Hivi ndivyo tunavocheat, palipo na viatu vya muwewe kuna ndala zangu

Mwanaume anaweza kuuchukua huu ushauri?
 
Sema nao wanawake wakija na uzi za kutoka wa Waume za watu.....Naamini pasipo na shaka lolote Server za JF zitajaa maana katika wanawake 10 hawa Gen z 8 wanatoka na waume za watu.
Waje waje. Nimefurahi kuona baadhi ya watu wamejaribu kuandika japo ni katika comments. Hii ni safi.
 
Mtiririko mzuri, unadishi makini na mafundisho yaliyobebwa, yamefanya simulizi hii kuwa isiyochosha, yenye mafunzo na kuburudisha. Japo wivu wako dhidi ya mali ya wizi kuna wakati ulikuzidi msimuliaji. Tunashukuru hasa kwa Bonus Episode.
Ahsante sana Barakoa. Hakika nilikua bwege wa mapenzi. Ilikua darasa zuri kwangu lakini. Ni gharama niliolipa kufika maturity level niliopo sasa. Ile Link ya vijana ktk Bonus Episode Ina jambo letu kaka. Karibu sana.
 
Yani ndo imeisha bila mwenye mke kukufumania 😞

Sijapentraaa 😏😹

Au umechana page? 🀣
Hahaha! Labella tatizo unapenda sana chai. πŸ˜‚.

Pita pale kwenye link ya vijana. Kuna jambo lako pale
 
Yani ndo imeisha bila mwenye mke kukufumania 😞

Sijapentraaa 😏😹

Au umechana page? 🀣
Hahaha! Labella tatizo unapenda sana chai. πŸ˜‚.

Pita pale kwenye link ya vijana
 
Balaaa
 
We' ERoni toka huko milimani uje upoozee baridi kwenye huu uzi unapitwa...🀣
Mwite na nduguyo Atoto
Shem imebidi nisome, story tam unahisi upo ndani yake.🀣🀣

Usiku nilipitia ile ya Patrick, nayo nzuri balaa, hawa jamaa wanajua kusimulia.

Mbona naona wenzetu wana bahati sana kupendwa, sisi wengine tuna nini???
 
Shem imebidi nisome, story tam unahisi upo ndani yake.🀣🀣

Usiku nilipitia ile ya Patrick, nayo nzuri balaa, hawa jamaa wanajua kusimulia.

Mbona naona wenzetu wana bahati sana kupendwa, sisi wengine tuna nini???
ERoni karibu sana.
 
Shem imebidi nisome, story tam unahisi upo ndani yake.🀣🀣

Usiku nilipitia ile ya Patrick, nayo nzuri balaa, hawa jamaa wanajua kusimulia.

Mbona naona wenzetu wana bahati sana kupendwa, sisi wengine tuna nini???
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Hii story nzuri sana Shem...
Hiyo ya Patrick sijaiona..
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Hii story nzuri sana Shem...
Hiyo ya Patrick sijaiona..
Ukipata mda pitia hapo, kuna kina Mary, Recho na Grace🀣🀣

 
Huu ushauri wa kuwafundisha Imani zao na ili wawe na hofu ya mungu kweli kbsaa. Mwanamke akiwa na hofu ya mungu hawezi kuchepuka hata awe mpweke kiasi gani.

Hili naongea kwa uzoefu nalo. Niliolewa na mume anafanya kazi nje anakuja kwa mwaka mara moja na akija hakai zaidi ya week au week mbili, mwaka mzima mnaongea wasap tu lakini ndani ya miaka 6 tuloishi sikuwahi hata kuwaza kutoka nje. Kwaajili ya hofu , hivi Mungu namjibu nini siku ya mwisho!? Unakuta unajizuia na kujichunga licha ya upweke ulonao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…