer FX Trader
 
Bavaria mimi nakulaan wewe kwanza katika masomo ulikua mstari wambele kutoa kwann hukutuambia kuwa tunaenda kutapeliwa na ulikua unajua je nikisema dhambi zingine ubebe wewe kuna ubaya?
Haukuwa wajibu wangu kukuambia kitu kinachohitaji reasoning ya kawaida kabisa.

Mwanzoni kabisa yeye mwenyewe alikuambia amesoma vitabu na kufanya demo kwa muda mrefu kabla hajafanya live trading. Mliambiwa mfanye demo? Kwanini hamkuomba hilo? Watu kibao walitoa experience zao za kusoma na kupractice kwa miezi na miaka wakaweza. Utaingiaje kichwakichwa kwa training ya siku 5 na kuanza live?

Mi nadhani kila mtu ni mtu mzima mwenye uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo. Haukuwa wajibu wangu kukuambia nini cha kufanya na sio cha kufanya. You are not a kid.

Mlihitaji atleast a year of reading, practice and demo. Fungua ule uzi kuanzia page ya kwanza hadi ya mwisho uone jinsi watu wamewapa onyo kwa njia moja au nyingine.

As a matter of facts, mwenyewe niliifahamu forex 2009 na nikasoma na kupractice hadi nikaanza live trading 2014. I had no mentor wala mtu wa kunifundisha chochote. Na wakati huo vitabu nanunua amazon.

Hakuna broker nisiyemfahamu au kufungua account kwake, hakuna kitabu ambacho sijakiona wala kukisoma.

This world is a jungle, tred carefully.
 
Hahahaaa.

Check this out right, we live in an information age.

That means a lot of our information is online.

Which means a simple Google search should provide enough hits.

Now, if I live in the ATL and I’m a homeowner and whatnot, if you Google me you should get plenty of hits.

Now Google that name and what you get......

Teh teh teh
Ahahaha!! Googling that name is tricky coz you ain't leave no trace behind. Like the Kamikaze.

When you meet the cheater's sugarcoated words your will be automatically pushed into the killing zone by yourself gladly and proudly and your information might not help. He blinds by words.

But the game was sweet it gave my nigga an occupation but the process was illegitimate and fraudulent.

Glad to hear you got home at ATL..TI's home city.

"But don't hate the game hate the player"

I'm gone!
 
Haukuwa wajibu wangu kukuambia kitu kinachohitaji reasoning ya kawaida kabisa.

Mwanzoni kabisa yeye mwenyewe alikuambia amesoma vitabu na kufanya demo kwa muda mrefu kabla hajafanya live trading. Mliambiwa mfanye demo? Kwanini hamkuomba hilo? Watu kibao walitoa experience zao za kusoma na kupractice kwa miezi na miaka wakaweza. Utaingiaje kichwakichwa kwa training ya siku 5 na kuanza live?

Mi nadhani kila mtu ni mtu mzima mwenye uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo. Haukuwa wajibu wangu kukuambia nini cha kufanya na sio cha kufanya. You are not a kid.

Mlihitaji atleast a year of reading, practice and demo. Fungua ule uzi kuanzia page ya kwanza hadi ya mwisho uone jinsi watu wamewapa onyo kwa njia moja au nyingine.

As a matter of facts, mwenyewe niliifahamu forex 2009 na nikasoma na kupractice hadi nikaanza live trading 2014. I had no mentor wala mtu wa kunifundisha chochote. Na wakati huo vitabu nanunua amazon.

Hakuna broker nisiyemfahamu au kufungua account kwake, hakuna kitabu ambacho sijakiona wala kukisoma.

This world is a jungle, tred carefully.
Sasa kwann hukushaur huyu broker jp sio mzur kwa newbie...? Na uli n support kwa mkono miwil
 
Its not about the disclaimer, its about the process of doing trades and contract which was violated.

Nimekwambia kuongeza two pips spreads without our consent it's wrong and against the law.

Kutuunga kaka IB link without our consents is illegal.

Kutuletea incompetent and inexperienced mentor is illegal.

Kutupa shallow and primitive training ya siku tano eti tuwe professional ni sawa na mgambo kuwapa training ya wiki then uwapeleke vitani...utashtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi kwa murder case ya kusababisha mauji kwa kudhamiria.

The guy is fraudulent and criminal.

E.t.c

Mbona kama una muhukumu kwamba ni criminal? Huwezi muhukum mtu ni mahakama tu ndio inaweza fanya hivyo, na mbele ya sheria hizi zinaitwa "tuhuma" sasa wewe umekimbilia ku judge as if umekuwa mahakama!!

Stop whining!!
 
Kuna watu kibao humu JF walituasa kwamba Forex ni utapeli hilo kwanza napingana nalo kwa nguvu zote sababu sio kweli kwamba forex ni utapeli kabla sijafunguka mengine niwathibitishie nimejiridhisha bila hata lepe la mashaka kwamba Forex is real and its my future lifestyle na binafsi sijioni nikikoma kufanya Forex licha ya haya magumu ninayopitia bali mawazo yao ninayachukuliaga kama catalyst ya kutaka kuzidi kuijua hii biashara kwa mapana zaidi kujua weakness na strength zake na kujua potential scammer, wezi na matapeli wakoje maana wametawala hii biashara kwa kiasi kikubwa kutokana na kuwa na money liquidity kubwa kuliko soko lolote duniani..more than 6 trillion USD is traded daily on the Global financial market..hiki ni kiasi kikubwa sana hivyo matapeli huwa wanazengea zengea kwenye magap Kama haya yenye mkwanja mrefu..my economic cake pie is in Forex that's why I wont quit it easily.

But changamoto kubwa ya Forex ni hawa brokers na trainers..ninaposema trainers nazungumzia mtu kama Ontario hawa waliochungulia fursa mapema na kuintroduce kwa watu nchini kwa kigezo cha kuitoa elimu kwa bei sawa na bure tusijue wana agenda yao ya siri na Wasauzi ya kutaka kuwaliza watanzania wenzao.

Ontario ni mtunzi mzuri wa story na ana kipawa cha kusimulia na kushawishi kwa ufasha na ni mtu mwenye uelewa mpana wa mambo but anakosa kitu muhimu sana katika maisha uwezo wa kusocialize na watu in harmony..he is not a leader he is a boss na ukiangalia there is a thin line between a leader and a Boss..Ontario ana dharau, kiburi, na kejeli mbaya sana bila kujalisha umri wa anaeongea nae. Hana attentive listening ukiongea nae anakuangalia kama Choo na hajali lolote najua wengi waliokutana nae watakiri huu ukweli mchungu kwake ukiona mtu ana urafiki na Ontario ujue huyo mtu analazimika kujishusha sana kwa huyu dogo ili waende along. Huwa nashangaa ni rafiki sana na Bold. Pole sana Bold..I know what you going through.

Wahenga humu walituhasa kwamba ukiitwa kwenye fursa tafakari mara mbili yaweza kuwa wewe ndio fursa.anyways tulipoitwa kwenye fursa mwanzoni mambo yalienda vizuri na humu tulikuwa tunavurumusha screenshot za profit tu kwa maelekezo ya Ontario ili tuwakoge haters hadi haters wakafyata but kadri siku zilivyoenda mambo yakawa kimya ikawa ni loss daily tu watu wamechukua viinua mgongo vyote vikafyekwa sokoni. Hakyamungu!

Saga lilianza around mwezi wa kumi baada ya Ontario kula njama ya siri na broker awe anampa pips 2 kwa kila kichwa na zikiwa zinatoka calls kibao kombo kwa siku na zote zilikuwa sio accurate hivyo na watu kutengenezewa mazingira ya kutrade more often inamaanisha wakitrade watu 1000 wakafungua position 7 kila mmoja na idadi ya spreads pips anazopewa kutoka kwa broker kwa mtu mmoja ni 2..kimahesabu anapata 1000×7×2= 14,000 pips hizi ni dola kibao kwa siku ..wandugu wanojua mahesabu zaidi wanajua ni madola kiasi gani jamaa kavuta, hili suala alituficha but aliwahi kusema "Bob Marley you can fool some people for sometime but you can't fool all the people all the time"... Tukashtuka..tukamuuliza..akakubali ila akakiri alituficha na hayo mamilion yanayopatikana ni kwa ajili ya kuendeshea ofisi ya TMT co Ltd iliyoko pale Jangid plaza.. Watoto wa maskini tukakubali tu kwa shingo upande ila tukawa tumeghafilishwa na kusikitishwa sana na hizi njama zao..hili likapita na tukajilazimisha kulimeza maana ukipenda boga upende na ua lake.

Tamaa ni mbaya sana..licha ya kuchukua mamilion kutokana na hizo pips hawakuridhika..bado tena walikuwa wanachukua pesa kibao kwa siri kwa ajili ya IB link kwa affiliate program waliotuunga nayo siku tunamaliza mafunzo bila ridhaa yetu kutoka kwa broker kwa sisi tukipata loss sokoni wao wanapata chochote maana broker wao ni market marker. Hakyamungu! People are heartless.

Kama ilivyo asili ya watu wenye tamaa mbaya wakivurugana basi wao hukimbilia kutafuta sympathy ya Wateja..juzi wakavurugana broker na TMT kama ilivyo tabia ya wezi na matapeli kugeukana.. Majuzi wenyewe wanakuja na habari kwamba yule Broker ni market Maker na mwizi..kweli? Wakati wewe mentor umeishi South afrika na umekuwa Trader kwa miaka kibao bado hujui status ya broker unae trade nae? Na inakuwaje mrecomend broker mwenye walakini na competency na efficiency yake? Broker nae anajitetea kwa kutuma texts kwa Wateja privately akimtuhumu huyo mentor kuwa ni batili na mbabaishaji na kuwasihi watu wamuignore!? Blalifuli!

Tangu mwanzo mchakato uligubikwa na walakini mkubwa uliokuwa unaendelea..kwanza kumlazimisha mtu afungue real account baada ya siku tano tu za kumaliza mafunzo na aweke laki tano kuanza kutrade ilikuwa ni ishara ya wizi wa wazi sema tulikuwa na trust na maneno sukari ya Ontario, thus we were blinded and we had fear of missing out easy Money.. Hatukujua!

Kutoa calls zaidi ya 7 kwa siku ni ishara mbaya ya kuwafanya clients waovetrade then wao wapige hela. Wizi huu.

Kuwaambia watu waongeze position ilhali wako in deep red ilikuwa ishara ya wizi, kuwataka watu waburn account zao wao wanufaike.

Kudiscourage matumizi ya stop loss ilhali ndio silaha ya kukinga mtaji wako kwenye Forex ilikuwa ishara ya wizi.

Watu wapoteze zaidi ili mpate zaidi maana kila ijumaa ilikuwa tunapunwa hela yote ya wiki nzima.

Mungu sio Sholo Mwamba, Yule broker market maker aliekuwa anatupiga sisi kwa tamaa kapitiliza kawafanyia mtimanyongo hadi kampuni ya TMT kaipuna zaidi ya nusu billion mapema mwezi wa kwanza. Imagine kampuni hii Changa ya huyu dogo imewazaje kupata nusu billion kwa muda mfupi hivi? Ni mikwanja aliyotuibia sisi misukule wake. But in life! "easy come..easy go"..ukikipata kiwepesi..kitaondoka kiwepesi pia. Nusu billion gone in a single month. Kweli JP Market broker ni hayawani!

Nitoe Rai kwa Ontario...sio kwamba namchukia hapana Bali naamini biashara inayohusisha watu moja kwa moja haiwezi kutokana na tabia yake mbaya ya asili..biashara na dharau, kebehi, utapeli na matusi havichangamani milele. Ni vyema akaendela na kilimo apate mil 19 zake kwa siku. Ameharibu kitu muhimu sana katika maisha yake ya biashara "Brand" and trust ya watu wengi aliowavuta kwa maandishi matamu humu JF..Trust ya watu pekee ni mtaji mkubwa kuliko hata mtaji wa fedha.

Fid Q aliwahi kusema neno lenye utamu siku zote halina ukweli na neno lisilo na utamu ndio lenye ukweli ndani yake. Tuwe makini sana na maneno matamu ya watu wa kariba ya Ontario.

Kwenye ile thread yake ya Namna alivyopiga milion 19 alipata kusema hivi "shika akili zao waachie mioyo yao" ndio kauli mbiu yake guys tuwe makini dogo asishike akili zetu kirahisi.

Namshukuru kwa kutuletea fursa hii adhimu lakini isiwe sababu ya kutuibia, kututapeli na kutunyanyasa economically and emotionally.

Rai kwa traders waliopigwa za uso na ndugu yao.."if you want to be strong learn how to fight alone" kwa kuwekeza Kwenye skills and self learning tunaweza kuwa self consistency profitable traders..let's ignore TMT they are scammer and predators and I don't recommend anyone to trust them.

Don't hate the game, hate the player.

Oooooopsiiii! Finally misukule wa Ontario tuko huru but tuko nyang'anyang'a kiuchumi. But it feels good kuwa huru.

Forex sio utapeli, matapeli ni mawakala wake.

Ni bora walimkavu...kuliko walimwengu!

Freedom!.
So sympathetic and Sad
 
Sasa kwann hukushaur huyu broker jp sio mzur kwa newbie...? Na uli n support kwa mkono miwil
Huo sio wajibu wangu kuanza kuchambua brokers. Ulikuwa wajibu wako kufanya utafiti. Unataka utafuniwe kila kitu?

Kama unaona hata basic stuffs kuhusu forex unataka utafuniwe, achana na forex kafanye mambo mengine.

Wewe ni mtu mzima, usisubiri uambiwe kila kitu.
 
Wale wa "Da Mange" alishawahi kuwaambia D9,Pamoja na Forex ni mchezo mbaya leo ndo hayo.
"Mama aliniambia mwanangu kuwa uyaone nilizani maghorofa"Diamond Platnumz
Kwa hiyo kahaba mange ndo ameshikiria kichwa chako umejipa muda lakini kusoma forex
Mkuu kama hutojali njoo pm unipe elimu kuhusu haya mambo
Mzee baba sitoi training wala signals cha kukusaidia pitia vitabu hivi naked forex, price action na astroforex halafu nenda youtube tafuta channels za astroforex na urbanforex download video zote na uanze kufuatilia hizo training kwa umakini video ni ndefu na ukifuata kwa umakini hutohitaji sijui indicator wala training uchwala wala signals ila practice sana pips 40 utakuwa unaziona chache sana.
 
Huo sio wajibu wangu kuanza kuchambua brokers. Ulikuwa wajibu wako kufanya utafiti. Unataka utafuniwe kila kitu?

Kama unaona hata basic stuffs kuhusu forex unataka utafuniwe, achana na forex kafanye mambo mengine.

Wewe ni mtu mzima, usisubiri uambiwe kila kitu.
Wewe jamaa n snitch sanaaa.... wakat Jamaa analeta hii mambo ulikuwa namba moja kuelekeza watu basics Leo hii unasema haikuwa wajibu wako.. wewe sema ulipewa share n.a. huyu tapel unyamaze kimya... huyu broker ulikuwa unamjuaa.. ukaaka kimyaaa wtu wamepoteza pesa nying.. kwenye bible kuna mstari unasema ukimuona mwenzako anaangamia/kupotea na wewe ukakaa kimya dhambi yake unaibebaaa... dhambi za wanyonge masikini lazm uzibebeeee... snitch..
 
Nashangaa mibaba na mimama mizima humu inashindwa kung'amua kuwa ilikuwa ikizidishiwa SPREADS pale Jangid hivyo kupelekea wengi wao kuunguza account kupitia yule broker kutoka kule kusini mwa Africa.


Nakumbuka mwaka jana mwezi wa 10, nina mdogo wangu wa kitaa anaielewa sana forex alitolewa kwenye group la forex la TMT kwa kuwafumbua macho watu kuwa spreads za Huyo broker msouth zina dalili ya wizi,ujambazi na ukabaila wa hali ya juu. Sasa ninajiuliza kama mtoto mdogo vile aliweza kufanya analysis zake na kubaini kuwa huyo broker kutoka nchi ya Mke wa mandela "Winnie Mandela" ana viashiria vya "Panya road" wa yombo vituka.


Nashangaa sasa inakuwaje watu wazima ambao wanajiita ni product adhimu/safi ya training za forex kutoka ILE ofisi ya pale Jangid kushindwa kufanya analysis ili wajue broker yukoje????.
Moja ya basics za training za forex ni kuweza kumsaidia mwanafunzi kubaini scamm broker. Kama mpaka sasa kuna mwanafunzi anajiita ni forex trader na ameiva kwa zile training huku akiwa hajui namna ya kubain yupi ni broker bora napata wasiwasi sana.


Sina conflict of interest na Broker au mentor yeyote dunian na mbinguni, ila siku zote nitaongea kile ninachoona ni kweli na haki. Moja ya kweli hizo namshukuru ONTARIO bila yeye nisingeijua forex na moja ya "kweli" nyingine ni huyu mtu either kwa makusudi au si makusudi kitendo cha kuongeza spreads ni kitendo cha kijambazi/kimbali kisichomithilika.



Nawasilisha.
 
Forex ni kama sport betting????....huyu le professeri vipii...hv kwenye spot betting unaweza tumia stop loss....hv kwenye sport betting unaweza take partial profit???yaani kwa mfano labda umebet match kati ya ManU Vs Mancity kuwa ManU watashinda na akishida labda utapata 100,000 ikafika half time ManU akawa kashampiga Mancity 1:0...hv unaweza kwenda kwa muhindi ukamwambia kuwa akupe 50,000 yako kuwa hutaki kuendelea mpaka mwisho wa match???

Kwenye forex unaweza take partial profit yaani kama lengo lako labda kwenye hyo trade ulikuwa unataka utengeneze pips 50 zinaweza fika pips 20 na ukaona kama kuna kitu kinataka kwenda kinyume na wewe ukaamua kuchukua profit ya zile pips 20 na kukaa pembeni. Sasa hapa sijui mtu analinganishaje forex na sport betting.
Turbo payout
 
Wewe jamaa n snitch sanaaa.... wakat Jamaa analeta hii mambo ulikuwa namba moja kuelekeza watu basics Leo hii unasema haikuwa wajibu wako.. wewe sema ulipewa share n.a. huyu tapel unyamaze kimya... huyu broker ulikuwa unamjuaa.. ukaaka kimyaaa wtu wamepoteza pesa nying.. kwenye bible kuna mstari unasema ukimuona mwenzako anaangamia/kupotea na wewe ukakaa kimya dhambi yake unaibebaaa... dhambi za wanyonge masikini lazm uzibebeeee... snitch..
I'm sorry for your loss.

How on earth do you think you can be a profitable trader in a 5 days training?

Forex is not for you. Kafanye mengine.
 
I'm sorry for your loss.

How on earth do you think you can be a profitable trader in a 5 days training?

Forex is not for you. Kafanye mengine.
Hakika ulipewa share n.a. Ontario.. mpige PESA za masikin wenye kutegemea mlo mmoja kuishi ... na mfungwe Jiwe shingoni mtupwe Baharini ..
 
Hakika ulipewa share n.a. Ontario.. mpige PESA za masikin wenye kutegemea mlo mmoja kuishi ... na mfungwe Jiwe shingoni mtupwe Baharini ..
Forex haifanywi na masikini kama wewe ambao hawatumii akili ya kawaida kabisa.

Unaambiwa usiweke stop loss na wewe huweki. Hivi umemaliza hata kusoma forex bible?
 
Back
Top Bottom