Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Pitia
Ukimaliza naomba nikuPM kitu
Sasa mkuu heb washauri wafanyaje maan wakiondoka mnawasema wakibaki mnawasema [emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hiyo nimejifanya nimebadili ID na avatar kabisa nikaanzisha zangu thread,Kuna watu ni private investigators..wanasense hadi muandiko so wewe jiachie kumbe washakujua kitambo ni nani.. wanajua hadi unafanya kazi ofisi gani na uzi ukishawekwa ndo utawajua kwa michango yao
Siku hiyo nimejifanya nimebadili ID na avatar kabisa nikaanzisha zangu thread,
Nikashangaa wakasema huyu si fulani huyu, tena wako busy kabisa wananifahamu vizuri, eti wamefahamu kupitia mwandiko, nilicheka.!
Kichwa Kichafu ulisema nirudi shule utanilipia ada, mbona kimya.??[emoji725]
Hahahhaaa..!
Unanicheka hadii wewe?? Unathubutuje??
Hahaha..!Asa nifanyaje wakati ulijaribu kitu impossible ππ ..
Next time usimix lugha halafu njoo na lugha ya uswazi kabsaa hapo hautojulikana. Niamini mimi
Unatembea tu kwa imani na kumtangulia roho mtakatifu, unaweza kubahatika.!!Katika ya social network ukitongoza ukapata demu wa ajabu ni hii ivi vicoments vinawapagawisha mafal.... Sura huoni, shepu huoni, japo baadhii yao angalau tumeona nusu inakupa go ahead,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Lucas MobutuWewe na mdogo wangu Lenie mahari mnaleta lini sasa.??