Hivi ni Demokrasia gani inayopiganiwa na vyama vya Upinzani? Sioni Chama cha kukipa Nchi

Hivi ni Demokrasia gani inayopiganiwa na vyama vya Upinzani? Sioni Chama cha kukipa Nchi

CCM ni Chama ambacho kina misingi na utaratibu wa namna kinavyojiendesha ndio maana utaona viongozi wanaachiana madaraka kwa taratibu hizo.

Utasikia mtu kapita kwa asilimia 100, bila kupingwa etc.. ni taaratibu zao na Wanachama wao wanazipenda.

Huku kwetu upinzani Mtu akishaanzisha Chama au Kuwa kiongozi basi yeye atakuwa kila kitu .hakuna maamuzi ya maana yatafanyika bila yeye kuwepo.

Kuna wenyeviti wana zaidi ya miaka Ishirini madarakani na bado wanaendelea kuongoza Chama ,Swali mtu kama huyu akipewa Nchi atakubali toka Madarakani?

Kuna Chama mtu kajitafutia cheo anaitwa Kiongozi Mkuu yote hiyo vyeo vingine vinavyobadilika yeye asiguswe ,swali je hawa watu ni wazalendo au anaangalia Maslahi yake tu?

Kuna vyama Nenda rudi mgombea nafasi ya Urais ni huyo kiongozi wa Chama kana kwamba hakuna mtu mwingine wa kuweza simama.

Hivi ni demokrasia ipi iko Upinzani ? Mbona miundo yao ya uongozi na mbadilishano wa madaraka haueleweki na hauwi wazi?

Mimi ni mpinzani ila naona ni bora CCM iendelee kuwepo Madarakani mbali na kwamba imetufanya Maskini wa kutupwa kwa kila siku kutujazia Mafisadi na Kukosa Maono kwa Taifa kuliko sisi Wapinzani tunao hubiri kitu ambacho hakipo kwenye vyama vyetu.
Fact
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Mkuu kama kiongozi unanunulika basi Hufai kuwa kiongozi
Kuna kununulika kwa hiari na kwa nguvu. Na kwa nini uwaze kununua toka nje wakati ndani unao wengi na wazoefu (kama ni kweli). Mtoa rushwa na mpokea rushwa wote ni wezi, (by JKN)
 
CCM ni Chama ambacho kina misingi na utaratibu wa namna kinavyojiendesha ndio maana utaona viongozi wanaachiana madaraka kwa taratibu hizo.

Utasikia mtu kapita kwa asilimia 100, bila kupingwa etc.. ni taaratibu zao na Wanachama wao wanazipenda.

Huku kwetu upinzani Mtu akishaanzisha Chama au Kuwa kiongozi basi yeye atakuwa kila kitu .hakuna maamuzi ya maana yatafanyika bila yeye kuwepo.

Kuna wenyeviti wana zaidi ya miaka Ishirini madarakani na bado wanaendelea kuongoza Chama ,Swali mtu kama huyu akipewa Nchi atakubali toka Madarakani?

Kuna Chama mtu kajitafutia cheo anaitwa Kiongozi Mkuu yote hiyo vyeo vingine vinavyobadilika yeye asiguswe ,swali je hawa watu ni wazalendo au anaangalia Maslahi yake tu?

Kuna vyama Nenda rudi mgombea nafasi ya Urais ni huyo kiongozi wa Chama kana kwamba hakuna mtu mwingine wa kuweza simama.

Hivi ni demokrasia ipi iko Upinzani ? Mbona miundo yao ya uongozi na mbadilishano wa madaraka haueleweki na hauwi wazi?

Mimi ni mpinzani ila naona ni bora CCM iendelee kuwepo Madarakani mbali na kwamba imetufanya Maskini wa kutupwa kwa kila siku kutujazia Mafisadi na Kukosa Maono kwa Taifa kuliko sisi Wapinzani tunao hubiri kitu ambacho hakipo kwenye vyama vyetu.
Kwani wewe una faida gani kwa baba yako lkn si bado anakuita mwanawe. Na vyama vitabaki Kama wewe ulivyo
 
Kwa akili matege yako matege unadhani ccm nao wanauwezo wa kuongoza Nchi au wanaibemenda Nchi[emoji849]
Kwa ninayoyaona CDM, kweli na nyie ni mburula tu. M/kiti yule yule mbinu zile zile. Watu wenu makini wananunulika sana km kondomu kwa uroho wa madaraka, hivi kweli mmewajenga kiukomavu ili wawe imara ndani ya chama?
 
CCM ni Chama ambacho kina misingi na utaratibu wa namna kinavyojiendesha ndio maana utaona viongozi wanaachiana madaraka kwa taratibu hizo.

Utasikia mtu kapita kwa asilimia 100, bila kupingwa etc.. ni taaratibu zao na Wanachama wao wanazipenda.

Huku kwetu upinzani Mtu akishaanzisha Chama au Kuwa kiongozi basi yeye atakuwa kila kitu .hakuna maamuzi ya maana yatafanyika bila yeye kuwepo.

Kuna wenyeviti wana zaidi ya miaka Ishirini madarakani na bado wanaendelea kuongoza Chama ,Swali mtu kama huyu akipewa Nchi atakubali toka Madarakani?

Kuna Chama mtu kajitafutia cheo anaitwa Kiongozi Mkuu yote hiyo vyeo vingine vinavyobadilika yeye asiguswe ,swali je hawa watu ni wazalendo au anaangalia Maslahi yake tu?

Kuna vyama Nenda rudi mgombea nafasi ya Urais ni huyo kiongozi wa Chama kana kwamba hakuna mtu mwingine wa kuweza simama.

Hivi ni demokrasia ipi iko Upinzani ? Mbona miundo yao ya uongozi na mbadilishano wa madaraka haueleweki na hauwi wazi?

Mimi ni mpinzani ila naona ni bora CCM iendelee kuwepo Madarakani mbali na kwamba imetufanya Maskini wa kutupwa kwa kila siku kutujazia Mafisadi na Kukosa Maono kwa Taifa kuliko sisi Wapinzani tunao hubiri kitu ambacho hakipo kwenye vyama vyetu.
Eti sioni chama Cha kuipa nchi kuongoza. Wewe ni nani? Au ni yule Ibilisi aliyemjaribu Yesu kule mlimani?

Watu wanatesaka kwa ajili yenu. Ndiyo maana mazao yanakauka kwa kukosa mvua kwa ajili ya ushetani.
 
CCM ni Chama ambacho kina misingi na utaratibu wa namna kinavyojiendesha ndio maana utaona viongozi wanaachiana madaraka kwa taratibu hizo.

Utasikia mtu kapita kwa asilimia 100, bila kupingwa etc.. ni taaratibu zao na Wanachama wao wanazipenda.

Huku kwetu upinzani Mtu akishaanzisha Chama au Kuwa kiongozi basi yeye atakuwa kila kitu .hakuna maamuzi ya maana yatafanyika bila yeye kuwepo.

Kuna wenyeviti wana zaidi ya miaka Ishirini madarakani na bado wanaendelea kuongoza Chama ,Swali mtu kama huyu akipewa Nchi atakubali toka Madarakani?

Kuna Chama mtu kajitafutia cheo anaitwa Kiongozi Mkuu yote hiyo vyeo vingine vinavyobadilika yeye asiguswe ,swali je hawa watu ni wazalendo au anaangalia Maslahi yake tu?

Kuna vyama Nenda rudi mgombea nafasi ya Urais ni huyo kiongozi wa Chama kana kwamba hakuna mtu mwingine wa kuweza simama.

Hivi ni demokrasia ipi iko Upinzani ? Mbona miundo yao ya uongozi na mbadilishano wa madaraka haueleweki na hauwi wazi?

Mimi ni mpinzani ila naona ni bora CCM iendelee kuwepo Madarakani mbali na kwamba imetufanya Maskini wa kutupwa kwa kila siku kutujazia Mafisadi na Kukosa Maono kwa Taifa kuliko sisi Wapinzani tunao hubiri kitu ambacho hakipo kwenye vyama vyetu.

Kuna mstari mwembamba sana kati ya ujinga na kuwa mwanaccm, unasema huko CCM mtu anapata kura 100% na wanaccm wako happy, kwani wanapenda utaratibu huo. Lakini viongozi wengine wa vyama vya upinzani wakikaa muda mrefu unaona tabu. Umejuaje kuwa wapinzani hawapendi utaratibu huo, kama wanaccm wanavyopenda utaratibu wao? Halafu huhitaji kuwa na elimu kubwa kujua kuwa uongozi wa nchi unafuata katiba ya nchi iliyopo, na sio ya chama cha siasa. Unakwama wapi dogo?
 
Kuna mstari mwembamba sana kati ya ujinga na kuwa mwanaccm, unasema huko CCM mtu anapata kura 100% na wanaccm wako happy, kwani wanapenda utaratibu huo. Lakini viongozi wengine wa vyama vya upinzani wakikaa muda mrefu unaona tabu. Umejuaje kuwa wapinzani hawapendi utaratibu huo, kama wanaccm wanavyopenda utaratibu wao? Halafu huhitaji kuwa na elimu kubwa kujua kuwa uongozi wa nchi unafuata katiba ya nchi iliyopo, na sio ya chama cha siasa. Unakwama wapi dogo?
Huyo ni dada fulani hivi muuza bar msamehe bure
 
Wapinzani wanafahamu kuwa kunatatizo kwa viongozi wao kung'ang'nia madaraka, lakini wanaamua kuzamisha vichwa mchangani.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Kuna mstari mwembamba sana kati ya ujinga na kuwa mwanaccm, unasema huko CCM mtu anapata kura 100% na wanaccm wako happy, kwani wanapenda utaratibu huo. Lakini viongozi wengine wa vyama vya upinzani wakikaa muda mrefu unaona tabu. Umejuaje kuwa wapinzani hawapendi utaratibu huo, kama wanaccm wanavyopenda utaratibu wao? Halafu huhitaji kuwa na elimu kubwa kujua kuwa uongozi wa nchi unafuata katiba ya nchi iliyopo, na sio ya chama cha siasa. Unakwama wapi dogo?
Asante kwa mchango wako Chief
 
Wewe au kilaza mwingine hatakiwi kuamua chama cha kukipa nchi, wananchi wengi kupitia tume huru ya uchaguzi ndio wanapaswa waamue chama gani kiongeze nchi.
Nashukuru kwa kusoma andiko langu mkuu
 
Mtoa mada kuna point umeongea ingawa wenye vyama vyao watakutukana,ila la viongozi wa upinzani kuvifanya vyama kama taasisi zao binafsi linapoteza imani kwa wengi.
 
Unaona sawa mtu kupewa ushindi ccm kwa 100% na unaita ni utaratibu wao ila unajitoa ufahamu kwa vyama vingine kuendelea kuwapa uongozi watu wale wale ambayo kimsingi ni utaratibu wao

Kwanini unaona sawa utaratibu wao ccm na unaona si sawa utaratibu wao vyama vya upinzani? Nani kakwambia utaratibu wa ccm ndio utumike na kwa wengine?

Si uache kila watu na utaratibu wao ila muweke uchaguzi huru na tume huru ya uchaguzi kisha mtulie msubiri majibu
 
Mpaka tunaingia mfumo wa vyama vingi 1992 CCM ilikuwa na miaka 15 ikiongozwa na Mwalimu Nyerere ambaye ndiye aliyeianzisha baada ya kuiunganisha TANU na ASP na kuunda CCM. Na kabla ya CCM alikuwa ameiongoza TANU kwa miaka 23 hivyo ameviongoza vyama vya TANU na CCM kwa miaka 38. Sikumbuki kumuona mwanaTanu au CCM akihoji pamoja na vyama kumiliki serikali kwa muda wote huo. Leo mnavishangaa vyama vya upinzani eti havibadilishi viongozi wake, unayajua malengo ya kuanzishwa kwake?
 
Mpaka tunaingia mfumo wa vyama vingi 1992 CCM ilikuwa na miaka 15 ikiongozwa na Mwalimu Nyerere ambaye ndiye aliyeianzisha baada ya kuiunganisha TANU na ASP na kuunda CCM. Na kabla ya CCM alikuwa ameiongoza TANU kwa miaka 23 hivyo ameviongoza vyama vya TANU na CCM kwa miaka 38. Sikumbuki kumuona mwanaTanu au CCM akihoji pamoja na vyama kumiliki serikali kwa muda wote huo. Leo mnavishangaa vyama vya upinzani eti havibadilishi viongozi wake, unayajua malengo ya kuanzishwa kwake?
Na kwa vile Nyerere alitawala nchi kwa miaka 24 na hakulalamikiwa, basi leo haina shida mtu akitawala miaka 24!!?
 
Mpaka tunaingia mfumo wa vyama vingi 1992 CCM ilikuwa na miaka 15 ikiongozwa na Mwalimu Nyerere ambaye ndiye aliyeianzisha baada ya kuiunganisha TANU na ASP na kuunda CCM. Na kabla ya CCM alikuwa ameiongoza TANU kwa miaka 23 hivyo ameviongoza vyama vya TANU na CCM kwa miaka 38. Sikumbuki kumuona m
Mpaka tunaingia mfumo wa vyama vingi 1992 CCM ilikuwa na miaka 15 ikiongozwa na Mwalimu Nyerere ambaye ndiye aliyeianzisha baada ya kuiunganisha TANU na ASP na kuunda CCM. Na kabla ya CCM alikuwa ameiongoza TANU kwa miaka 23 hivyo ameviongoza vyama vya TANU na CCM kwa miaka 38. Sikumbuki kumuona mwanaTanu au CCM akihoji pamoja na vyama kumiliki serikali kwa muda wote huo. Leo mnavishangaa vyama vya upinzani eti havibadilishi viongozi wake, unayajua malengo ya kuanzishwa kwake?
Akili ndogo huwezi elewa
wanaTanu au CCM akihoji pamoja na vyama kumiliki serikali kwa muda wote huo. Leo mnavishangaa vyama vya upinzani eti havibadilishi viongozi wake, unayajua malengo ya kuanzishwa
 
Back
Top Bottom