Kuna uzi humu niliwahi eleza kisa chote nimesahau heading ilikuwa inasomekaje.
Yule demu alikuwa muuza maziwa pia alikuwa msabato. Hapo kitaa wahuni walikuwa wamejaribu kila njia lkn akawachomolea iwe hela bado kwao ilikuwa ngumu sana.
Baada ya muda nikaweka uteja kupitia mama yake na wamama wengine wauza maziwa sikuwa na mazoea na binti yyte pale.
lengo lilikuwa kumnasa yule binti.kwanza alikuwa mzuri sana na amepanda juu yaani tunalingana urefu futi5 cm kadhaa....
Nikabahatika kumteka mama yake kiheshima huku yeye ni salam tu na alikuwa na nidhamu kubwa sana.
Mama yake alipojaa kwenye mfumo basi siku mama asipokuwepo nitajifanya kusitikika kabisa.
kufupisha.....baada ya siku kadhaa nikaanza kumwingia kuwa anipelekee maziwa geto yaani awe ananiletea hata kama sipo anaweka tu getoikawa hivyo yeye hata mama yake .
Nilikuwa wakala kipindi hicho wa bank kadhaa hivyo nilikuwa na kawaida ya kuomba note za buku kiasi hata cha laki2 mpya. nikamuonyesha kuwa hela yako uwe unachukua hpa hapaswi kupajua mtu mwingine tofauti nawewe akakubali.
pia nikamwambia issue yoyote ya hela inayomuhusu awe anachukua hata bila kuomba ukumbuke hakuwa na simu. Mara kladhaa alikuwa anatumia ya mama yake.
Siku zikaenda mazoea yalishakorea sasa na nilikuwa hadi namsindikiza kwenda kwao hata mama pia.
kuna siku mama yake alileta maziwa geto siku hiyo alipofika mvua kubwa ikaanza nyesha mle geto hapakuwa hata na kiti nikamuomba ake kwa godoro akagoma badae akakubali mimi nkakalia ndoo. badae maza ake alienda mida kama ya saa2 hivi usiku biashara ishadoda.
Siku moja demu huyu alikuja nikamshawishi anipikie ukumbuke kule maziwa kaachia watu tu kumshikia wanauza ya kwao tu hadi saa2 mzigo uko vilevile . tukapita hoteli moja nilikuwa napenda kula pale hata mama nilikuwa nampeleka kula hapo nikawaambia leo biashara imegoma naomba nikuuzie haya maziwa kwa sababu wewe una firiji nakuuzia kwa bei ya ofaa akakubali tukauuza halafu helailiyopelea nikafidia.
hapo sijawahi mwambia nampenda wala nini hata hela aliwahi chukukua3000 tu.Mama yake alinikubali hadi akawa ananiletea nyama ama kuku wa kuchinja muda mwingine mahindi mabichi nachemsha kuchoma.
Baada ya kumuweka kiganjani mama yake hofu kubwa ikaja iwapo mama atajua hii ya mwanae ataniona wa ovyo sana.Siku moja nilijifanya naumwa ili aje tu kweli akaja ilikuwa siku ya sabato akaaga anenda kusali kanisa jirani walikuwa sijui na kusanyiko sijui wanafunga makambi whatever. siku hiyo ndo nikashinda nae alivaa nguo zangu kwa kuniomba nimpishe abadiri nikakataa sana badae nikakubali akavaa alifua hadi boxer mashuka nakupika nk.
Siku hiyo ndo nilimwambia kuwa namuhitaji akaniambia niende kwao hapohapo akasema ameshachumbiwa na wazazi hawatakubali niolewe mara2 iliniuma sana nikakumbuka hela zangu muda wa kumpeleka kwao kumbe ananichora tu.
Aisee japo yeye hakuona reaction yangu nikamwambia nami najua mzuri kama wewe huwezi baki bila kuwa na mme ama mahusiano. Basi katika story akaniambia hajawahi kusex kabisa....siku hiyo alienda .....
Dada yake aliuguliwa katoto akalazwa na akaombwa aende kwa dadake.Hivyo mama yake ndo alikuwa anakuja kuuza maziwa sisi tunapeleka chakula jioni hospital baada ya mimi kutoka job. hakuna aliyejua na dada yake alijua mi ni Dr Tu maana nilikuwa na koti lasuti jeupe na miwani ya kuzugia nilikuwa nikiingi wodini. nasalimia karibia kila mgonjwa (mtoto).
Hivyo dadake hakuhisi kitu chochote hata kujua tu tunafahamiana na mdogo wake.
Mama yake kuna siku alinambia nimtafutie sehemu ya kushona cherehani hii ilikuwa oda kutoka kwa jamaa na mama alinambia ndo nikajua kweli kaolewa kumbe......
Uzuri jirani ya ofisi yangu ya uwakala alikuwepo dada mmoja alikuwa anashona na anavitambaa nilimwambia akakubali mama nikamwambia aje kwanza apaone na amjue yule dada kabla ya kuja kuanza kazi ikawa hivyo...
Jamaa alimuuliza demu anapenda nn ili akija home amfungulie demu akasema kushona ndo akatoa go ahead hii..
Nilibahtika kumla huyu demu na kweli alikuwa silidi. Penzi likakolea sasa kuna siku sasa akaja akalala kabisa maana nilimuhakikisha nitamuoa yeye aangalie uwezekano wa kumuacha jamaa tu.
Sasa nahisi hata mama alihisi kitu lakini kwa nidhamu yangu hakuhofu. ilifikia hatua nikampa ufuguo wa geto maana kushona akawa hataki tena hivyo akifika ananiaga tu kuwa akija dada(mama ) fundi cherehani nimwambie anaumwa amerudi nyumbani. ukumbuke simu ya mama yake anayo kwahiyo akifika geto anapika anadeki na nilikuwa xmart tecno nikampa hivyo kazi yangu nikumuunga bando na kumwambia ingia youtube search vichekesho nk basi kazi nilimaliza kabisa.
Siku moja wazee wake wakaenda msibani lengo ilikuwa wakalale huko msibani ....yeye akaenda kwa dadake by saa11 akaja geto nikawa naye by saa3 mzee akapiga nikaiwahi maana ilikuwa vibration nayeye yuko busy na vichekesho. nikaacha hadi ikakata then nika weka kidenge yeye hakujua kitu akasema baba huwa anapiga kila usiku kuuliza kama tumelala vipi hajapiga tu nikamwambuia hajapiga.
Kumbe walirud bana na baada ya kumkuta hayupo wakapiga simu japo wenzake walisema alienda kwa dada na wakaamini.kesho yake tukaamka saa1 kumaliza kujiandaa saa2 hii hapa.Akaniambi my mi naenda home chap nikacheki halafu narudi kulala umenichosha sana. Huo ndo ulikuwa mwisho wa kumuona asee.....
Baada ya kufika kwao si akamkuta mzee wake na mama yake wakauliza mbona umetoka kwa dadako mapema hivi hata vyombo hujaosha wewe.Mzee wake akapiga simu kwa dada yake bahati nzuri haikupolewa na muda tu mzee akatoka akaenda kutembea hukohuko dada akamurudia mzee wake baada ya kuona alitafutwa mzee aliuliza rachel alilala huko? dada yake hapana alirudi mbona.
Mzee akamrudia mama yake muda huo anajiandaa aje kushona mzee akatoa amri rachel asitoke getini maana hajalala hata kwa dadake....hapohapo jamaa aliyechumbia akapigiwa simu aje achukue mke wake. huku akipewa maneno makali sana na mzee huyu rachel hasa laana iwapo hata sikia maneno yake.
kwa kifupi mkuu hii ni shot story tu na nimeruka vipengele na kuchnganya story utafute ule uzi ukiupata ndo utaelewa zaidi. Ukweli niliumia mno asee lakini nilijipa moyo konde. demu baada ya kwenda kwa jamaa kesho yake tu akanipigia simu ndo akanipa full strory kuhusu kwao tena ananiraumu kwanini sikwenda na ananimbia atoroke nikamfiche kijijni kwetu hata miezi3
Muda ananiambia hela anayo ya nauli kama mimi sina nafasi niwaambie tu nyumbani kuwa kuna mgeni anakuja wampokee atokomee na anasisitiza kuwa ukikubali tu mi naanza kwenda sasahivi.
lakini nilipiga chini kwa maumivu makali mno nikakataa.nilimblok kama mara3 nikachoka sasa maana alikuwa anabdiri no mara achukue kwa majirani zake tu badae akanipa masufuria ya kuanzia maisha ninayo hadi leo