Hivi Ndivyo Unavyoweza Kutajirika Kwa Kuanza Na Shilingi Elfu Moja

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kutajirika Kwa Kuanza Na Shilingi Elfu Moja

Aisee mbona hakuna feedback ya huu uzi? Hasa kwenye upande huo wa kusoma vitabu 500 kwa miaka 5.


Ila maoni ktk huu uzi zilikua burudani sana aisee
 
Vipii haya mambo ya Utt bado yanafanya kazi hadi kipindi hiki cha Magu
 
Waliouna huu uzi 2014 wangeufwata kipind hiki wangefanya vya msing zaid
 
Mi nahis ni heri ya vikoba , wengine wanaita mchezo , yaan unacheza kila week 50000 baada ya miazi michache mnaisha mnaanza mwengine hio ya miaka kumi mmmh hapana
 
Mi nahis ni heri ya vikoba , wengine wanaita mchezo , yaan unacheza kila week 50000 baada ya miazi michache mnaisha mnaanza mwengine hio ya miaka kumi mmmh hapana
halafu hiyo michezo huwa hata siielewagi kabisa aisee
 
Mkuu nimekuambia usiseme haiwezekani sema wewe huwezi. Maana akati wewe unasema haiwezekani wenzako tunafanya hayo.

Asante nakutakia kazi njema pia.
TUKO PAMOJA.
Ondoa utapeli wako hapa. Hilo blog lenu limejaa kiingereza cha kuungaunga kama wale watu wa West Africa wanaotuma email za utapeli.
 
P
Jiunge bure na ajira hii ya mtandaoni upate pesa bila mtaji.

1.Ajira hii haihitaji kipato wala elimu ina hitaji muda na kifurushi cha intanet tu
2.Ukijisajili ili uweze kutoa pesa itakubidi ufikishe dola 150$ na referrals 40 kwa Mara ya kwanza,usijaribu kutoa kama hujatimiza vigezo hivyo,Ila ukisha toa kwa Mara ya kwanza baada ya hapo zitatoka kila unapo fikisha 10$ na kuendelea

3.Malipo yana fanyika kwenye account ya benki yoyote hapa nchini kwetuau West Union.

Ku pata dola 150$ ni rahisi itakuchukua saa moja na nusu kwa kufanya kazi bila kusimama.

Kazi yenyewe niku andika namba zinazoonekana na kutuma basi
Boyeza linki[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Viewing payed advertising sites vbmoney.site - Welcome!
Washilikisha na wenzako wajiunge kupitia link yako kwa kufanya hivyo utalipwa 50% ya kiasi anacholipwa

[emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161]
 
Hili swala anatakiwa alifanye mzazi kwa mwanae ili mtt aweze kukua na huo mtaji we huwezi kila cku unaweka buku then unamiaka labda 25 usubirie kwa miaka 30 upate mavuno yani miaka 55 ndo uwe na pesa duuuh ngumu kumesa mtt akiwa na mwaka mmoja mzazi anaweza anzia hapo mpk akifikisha miaka 21 na kuendelea atakua na mtaji mzuri kabisa
 
Ngoja tupate pesa za ku bet ndo tujiunge huko utt bila hivyo Haiwezekani
 
P
Jiunge bure na ajira hii ya mtandaoni upate pesa bila mtaji.

1.Ajira hii haihitaji kipato wala elimu ina hitaji muda na kifurushi cha intanet tu
2.Ukijisajili ili uweze kutoa pesa itakubidi ufikishe dola 150$ na referrals 40 kwa Mara ya kwanza,usijaribu kutoa kama hujatimiza vigezo hivyo,Ila ukisha toa kwa Mara ya kwanza baada ya hapo zitatoka kila unapo fikisha 10$ na kuendelea

3.Malipo yana fanyika kwenye account ya benki yoyote hapa nchini kwetuau West Union.

Ku pata dola 150$ ni rahisi itakuchukua saa moja na nusu kwa kufanya kazi bila kusimama.

Kazi yenyewe niku andika namba zinazoonekana na kutuma basi
Boyeza linki[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Viewing payed advertising sites vbmoney.site - Welcome!
Washilikisha na wenzako wajiunge kupitia link yako kwa kufanya hivyo utalipwa 50% ya kiasi anacholipwa

[emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161][emoji161]
utapeli tu
 
Ur not serious yaan kabixa hili umeona ndio suluhisho la watu wanaolalamika hawana mtaji? So nikae miaka mitano natafuta mtaji kwa kuwekeza 1000 mpaka miaka mitano ndio nipate 3mil ya mtaji? MI nadhani ungesema hii ni njia ya kuwekeza kuliko kuona kama suluhisho la mtaji
 
Back
Top Bottom