Keep up the spirit my dear Paula, I admire you for that and you know it.Mimi huwa najibu ukweli wangu, sidanganyi wala simjibu mtu vibaya ILA sijibu kila PM.
Kuepuka kutoa hayo majibu ya makali au ya uongo huwa nachagua kutokujibu kabisa.
Sawa sawa ujumbe umefikaWaambie comment ziwe fupifupi nipo mtazamaji nafatilia mtanange
[emoji86]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyoo
😍
Mwenyewe nataka kupendwa eti.
Kitambi kiwepo kidogo tu cha kufutia screen ya simu, kisizidi hapo
Make a move ukisubiri kufatwa utachelewa mwishowe wajanja watamuwahi.Kusema ule ukweli toka ndani ya mtima kuna kifaa hua nakielewa humu ndani dada angu[emoji23][emoji23] Ila hyo ya kukifata PM hahahaa, ndo sijawahi waza.
Hua namuombea tu kimoyomoyo siku akanyage mdudu ajikute piemuni mwangu[emoji23][emoji23]
Saa mbona uko tofauti na wenzako, Hujioni We ni Bonge la mshambaaMimi huwa najibu ukweli wangu, sidanganyi wala simjibu mtu vibaya ILA sijibu kila PM.
Kuepuka kutoa hayo majibu ya makali au ya uongo huwa nachagua kutokujibu kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeona shosti, wacha tu tufunike kombe mwanaharamu apite.Hahahaa basi kausha kwanza, usije kununiwa na wewe bure[emoji23][emoji23]
Mbona ntakupigia maombi usifike huko, sitaruhusu hilo aisee😂😂basi ondoa shaka hapa ndo penyewe, kabisa hata mimi sitaki kizidi maana kikizidi ndio huleta ile mboga ya majani[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni bibi mwenye miaka 61 mdogo wangu.!!
thanks anyway..!!
Oyoooo sasa usiishie kutoa ahsante, uzame PM mara moja ukamshukuru huko.
Yaan af nkabaki naugulia kimoyomoyo, mbona ntajuta kuzembeaMake a move ukisubiri kufatwa utachelewa mwishowe wajanja watamuwahi.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Oyoooo sasa usiishie kutoa ahsante, uzame PM mara moja ukamshukuru huko.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
😂😂 kwakweli mwenyew natamani sana nitoe ya moyoni ila wahusika nawaona kabisa wanazoom uzi... Basi naishia kucheka tu mwenyew[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeona shosti, wacha tu tufunike kombe mwanaharamu apite.
Nilisha sahau haya ma mistari. Nimezoea kusema, ni sh ngapi? Maana najua hata mwisho wa mistari nitaambiwa bebiiii nina shida ya elfu 50Ha ha! Unahitaji upako gani kujua Mimi ni wako wa enzi..?
Nitumie lugha ipi ili ujue nakupenda kushinda mapenzi..?
Usitie dukuduku mimi sio upupu!
Sikudanganyi kwa supu,Bali kwa huba maradufu[emoji8]
Usiogope kusema ndio hautapoteza uzio!
Siteti mengi usije niona mshenzi!
Ila mimi ndo kenzy mwenye huba lisilo mawenzi[emoji6]
kitambi ni kibaya sana,kuna wakati kilinianzaga nikawa sivai tshirts🤣Mbona ntakupigia maombi usifike huko, sitaruhusu hilo aisee😂😂
Hahahaa hao watoto mbona hawana adabu! Au kuna namna hapo🤔teh teh teh[emoji23][emoji23][emoji23] nimetamani ninge screenshot afu nikutumie hapa habari fulani ya watoto wa miaka 14 mpaka 18 walimbaka bibi wa miaka 70 huko serengeti ,mara
Sent using Jamii Forums mobile app