KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Nimekuja tuyajenge! Nikuite sweetie uniite nanilii..
Utachagua mwenyewe sijui mume! Utajua
Ila mi nataka nikufanye uwe yule wanaesemaga kitanda hakizai haramu😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuja tuyajenge! Nikuite sweetie uniite nanilii..
Hahahaa hii kaliSijawahi kukutana na majibu kama ayo pm na uwa napewa no but tunatongozana na kuwa wapenzi na kuachana bila kuonana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisaaa. Tuchekage tu tuongezage huo umri kwani hizi ndio ladha zenyewe za Jf yetu. 😂😂Ana kauchokozi sana, na ipo damuni😂 Ila bora tucheke tuongeze siku za kuishi
🙏😍you're so smart C'ssy and I do appreciate you.!
you nailed it.!!
Haha.!.sisi wanaume bana, huwa ninatumia Acc ya Girl wangu ya Insta kuangalia picha basi huwa naona texts za mijamaa inazomtumia nashangaa sana, kuna mmoja toka mwaka 2017 anatuma tu texts na hajibiwi za kuomba namba na kutongoza
Siku nataka mwenza humu nitakuwa real as sh*t, nitakuja na ID yangu hii hii.!
Ukija hivi PM sikujibu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimekuja tuyajenge! Nikuite sweetie uniite nanilii..
Utachagua mwenyewe sijui mume! Utajua
Ila mi nataka nikufanye uwe yule wanaesemaga kitanda hakizai haramu[emoji6]
🙄😳😲Hahaha.!
Wewe naye hueleweki kama mvua za Dar.!
Jamani😂😂😂, ila kuna watu hawajuagi kukata tamaa. Sjui hua wanajiamini niniHaha.!.
Anakuwa kama Adelle anabaki akisema 'Hello, its Me' siku zote za maisha yake..!!
Hahahahaaa. Mdogo wangu ujue nimecheka. Lol.Hahaa.!
Nitaambia nini watu Mimi.!
[emoji3][emoji3][emoji3] Mapenzi ya kimtandao huisha kimtandao tu mkuuHahahaa hii kali
Mzee wa mashairi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28]
Naruhusiwa kuja piemu kuja kukupiga msasa kiswahili maana huko kubunu mbunu mwizio siwezi!!,nimekuwa taabani juu yako[emoji6]
Nifungulie mlango nikuonyeshe mapango.. sema nami binti malkia nikuonyeshe unavyonivutia!
Kaa nami nikuite dia uone mlango wa rupia..
Wasemaje binti Carleen ulieumbika kimaumbile mpaka chini..??[emoji6]
Nimekosea wapi nyonga mkalia ini usie na vipini ila mwili laini..?
Haaaaa waswahili waliosema fimbo ya mbali haiui nyoka hawakukosea ujueHahahaha..!
Hiyo ya kuwa wapenzi halafu mnaachana bila kuonana, nimefurahishwa.!!