Mbona ni neno la miaka mingi sanaMzuka wana JF!
Ni matumaini yangu wote wazima wa afya na mwenyezi Mungu anaendelea kutujalia uzima, amani, nguvu, afya na faraja wakati huu mgumu wa kumpoteza ndugu yetu Bernard Kamilius Membe.
Moja kwa moja kwenye mada. Hivi hil neno la kiswahili UCHWARA mwanzilishi ni brother Tundu Lissu?
Nakumbuka wakati hule alipolitamka kwa mara ya kwanza dikteta uchwara likashika kasi sana na kuwa rasmi.
Jiwe alimaindi akakataza lisitumike.
Nimepatia, nipe dhawadi thatha.Aah kumbe?
Nchaaaaaaaa kaaaaaliiii
Acha mzaha wewe wakati huu wa msiba wa taifa.Nimepatia, nipe dhawadi thatha.
Tulia weweeUjinga ujinga ndiyo legacy ya Lisu kwa watanzania.
Mzuka wana JF!
Ni matumaini yangu wote wazima wa afya na mwenyezi Mungu anaendelea kutujalia uzima, amani, nguvu, afya na faraja wakati huu mgumu wa kumpoteza ndugu yetu Bernard Kamilius Membe.
Moja kwa moja kwenye mada. Hivi hil neno la kiswahili UCHWARA mwanzilishi ni brother Tundu Lissu?
Nakumbuka wakati hule alipolitamka kwa mara ya kwanza dikteta uchwara likashika kasi sana na kuwa rasmi.
Jiwe alimaindi akakataza lisitumike.
Hili neno uchwala lilikuwepo kwa waswahili lina maana ya ubabaishaji neno hili kwa mala ya kwanza kwenye siasa alilisema rositom azizi mbunge wa igunga mkoani tabora alipo amua kuachana na ubunge akasema kachoshwa na siasa uchwala za ccmMzuka wana JF!
Ni matumaini yangu wote wazima wa afya na mwenyezi Mungu anaendelea kutujalia uzima, amani, nguvu, afya na faraja wakati huu mgumu wa kumpoteza ndugu yetu Bernard Kamilius Membe.
Moja kwa moja kwenye mada. Hivi hil neno la kiswahili UCHWARA mwanzilishi ni brother Tundu Lissu?
Nakumbuka wakati hule alipolitamka kwa mara ya kwanza dikteta uchwara likashika kasi sana na kuwa rasmi.
Jiwe alimaindi akakataza lisitumike.
makolo?Lisu alili-brand. Ni sawa na neno utopolo alianzisha shabiki wa yanga but manara akali-brand.
Inaelekea wewe ni mtoto wa juzi. Hili neno uchwara ni la muda mrefu wakati wa Nyerere na siasa za ujamaa.Mzuka wana JF!
Ni matumaini yangu wote wazima wa afya na mwenyezi Mungu anaendelea kutujalia uzima, amani, nguvu, afya na faraja wakati huu mgumu wa kumpoteza ndugu yetu Bernard Kamilius Membe.
Moja kwa moja kwenye mada. Hivi hil neno la kiswahili UCHWARA mwanzilishi ni brother Tundu Lissu?
Nakumbuka wakati hule alipolitamka kwa mara ya kwanza dikteta uchwara likashika kasi sana na kuwa rasmi.
Jiwe alimaindi akakataza lisitumike.
Alitumia neno " Siasa Majitaka"Rostam Aziz: Najiuzulu Ubunge wa Igunga nimechoshwa na Siasa Uchwara
Hapo ndipo Umaarufu wa " Uchwara" ulianza japo ni Neno la kitambo sana