Hivi neno "Uchwara" ni Lissu alilianzisha?

Hivi neno "Uchwara" ni Lissu alilianzisha?

Neno uchwara lipo kitambo sana. Ni neno lenye kumaanisha kitu kisicho halisi, chenye kufanana na kitu halisi. Lissu alipenda kumuita yule bwana dikteta uchwara, yaani huyo bwana alipoanza kuonesha utawala wa kiimla alikuwa anaelekea kuwa dikteta kamili kutoka kwenye dikteta uchwara. Neno alilolianzisha Lissu ni mwendazake, tena kwa huyo huyo hasimu wake wa kisiasa baada ya kuondoka duniani. Naona wakenya nao wameanza kulitumia neno mwendazake
Mwendazake ni la waKenya.
 
Neno Uchwara lipo kitambo sana wote tumelikuta Mfano mkwara Uchwara, utisho uchwara, lipo kitambo sana sana, ndiomana kwa umri wake lissu amelitumia kama msamiati anaoujua kitambo
Samia au Kenyatta?
 
uchwara
kv worthless, pitiable, insigni-ficant, petty: Ubwanyenye ~ petty bourgeoisie;


"Bourgeois free speech is not truly free. In a bourgeois society, there is no real democracy. The media, the universities, the political parties, the courts, all these institutions are part of the bourgeois system. It is impossible to win the argument from within the system".
 
"Bourgeois free speech is not truly free. In a bourgeois society, there is no real democracy. The media, the universities, the political parties, the courts, all these institutions are part of the bourgeois system. It is impossible to win the argument from within the system".
Lissu ni baada ya kuona Kuna Wachwara
 
wacha uongo wewe neno uchwara ni la kiswahili likiwa na maana kama vile 'iliyodharaulika' au low quality
Lugha ya Kiswahili imetohoa maneno mengi kutoka lugha nyingine toka bara ka Afika na zile zilizo nje ya bara la Afrika kutokana na mwingiliano na uwepo wa watu wenye kuzungumza lugha hizo.Neno uchwala tumekuwa tukilitumia kwa miaka mingi tu,ila neno hili limetokana na neno la lugha ya KiZulu linalomaanisha pombe za mataputapu.
 
Lugha ya Kiswahili imetohoa maneno mengi kutoka lugha nyingine toka bara ka Afika na zile zilizo nje ya bara la Afrika kutokana na mwingiliano na uwepo wa watu wenye kuzungumza lugha hizo.Neno uchwala tumekuwa tukilitumia kwa miaka mingi tu,ila neno hili limetokana na neno la lugha ya KiZulu linalomaanisha pombe za mataputapu.
Unakosea.
Uchwara maana yake; si halisi au ubabishaji.

Pombe na ubabaishaji ni wapi na wapi?

Maana ya kutohoa ni neno lile lile kuwa na maana moja.

Kutoa maana yake kukopa neno pamoja na maana yake kutoka lugha flani
 
HILI NI KUNDI LA JAMII ZA WATU KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI TANZANIA NDANI YA GROUP HILI TUNATOA HUDUMA ZINAZOHUSIANA NA MITANDAO YA VODACOM, AIRTEL MONEY, HALOTEL, NA TIGO.

HUDUMA HIZO ZINATOLEWA KWA MTU YEYOTE ANAYE HITAJI KUFANYA KAZI ZA AGENT YAANI WAKALA WA KUTUMA NA KUTOA PESA

SASA NINAWEZAJE KUWA WAKALA WA VODACOM, AIRTEL MONEY, HALOPESA NA TIGO-PESA?
ZINGATIA MAMBO YAFUATAYO

1: UNAHITAJI KUWA NA VITU HIVI ILI UWEZE WAKALA
(a) LIPA-NAMBA NA
(b) TILL-NUMBER


LIPA-NAMBA VODACOM ILI KUIPATA UWE NA
-Tin number
-Nida
-passport size
- namba ya Vodacom isiyounganishwa na huduma ya m-pesa

HALOTEL LIPA ILI KUIPATA UWE NA
-Nida
-tin number
-copy ya kitambulisho cha kura/nida
-lain ya HALOTEL

LIPA AITERL ILI KUIPATA UWE NA
-tin number
-nida
-lain ya aiterl


TILL- VODACOM (kwa wakazi wa DODOMA tu)
-Tin number
-leseni ya biashara
-lain ya Vodacom isiyounganishwa na huduma ya m-pesa

TILL HALOPESA (UKIWA POPOTE)
-Lain ya HALOTEL weka frot ya laki moja
-nida
-tin number
-copy ya KITAMBULISHO cha nida/Kura

TILL AITER LMONEY
-Nida
-tin number
-lain ya aiterl

WASILIANA NASI
0785998769 PIGA
0788913365 WHATSAPP

KUNA MAAGENT WETU WANAOTOA HUDUMA ZILIZOPO HAPO JUU

1. YOHANA ELIYA JOHN
NAMBA YA SMU
Mobile+2550750319051*
2. PASKARY ELIYA KOMBA
NAMBA YA SMU
Mobile +255 762 075 343

prepared by
@OREGANO.ltd@#

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom