Hata Mr kuku na mzee wa Vanilla walikuwa matapeli kama hawaMm ndio nachokaga HAPO NDUGU
Mfano wale wahuni WA
Facebook wanaokopesha
Wana Mwaka watano
Majuzi ndio TUNAOONA ati hawako register na bot aisee nilishangaa
Kwa hiyo nawewe umeliwa?🤣540k
Na kila siku ujiunge bundle la 3k la kufungua video za lbl
Uwe unatumia ubongo kabla ya kuweka fedha sehemu yoyoteSielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Hapana, naijua hela vizuri tu! Hata 50 yangu kuitoa bila sababu ya kueleweka sithubutu.Kwa hiyo nawewe umeliwa?🤣
Ipi nyingine inaitwa FIC kama sijakosea. Ni swala la muda watu wanaliaKampuni Hiyo tayari imeshakuwa DECI nyingine
GoodHapana, naijua hela vizuri tu! Hata 50 yangu kuitoa bila sababu ya kueleweka sithubutu.
kimelambana mkuu..🤣Sielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
nimejikuta nacheka tuuuu 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀Sielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Imepotea hakuna cha TCRA na BOT ndo washasepa hivyo naona kwenye magroup wanawapanga eti viongozi wanakuja kuongea na BOT ili kutimiza matakwa ya sheria za malipo za BOT sijui wanasafisha system hadi tarehe 25 so hamtaweza kutoa fedha.Sielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Watanzania tunaongoza kuwekeza huko. Ipo gwec pia, ilikuwepo totoal energies na hapa naona wanatangaza nyingine.Ipi nyingine inaitwa FIC kama sijakosea. Ni swala la muda watu wanalia
Nani tapeli, DECI au serikali, yaani nani aliyepora hela za watu kinguvu,?Kwa sisi wakongwe wa DECI 2008/2009 tunakujulisha kuwa pesa imepotea. Hata kama serikali imechukua hizo ni pesa haramu hazirudishwi
Nyinyi ndiyo wale wapumbavu mnaopigia kura ccm ....kwani amjui kuwa hao matapeli wa hivyo ni makada na makomredi wa ccm .... nikama matapeli wa dini tu ...hivyo mkubali tu kuwa ambia watoto wenu kuwa nyinyi ni wapumbavu kati ya watanzaniaSielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Serikali pesa za lbl hazichukui maana hata hao iliowakamata hizo fedha si wao wenye nazo hata mwenye lbl hawamjui. Lbl itakuwa inamilikuwa na wanaija au wakenya whether serikali ingeingilia au kutokuingilia kusepa ilikuwa lazima.ponze scheme lazima ifike mwisho maana hakuna biashara pale ni pesa ya huyu anapewa faidi huyu hivyo ili iendelee kuwepi ni lazima waendelee kuingia watu.Nani tapeli, DECI au serikali, yaani nani aliyepora hela za watu kinguvu,?
Watu wameamua kuchangishana hela, Leo wanampa huyu, baadae wanachanga wanampa mtu mwingine, halafu ghafra serikali imawapora zile hela, eti hawana kibali, nani mwizi
Kuna code ukiiingiza unapata hela zakoSielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?