Hivi ni kitu gani ulikimiss au unakimiss baada ya Kuondoka Dar es Salaam?

Hivi ni kitu gani ulikimiss au unakimiss baada ya Kuondoka Dar es Salaam?

Habari JF, Dar es salaam ni Jiji lenye mambo mengi sana kuliko mikoa mingi na Majiji mengi Duniani

Binafsi nkiondoka Dar huwa namiss vingi sana ingawa vingine vibaya kama warembo wa usiku Buguruni, vibaka, foleni barabarani etc

Je, wewe unamiss kipi?
sijawahi kumiss chochote, watu tumeacha hadi majengo huko.
 
Habari JF,

Dar es salaam ni Jiji lenye mambo mengi sana kuliko mikoa mingi na Majiji mengi Duniani

Binafsi nkiondoka Dar huwa namiss vingi sana ingawa vingine vibaya kama warembo wa usiku Buguruni, vibaka, foleni barabarani etc

Je, wewe unamiss kipi?
Dar sihami hata kwa greda sio kwa mbususu hizi za bei chee.Unakaa Dar halafu unaoa utakuwa na shida ya akili kabisa
 
Namiss mbususu za uwanja wa fisi manzese maana sio kwa baridi hili. asee huku mkoani kuna baridi ni balaaaa!!!!!
 
Habari JF,

Dar es salaam ni Jiji lenye mambo mengi sana kuliko mikoa mingi na Majiji mengi Duniani

Binafsi nkiondoka Dar huwa namiss vingi sana ingawa vingine vibaya kama warembo wa usiku Buguruni, vibaka, foleni barabarani etc

Je, wewe unamiss kipi?
Mimi nmemc kuwapeleka Wadada na Wamama kwa Mpalange
 
Motivational speakers nawasubiri hapa,watasema dar siondoki sababu kuna mzunguko mkubwa wa pesa 😄😄😄.

Unaweza kudhani kila mtu dar ni mfanyabiashara kumbe % kubwa Ni majobless,vibarua kwa wahindi/wachina na wale wa kusubiri nyongeza ya mishahara.
 
Namiss mambo mengi dar
_Vigodoro vya keko na mbagala

_kula chipsi yai yenye hadhi na upishi
mujarabu kabla kuweka maayonaizi, vipi uhakika wa biriani kila ijumaa? Vipi upatikanaji wa Pizza kirahisi ? Vipi uwezo wa kula kuku daily (broiler) kikubwa uwe na elfu sita yako? Vipi miguu ya kuku pale Keko machungwa?[emoji1787][emoji1787] na sijasahau chipsi za jero kwa mama Kidetu[emoji23][emoji23]

_Kukutana na wazee wa mission town au wazee wa kila kitu chawezekana hakuna kinachoshindikana kwa msemo wao (Penye uzia penyeza rupia)[emoji120][emoji120]

_kutokuwa bored nikiwa na hela mfukoni popote napata burudani

_ kukutana na wanangu( company) daily na story za hapa na pale

_wamama na wababa watu wazima ila wanaishi kama watoto yaani uzungu mwingi

_Sehemu zangu za kujida ÷LIQUID ,KING PALACE ,AMBIANCE ,BEACH KIDIMBWI ,SUGAR RAY ,KITAMBAA CHEUPE na COCO BEACH

_Mitaa yangu ya kujidai Keko
_machungwa , Temeke _mikoroshini ,Ubungo Plaza , Tandale kwa Tumbo , Masaki _chole , mnazi mmoja _Lumumba na Kariakoo _mtaa wa Pemba , oysterbay kwa boss Kubwa (Kubwa la mipango kazi)

_Askari polisi , askari magereza na ma pot wote tunaishi nao mtaani kama wana mpaka mademu tunashare

_Uhakika wa kila jambo ilimradi hela iwepo

_Story za vijana wa dar kila mtu kuwa na ndugu ambaye yupo kitengo [emoji23][emoji23]

Yapo mengi ila tuishie hapo maana sijawataja wanangu wa sokota bado buguruni vipi pale riverside pale mikase na vipi wanangu wa Mabibo _darajani ?
 
  1. Pweza na supu yake,ngisi,kachori na bagia pale Makumbusho Bus Stand, baadaye unashushia na juisi ya miwa bariidi sana
  2. Mihogo ya kukaanga na mishkaki ya Coco Beach
  3. Vichupi na PIsi kali pale Wavuvi Kemp na Kidimbwi
  4. Malaya mbwa pale Kitambaa cheupe Sinza
  5. Chicken Shawarma -Sultan Restaurant
  6. BBQ za kihindi mitaa ya Jamhuri usiku, hasa pale Mamboz Grill Kisutu
  7. Kukaa kwenye daladala siti moja na pisi kali mapaja nje nje Posta - Mwenge -Tegeta
  8. Ukiwa maeneo ya Town mfano Serena chakula ni 30,000/- au zaidi lakini maeneo hayo hayo ya karibu ambayo ni umbali wa kutema mate tu ukiwa na Tshs 2,000 unaweza kupata chakula cha mboga saba na maji mengi sana ya kunywa ...hali ni hiyo hiyo maeneo ya Kempinski , Golden Tulip,Johari Ratana,City Mall nk
  9. Heka heka za Buguruni , Gongolamboto na Mbagala kwenye ngwala za kuku, utumbo, ngozi, mapupu, dagaa kamba, dagaa mchele nk
  10. Burgers - Leaders Club(sijui bado wapo?), Pizza za maana PizzaHut,Pizzeria
Jamani iacheni Dar kama ilivyo
Duh , Nikiwa huku mikoani kibiashara hasa Dodoma, Morogoro, Singida huwa nateseka sana , namiss sana hayo mambo ua mujini
 
Naanzaje anzaje kuhama dar Jamani😂😂 😂😂 hapana kwakweli
 
Namiss mihogo na mishikaki ya coco beach.

Na pia night life.. I love shopping at night na kuzurura town mida hiyo
 
Back
Top Bottom