Hivi ni baadhi ya vitu vijana wa daslamu wale wa "born here here" wanavionaga ni vya ajabu sana na unbelievable kwao.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
1: Kukutana kimwili na mdada ambae ni bikra OG pale utakapo mmoa. Hadi wanaandika nyuzi humu namna ya kumtambua mdada alie bikra kitandani๐Ÿ˜‚

2: Kula Kuku na mayai ya kienyeji

3: Kwamba kuna vijana ambao hajawahi kula chips maisha yao yote.

4: Kusalimiwa na binti huku akipiga goti

5: Kwamba kuna matajiri wa kilimo huko mashambani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ