HILI NI KUNDI LA JAMII ZA WATU KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI TANZANIA NDANI YA GROUP HILI TUNATOA HUDUMA ZINAZOHUSIANA NA MITANDAO YA VODACOM, AIRTEL MONEY, HALOTEL, NA TIGO.
HUDUMA HIZO ZINATOLEWA KWA MTU YEYOTE ANAYE HITAJI KUFANYA KAZI ZA AGENT YAANI WAKALA WA KUTUMA NA KUTOA PESA
SASA NINAWEZAJE KUWA WAKALA WA VODACOM, AIRTEL MONEY, HALOPESA NA TIGO-PESA?
ZINGATIA MAMBO YAFUATAYO
1:
UNAHITAJI KUWA NA VITU HIVI ILI UWEZE WAKALA
(a)
LIPA-NAMBA NA
(b)
TILL-NUMBER
LIPA-NAMBA VODACOM ILI KUIPATA UWE NA
-Tin number
-Nida
-passport size
- namba ya Vodacom isiyounganishwa na huduma ya m-pesa
HALOTEL LIPA ILI KUIPATA UWE NA
-Nida
-tin number
-copy ya kitambulisho cha kura/nida
-lain ya HALOTEL
LIPA AITERL ILI KUIPATA UWE NA
-tin number
-nida
-lain ya aiterl
TILL- VODACOM (kwa wakazi wa DODOMA tu)
-Tin number
-leseni ya biashara
-lain ya Vodacom isiyounganishwa na huduma ya m-pesa
TILL HALOPESA (UKIWA POPOTE)
-Lain ya HALOTEL weka frot ya laki moja
-nida
-tin number
-copy ya KITAMBULISHO cha nida/Kura
TILL AITER LMONEY
-Nida
-tin number
-lain ya aiterl
WASILIANA NASI
0785998769 PIGA
0788913365 WHATSAPP
KUNA MAAGENT WETU WANAOTOA HUDUMA ZILIZOPO HAPO JUU
1. YOHANA ELIYA JOHN
NAMBA YA SMU
Mobile+2550750319051*
2. PASKARY ELIYA KOMBA
NAMBA YA SMU
Mobile +255 762 075 343
prepared by
@OREGANO.ltd@#
Sent using
Jamii Forums mobile app