Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jinyonge tuone

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Naona nimekuja kwa Israeli mtoa roho! Hata husemi nisijinyonge!!
Haya kwa heri baki na uchoyo wako ndio maana unasura kama COVID-19..
Naombea na mods wawe wanakupiga ban wewe tu wasione mwengine uwe chaguo lao la milele!, Kwani id yako imekuwa ya kunitesa na kunijibu hapana ati hutaki! Sasa si bora upigwe ban..
 
Dah! Naona nimekuja kwa Israeli mtoa roho! Hata husemi nisijinyonge!!
Haya kwa heri baki na uchoyo wako ndio maana unasura kama COVID-19..
Naombea na mods wawe wanakupiga ban wewe tu wasione mwengine uwe chaguo lao la milele!, Kwani id yako imekuwa ya kunitesa na kunijibu hapana ati hutaki! Sasa si bora upigwe ban..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waite wanizawadie ban

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom