Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 333
Yaani hawa watoto wanawafanya nyie wanaume wa Dar msilale.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana…..Chugga wananchi tunamalizana nao kimya kimya……hatutaki kusumbua jeshi la polisi….wana kazi nyingi za kufanya…….
Nikajua mademu
wacha wasukumiziwe ili washike adabu... jamii ina fahamu vyema hawa watu, ina watambua. sema tuna/wana fumbia macho alafu majanga ndio kama hivi yana tokea na tuna athirika wote...huwezi jua labda hapo panya road ni wawili tu wengine wamesukumiziwa huko na wenyeviti wa mitaa kwa sababu mishe zao hazieleweki
Jidanganye tuHatari sana…..Chugga wananchi tunamalizana nao kimya kimya……hatutaki kusumbua jeshi la polisi….wana kazi nyingi za kufanya…….
Waje waone…..Jidanganye tu
I hope hakuna aliyebambikiwa.
Hawa wanapokuwa kwenye haya matukio ya uporaji wanakuwa wamelewa kupita kiasi na Bange nyingi kichwani- So usipokuwa makini watakuharibu mwili na mapanga! Aingii akilini watu 20 wanaiba TV au Simu wakauze wagawane hela ! Baada ya hapo wanaishi kama DigiDigi kuogopa vyombo vya usalama
wapi?Hv dar mna nn, huku hao tunaua tyuuuuuuuu,
Nikadhani umetupia pisi kali. mwanangu nasiki hao jamaa nikama nzige wakiingia mahali
Nyie chugga ni weupe sana hao panya wakija huko kwenu jiji litabaki jeupe ndani ya nusu saa unakumbuka fiesta ya kule chugga mlivyobakwa na watoto wa umbwa!Hatari sana…..Chugga wananchi tunamalizana nao kimya kimya……hatutaki kusumbua jeshi la polisi….wana kazi nyingi za kufanya…….
Picha umeito wapi mkuu
Kama ni ile last version walikusanywagwa tuu mbezi stend hata hawakuwa panya lodiPicha umeito wapi mkuu