Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwandiko mzuri 🙌 although.. mko na dhambi ya kuua kiumbe kisichokuwa na hatia kwa starehe zenu wenyeweBONUS EPISODE
HIVI NDIVYO TUNAVOCHEAT, PALIPO NA VIATU VYA MUMEWE KUNA NDALA ZANGU story ya kweli kati yangu Hovering na Recho ambaye ni mke halali wa mtu. Nimeileta kwenu kama sehemu ya kuonesha nini kinatokea linapokuja suala la kutoka nje ya Ndoa iwe kwa maksudi au bahati mbaya.
Kama ilivyo kwa wengi ambao tukisoma habari za uchawi tunahisi ni uongo au kuchanganyikiwa kwa mtu mpaka likukute, ndivo ilivo katika mapenzi ya aina hii. Wengi hushindwa kuamini habari za fulani ana chepuka na fulani mpaka tukio la kufumaniwa/kufumania likukute.
Andiko langu halichochei wala kuchagiza ukosefu wa uadilifu kwenye mahusiano halali hapana. Nimetoa picha kwa uchache namna mambo yanavyokua walau kwa kusoma tu upate ABC, Mimi nikiwa kama muhusika mkuu.
Kupitia 'comments' nimeona watu wakitoa hisia zao na mawazo yao kila mtu kulinga na alivyoitafsiri stori na hii inatoa picha halisi jinsi gani haya mambo ni kweli yanatokea katika jamii na yanatugusa.
Bwana mmoja nimuhifadhi ID yake naona nilimgusa kiasi cha kunitishia nisiendee na kisa. Wapo waliofurahi na kutamani stori iendelee. Haya yote nimeyapokea.
Na hii sasa ndio imenishawishi kuongeza kipande hiki walau nizungumze na makundi makubwa matatu. Mosi ni sisi vijana. Pili, wanawake waliopo ndani ya mahusiano hususa ni ndoa, uchumba nk na mwisho nimalize na sisi wa baba/watu wazima tulioa au lah.
Karibu sana tuzungumze kupitia kundi lako.
Vijana
Imekuwa ni kawaida kabisa kukuta vijana wa umri kati ya miaka 23 hadi 35 wanatambiana kulelewa na wanawake wanaojiweza kiuchumi na umri mkubwa, huku wengine wakibaki wanajiuliza hizo 'bahati' wenzao wanazipata vipi.
Kwa kifupi kweli ni 'bahati' lakini ni 'bahati mbaya'. Kwanini ni bahati mbaya nimekuweka link ya Uzi wangu pendwa. Hapo naamini utajiona upo salama au lah!.
Nisingeamua, ningeacha kimemo kama Katibu
Wanawake ndani ya Mahusiano.
Kuwekwa ndani ya nyumba, kuaminiwa na mwanaume umzalie watoto, kuhudumiwa kwa kadri ya uwezo wa mwanaume wako ni dhamana kubwa ya mwanaume dhidi yako.
Ni kweli inawezekana umeolewa kwasababu kadha wa kadha ikiwemo unafuu wa maisha, kulazimishwa ndoa na sio hisia nzito za mapenzi juu ya mmeo lakini heshimu hio dhamana alioibeba kwajili yako.
Unaheshimu vipi. Ni kwa funga milango au mianya yote inayoweza kukuonesha mapungufu ya mtu wako. Kuna kina Z wengi sana katika jamii ambao malengo ya hua ni kupiga na kuondoka na hakika show zao ni kuntu lakini je mwisho wa siku Z wako ataleta ugali mezani!?
Jibu ni Hapana, basi jaribu kadri ya uwezo wako kumuheshimu anaeleta huo ugali mezani.
Toka naanza simulizi mpaka namaliza nimekuonesha jinsi mchango wa kuwa na kitu cha ziada mbali na sex kwa mtu wako kunavyoweza kugeuza akili yake na kuteka hisia zake za kimapenzi. Basi ichukue hio. Nayo ni silaha makini.
Kwa Wababa, wakuu wa kaya.
Nadhani kupitia stori tumeona namna Recho mke wa mwanaume mwenzetu alivoshawishika kutoka nje ya ndoa yake. Upweke!!
Wapo wanaume ambao kutokana na stori wameanza kuhisi wake zao bia shaka wanatoka nje. Hapana wapo wanawake wenye upendo wa dhati na hofu ya Mungu, hao wanaweza kutetea heshima yako na ukabaki mshindi daima.
Lakini pamoja na geti lako kubwa na uzio uliozungushia kwako hio bado haitoshi mke wako anaweza kuliwa ndani hapo hapo kwako.
Mtu mmoja katika 'comments' aliuliza "hivi na huyu wangu( akimaanisha mke wake) analiwa...mbona haioneshi hata dalili".
Jibu la swali lake ni 'uwezekano upo'. Hata huyo mlinzi uliyemuweka getini akulindie mji anaweza kuwa wa kwanza kuwa mwizi wa mkeo. Hapa namaanisha, mwanamke kuchepuka anaamua muda wowote mahali popote.
Basi nini tufanye.
Nashauri tuhimize familia zetu (watoto pamoja na mama yako) kuhudhuria ibada pamoja na mafundisho ya kidini kwa Imani zetu.
Hii Inasaidia kujenga hofu ya Mungu ndani mtu, Hali itakayomfanya kuhisi hatia dhidi ya mola wale pale anapotaka au kwisha kuteleleza dhambi .
Pili, hizi ni zama za ukweli na uwazi.
Ongea na mwanamke wako kuhusu athari za kutoka nje ya Ndoa na msimamo wako ni upi likijitokeza hilo. Kuwa muwazi kwa kumuelimisha mtu wako.
Nilisema ndani ya kisa mwanamke kaumbwa kama msaidizi kwa mwanaume yaani mfuwasi hivyo zungumza kiume pale unapokuwa una address swala nyeti na zito kama hio. Utaeleweka vizuri sana.
Mwisho, Acha kuchunguza simu ya mkeo mara kwa mara na badala yake focus zaidi kwenye kumstaajabisha kwa zawadi na show safii na kufurahia penzi. Isipokuwa ichunguze mara chache na kwa ambush.
Vilevile weka utaratibu wa kucheck afya mara kwa mara hasa unapokua umetoka safari. Nakukumbusha Recho alitoa mimba kipindi mkuu wa kaya yupo nje masomoni.
Lakini hakikisha kipindi cha joto cha mkeo ndani ya mwezi unakuwa karibu. Hii itapunguza zile sababu za kimazingira zinazoweza kuwawezesha kina Z wakapita na gap.
Kwa maoni na ushauri, PM wakati wowote.
Bonus Episode marks the End.
Shukrani mkuu naendelea kufuatilia. ephen_CATTY NI RECHO ?
Salaam wadau,
Sijui hapo una Hali gani ila yote yanatokea kwasababu tumshukuru Mungu. Leo nakukutanisha na Catty, utaniambia tofauti yake na Recho baadae. Mimi nimeshindwa kuwatofautisha.
Karibu!
Ni kawaida yangu kupitiapitia matangazo ya tours especially hizi weekend gateways. Napenda kurefresh baada majukumu kadha wa kadha japo sio mara kwa mara. Na ndio huku nakutana na Catty.
Hii 'Getaway trip' ilikua ni ya siku mbili usiku mmoja (2 Days 1 Night).
Kwa faida ya wengi 'Getaway Trip' ni safari nje ya eneo lako la makazi au kazi kwa lengo la, si pekee lakini kupata uzoefu mpya kwa kutalii na mapumziko. Inaweza ikawa kuweka kambi katika msitu, kupanda milima au kuzuru kisiwa. Si hivo tu lakini pia hata maeneo yenye kutoa huduma zenye uzoefu wa kipekee na tofauti.
Sasa tuendelee,
Baada ya kuielewa package ya tour nikajiunga na hio team ya wadau kama kumi na tano hivi. Eneo la kuenjoy ilikuwa ni Bagamoyo. Kuna chimbo kwa kipindi kile lilikuwa bado bichiii na watu hawamiminiki sana kama ilivyo sasa. Hio kiwanja ipo Mlingotini. Jina sitataja na najua wadau watakutajia kwenye comment.
Jamaa wa tour walijipanga fresh, tulitumia usafiri poa sana wa alphard mbili na hata location ilikua super pamoja na shughuli zote jumuishi.
Catty ni mmoja wa tuliokuwa kwenye hii trip. Baada ya ratiba zote siku ya kwanza kukamilika ni usiku sasa tupo tuna vibe'ka wale Moja baridi Moja moto sawa, sie wa kuchoma nyama nakuimba karaoke mambo ni Texas.
Mida Kama ya saa tano usiku nilienda kukaa eneo flani ni karibu kabisa na bahari maana hapa tulipo ni almost beach. Not parse. Wakaja wadada wawili wakaomba niwapige picha, wote wapo ndiii. Nikachukua simu yao then nikawapiga picha ila Mmh! Hapana hapa Catty tayari nishaanza kumuelewa. Zoezi lilichukua dakika chache sana then mmoja kaniuliza. Catty " Ei vipi umekaa mwenyewe..join us to have fun". Mimi " ooh! Sure".
Nakubali kuungana nao. Pale ni Catty na dada yake. Z nimeongezeka. Nilichogundua wote wamekunywa na wamelewa ila kule kwenye vibe wamekimbia usumbufu. Inaonekana wadau walishaanza kujaribu bahati mapema.
Elewa hii, kwenye hizi tour za group mara nyingi mnakutana watu msiofahamiana hivo kujenga chemistry au bond na mtu itategemea sana level yake ya kusocialize na 'exposure'. Nikaungana nao tukaanza kutembea kuelekea baharini kabisa.
Hapa napo nilikuja kuamini pombe inauhusiano na Ngeli asee. Duh! Catty anachapa slengi, dada yake mulemule anajibu mapigo. Kuna sentensi wanaongea mpaka wakiihitaji comment yangu Z napiga tu 'Yes' au 'sure'.
Kati ya mengi walioongea Mojawapo ni Catty anamshtakia dada yake kuna mwana kamshikisha laki Catty walale wote ule usiku. Yeye kaona kama amedharauliwa kwa kuonekana kama Malaya tena Kwa kumkadilia mpaka bei laki Moja. Kwahiyo hapo wanajaribu kumsimanga mwanetu aliejaribu bahati.
Kwa hapa tulipo Leo usiku malazi ni mahema/tents. Mtu mmoja Hema Moja Yale madogo lakini huzuiliwi kuongeza kampani yako. Unawezajiuliza Catty ni mdogo kiasi hiko kushitaki kwa dada yake. No, kwa kipindi nakutana nae alikua 24. Si mtoto kabisa.
Ni saa sita kasoro usiku tunarudi camping site, hapo nikaona nimekula unit sana ngoja nideal na Catty hata kama kalewa ataelewa tu kile nataka. Nikataka kumfahamu yeye ni nani na anafanya issue gani then straight to the point Hali ya Jimbo ipoje.
Sister yake naona alijiongeza tu baada ya kukaribia mahema akamuaga mdogo wake akimuelekeza Hema atakalo lala na asitumie muda mrefu kubaki nje.
Sasa hapa Catty kalewa. Nauliza swali hili anajibu nusu kabla hajamaliza ananiuliza nimemuuliza nini. Kabla hatujafika mbali kwenye maongezi simu yake ikaita. Akacheck jina fasta akapokea huku anarudi
kule tulipotoka....
Edo kissy Monetary doctor Lily Tony Vien Labella
Bruh ....... Akarudi mlipotoka! Najua namba ulichukua pale pale au ukaze asiende ama ulimngoja 😂CATTY NI RECHO ?
Salaam wadau,
Sijui hapo una Hali gani ila yote yanatokea kwasababu tumshukuru Mungu. Leo nakukutanisha na Catty, utaniambia tofauti yake na Recho baadae. Mimi nimeshindwa kuwatofautisha.
Karibu!
Ni kawaida yangu kupitiapitia matangazo ya tours especially hizi weekend gateways. Napenda kurefresh baada majukumu kadha wa kadha japo sio mara kwa mara. Na ndio huku nakutana na Catty.
Hii 'Getaway trip' ilikua ni ya siku mbili usiku mmoja (2 Days 1 Night).
Kwa faida ya wengi 'Getaway Trip' ni safari nje ya eneo lako la makazi au kazi kwa lengo la, si pekee lakini kupata uzoefu mpya kwa kutalii na mapumziko. Inaweza ikawa kuweka kambi katika msitu, kupanda milima au kuzuru kisiwa. Si hivo tu lakini pia hata maeneo yenye kutoa huduma zenye uzoefu wa kipekee na tofauti.
Sasa tuendelee,
Baada ya kuielewa package ya tour nikajiunga na hio team ya wadau kama kumi na tano hivi. Eneo la kuenjoy ilikuwa ni Bagamoyo. Kuna chimbo kwa kipindi kile lilikuwa bado bichiii na watu hawamiminiki sana kama ilivyo sasa. Hio kiwanja ipo Mlingotini. Jina sitataja na najua wadau watakutajia kwenye comment.
Jamaa wa tour walijipanga fresh, tulitumia usafiri poa sana wa alphard mbili na hata location ilikua super pamoja na shughuli zote jumuishi.
Catty ni mmoja wa tuliokuwa kwenye hii trip. Baada ya ratiba zote siku ya kwanza kukamilika ni usiku sasa tupo tuna vibe'ka wale Moja baridi Moja moto sawa, sie wa kuchoma nyama nakuimba karaoke mambo ni Texas.
Mida Kama ya saa tano usiku nilienda kukaa eneo flani ni karibu kabisa na bahari maana hapa tulipo ni almost beach. Not parse. Wakaja wadada wawili wakaomba niwapige picha, wote wapo ndiii. Nikachukua simu yao then nikawapiga picha ila Mmh! Hapana hapa Catty tayari nishaanza kumuelewa. Zoezi lilichukua dakika chache sana then mmoja kaniuliza. Catty " Ei vipi umekaa mwenyewe..join us to have fun". Mimi " ooh! Sure".
Nakubali kuungana nao. Pale ni Catty na dada yake. Z nimeongezeka. Nilichogundua wote wamekunywa na wamelewa ila kule kwenye vibe wamekimbia usumbufu. Inaonekana wadau walishaanza kujaribu bahati mapema.
Elewa hii, kwenye hizi tour za group mara nyingi mnakutana watu msiofahamiana hivo kujenga chemistry au bond na mtu itategemea sana level yake ya kusocialize na 'exposure'. Nikaungana nao tukaanza kutembea kuelekea baharini kabisa.
Hapa napo nilikuja kuamini pombe inauhusiano na Ngeli asee. Duh! Catty anachapa slengi, dada yake mulemule anajibu mapigo. Kuna sentensi wanaongea mpaka wakiihitaji comment yangu Z napiga tu 'Yes' au 'sure'.
Kati ya mengi walioongea Mojawapo ni Catty anamshtakia dada yake kuna mwana kamshikisha laki Catty walale wote ule usiku. Yeye kaona kama amedharauliwa kwa kuonekana kama Malaya tena Kwa kumkadilia mpaka bei laki Moja. Kwahiyo hapo wanajaribu kumsimanga mwanetu aliejaribu bahati.
Kwa hapa tulipo Leo usiku malazi ni mahema/tents. Mtu mmoja Hema Moja Yale madogo lakini huzuiliwi kuongeza kampani yako. Unawezajiuliza Catty ni mdogo kiasi hiko kushitaki kwa dada yake. No, kwa kipindi nakutana nae alikua 24. Si mtoto kabisa.
Ni saa sita kasoro usiku tunarudi camping site, hapo nikaona nimekula unit sana ngoja nideal na Catty hata kama kalewa ataelewa tu kile nataka. Nikataka kumfahamu yeye ni nani na anafanya issue gani then straight to the point Hali ya Jimbo ipoje.
Sister yake naona alijiongeza tu baada ya kukaribia mahema akamuaga mdogo wake akimuelekeza Hema atakalo lala na asitumie muda mrefu kubaki nje.
Sasa hapa Catty kalewa. Nauliza swali hili anajibu nusu kabla hajamaliza ananiuliza nimemuuliza nini. Kabla hatujafika mbali kwenye maongezi simu yake ikaita. Akacheck jina fasta akapokea huku anarudi
kule tulipotoka....
Edo kissy Monetary doctor Lily Tony Vien Labella
Happy valentine na kwako bruhBurdani inaendelea. Happy Valentine Day.
Inatumika kote kote, rangi na ishara inategemea na Hali husikaShukrani sana kaka. Nyekundu ni rangi au ishara?
Nyekundu kwa Leo ni ishara ya upendoSafii... haya kwa Leo Nyekundu ni rangi au ni ishara?
Nimekuelewa lakini napenda black color! Tatizo ni hatuna design za maua hayo..... Bas red ikiwepo kidg sana lkn sio red whole box, huwa nakuwa not attractedHaswaa! Kwa Leo ni ishara ya upendo ila kwa kesho inarudi kuwa ishara ya hatari au damu.
Sasa Monetary doctor nachotaka ukielewe hapo ni, Unapoichagua rangi Nyekundu popote kama ishara ya upendo basi ujue hatari na damu ni complementary zake.
How was a valentine so far! Na Cathy bado recho bado mama mjengo 😂Haswaa! Kwa Leo ni ishara ya upendo ila kwa kesho inarudi kuwa ishara ya hatari au damu.
Sasa Monetary doctor nachotaka ukielewe hapo ni, Unapoichagua rangi Nyekundu popote kama ishara ya upendo basi ujue hatari na damu ni complementary zake.
MAELEZO YAKO KAMA UPO KULE GEITA IVKuna uzi humu niliwahi eleza kisa chote nimesahau heading ilikuwa inasomekaje.
Yule demu alikuwa muuza maziwa pia alikuwa msabato. Hapo kitaa wahuni walikuwa wamejaribu kila njia lkn akawachomolea iwe hela bado kwao ilikuwa ngumu sana.
Baada ya muda nikaweka uteja kupitia mama yake na wamama wengine wauza maziwa sikuwa na mazoea na binti yyte pale.
lengo lilikuwa kumnasa yule binti.kwanza alikuwa mzuri sana na amepanda juu yaani tunalingana urefu futi5 cm kadhaa....
Nikabahatika kumteka mama yake kiheshima huku yeye ni salam tu na alikuwa na nidhamu kubwa sana.
Mama yake alipojaa kwenye mfumo basi siku mama asipokuwepo nitajifanya kusitikika kabisa.
kufupisha.....baada ya siku kadhaa nikaanza kumwingia kuwa anipelekee maziwa geto yaani awe ananiletea hata kama sipo anaweka tu getoikawa hivyo yeye hata mama yake .
MKUU, STORY YAKO NI KAMA UPO GEITA IVI
Nakubali kusikia hivyo bruhKaka amini ni Kipingele. But a day was spent as it was thought to. Hakuna majeruhi. 😂😂