Hivi ndivyo tunavocheat, palipo na viatu vya muwewe kuna ndala zangu

Eeh mkuu una experience hivyo!!
Uwezo wa kumuoa kipindi hicho nilikuwa nao maana nilikuwa wakala wa crdb,nmb,Nbc pia agent wa vochana sigara karibia zote hama pia nilikuwa wakala super agent wa mpesa(kuweka float) na nilikuwa na laini ya lipa kwa mpesa kipindi hicho ilikuwa hakatwi mtu yaani kama unabuka hawakati kitu. hivyo nilikuwa naondoka hadi 300k ambazo boss hawezi jua kitu.

kwenye vocha kadharika maana hatukuwa na bei maalum box la vocha za m80 kutoka dar nikifika ndani ya siku2 zimeisha! hapo bei tuliyokuwa tunauzia tofauti kulingana na mteja anataka mzigo kiasi gani wapo tulikuwa tunauza 470/475/480. hivyo hesabu unakuja kufunga na bei na bei ya 470 kwa mzigo wote fadia nyingine juu yangu.

kumbuka mshahara nalipwa 70k kwa mwezi pamoja nakushika manot yote yale...nilikuwa na jamaa zangu kila weekend nilikuwa nawatoa 30k ama 50
 
Haka kauzi heading yake nilikuwa sielew,nikawa nakapitiliza tu,kumbe kana hadithi tamu sana hv

Ila huku mwisho umekuwa mjinga sana,kuforce kwenda kwa jamaa wakat unajua jamaa yupo nchini hz ni nyege gani

Niliwah kuwa na mke wa mtu kama huyo,yeye ndo alikuwa ananitafuta wakat jamaa yake yupo,mim sikuwa na muda nae kabisa,hata siku jamaa anaondoka yeye ndo alinitafuta kwa bashasha na nilitaka hata tumalize wiki mbili bila kukulana lakin alishindwa,alitaka tuendeleze chapu
 
Ni uzi wako afu umeusahau jina
 
Eeeh ulikua unapiga pesa mkuu 300k kwa mwezi parefu sana
 
Mapenzi upofu
 
Karibu sana kaka. Mambo mazuri hua hayawekwi wazi sana. Share na wadau kaka.

Kuhusu ubwege wa mapenzi ni kweli, ktk hiki kipindi ninapitia ujinga mkubwa kama sio upofu lakini episodes ijayo nitaibuka shujaa. Karibu.
 
Kwa miaka hii ni 2% tu ya wanawake kama Recho wasiowazia hela
 
Daah...! Ila kwa kweli umezingua. Ulichotaka mpaka ashtukiwe. Mtu kakuambia,eti hajaview status? Hilo tu ndio uamue kumlipua mwenzio?. Halafu amecheza trick kukujibu hela yako nakutumia,bado umeng'ang'ana tu? Mbona simple tu mtu unaeelewa kinachoendelea upande wa pili. Umeshindwa kuvumilia kweli muda mfupi tu? Au ni uelewa tu?. Recho alikuzidi sana akili. Wewe akili imemezwa na mapenzi tu mpaka umefikia hujali ustaarabu mwingine.
 
Umenielewa vizuri sana. Nilikua sioni chochote kana kwamba nimeshaoa. Tuone muendelezo Hali ipoje. Karibu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…