Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
1: Kukutana kimwili na mdada ambae ni bikra OG pale utakapo mmoa. Hadi wanaandika nyuzi humu namna ya kumtambua mdada alie bikra kitandani😂
2: Kula Kuku na mayai ya kienyeji
3: Kwamba kuna vijana ambao hajawahi kula chips maisha yao yote.
4: Kusalimiwa na binti huku akipiga goti
5: Kwamba kuna matajiri wa kilimo huko mashambani.
2: Kula Kuku na mayai ya kienyeji
3: Kwamba kuna vijana ambao hajawahi kula chips maisha yao yote.
4: Kusalimiwa na binti huku akipiga goti
5: Kwamba kuna matajiri wa kilimo huko mashambani.