Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

sisi wanaume bana, huwa ninatumia Acc ya Girl wangu ya Insta kuangalia picha basi huwa naona texts za mijamaa inazomtumia nashangaa sana, kuna mmoja toka mwaka 2017 anatuma tu texts na hajibiwi za kuomba namba na kutongoza
Haha.!.
Anakuwa kama Adelle anabaki akisema 'Hello, its Me' siku zote za maisha yake..!!
 
[emoji28]
Naruhusiwa kuja piemu kuja kukupiga msasa kiswahili maana huko kubunu mbunu mwizio siwezi!!,nimekuwa taabani juu yako[emoji6]
Nifungulie mlango nikuonyeshe mapango.. sema nami binti malkia nikuonyeshe unavyonivutia!
Kaa nami nikuite dia uone mlango wa rupia..
Wasemaje binti Carleen ulieumbika kimaumbile mpaka chini..??[emoji6]
Mzee wa mashairi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom