Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Mie sijapamiss hata. Kidogo🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie sijapamiss hata. Kidogo🤣🤣🤣
Thubutuuuu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mie sijapamiss hata. Kidogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sikulagi🤣🤣🤣Thubutuuuu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hujamiss Mihogo? Ile Chipsi Vumbi?
Wewe???.
He he he.... Haya...Sikulagi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We kaka mamboKuna kuondoka kwa aina nyingi;
Kuhama kikazi kwenda mkoa mwingine
~ Kushindwa pirikapirika za Dar katika kujitafutia kipato kwa vijana, kujaribu sehemu nyingine.
~ Kukimbia baada ya kuharibu mkono wa sheria
~ Safari za kibiashara ambazo humfanya mtu kukaa nje ya Dar kwa muda mrefu n.k
Huo mzunguko wa pesa unapita kwao nini [emoji16]Motivational speakers nawasubiri hapa,watasema dar siondoki sababu kuna mzunguko mkubwa wa pesa [emoji1][emoji1][emoji1].
Unaweza kudhani kila mtu dar ni mfanyabiashara kumbe % kubwa Ni majobless,vibarua kwa wahindi/wachina na wale wa kusubiri nyongeza ya mishahara.
Daah naimiss sana ManzeseNamiss mbususu za uwanja wa fisi manzese maana sio kwa baridi hili. asee huku mkoani kuna baridi ni balaaaa!!!!!
Mwamba umepiga mule mule....Jamani iacheni Dar kama ilivyo
- Pweza na supu yake,ngisi,kachori na bagia pale Makumbusho Bus Stand, baadaye unashushia na juisi ya miwa bariidi sana
- Mihogo ya kukaanga na mishkaki ya Coco Beach
- Vichupi na PIsi kali pale Wavuvi Kemp na Kidimbwi
- Malaya mbwa pale Kitambaa cheupe Sinza
- Chicken Shawarma -Sultan Restaurant
- BBQ za kihindi mitaa ya Jamhuri usiku, hasa pale Mamboz Grill Kisutu
- Kukaa kwenye daladala siti moja na pisi kali mapaja nje nje Posta - Mwenge -Tegeta
- Ukiwa maeneo ya Town mfano Serena chakula ni 30,000/- au zaidi lakini maeneo hayo hayo ya karibu ambayo ni umbali wa kutema mate tu ukiwa na Tshs 2,000 unaweza kupata chakula cha mboga saba na maji mengi sana ya kunywa ...hali ni hiyo hiyo maeneo ya Kempinski , Golden Tulip,Johari Ratana,City Mall nk
- Heka heka za Buguruni , Gongolamboto na Mbagala kwenye ngwala za kuku, utumbo, ngozi, mapupu, dagaa kamba, dagaa mchele nk
- Burgers - Leaders Club(sijui bado wapo?), Pizza za maana PizzaHut,Pizzeria
Duh , Nikiwa huku mikoani kibiashara hasa Dodoma, Morogoro, Singida huwa nateseka sana , namiss sana hayo mambo ua mujini
Na miss mbu wa bondeni Kinondoni Moscow.
Ile kubambia matako ya wanawake kwenye mwendokasi
Tena mrembo awe na msambwanda haswa...full rahaUmenikumbusha hii kitu imenikuta Jana nme enjoy posta mpak kimara[emoji39][emoji39]
Kidogo ni.. Au bas
roots za kariakoooHabari JF,
Dar es salaam ni Jiji lenye mambo mengi sana kuliko mikoa mingi na Majiji mengi Duniani
Binafsi nkiondoka Dar huwa namiss vingi sana ingawa vingine vibaya kama warembo wa usiku Buguruni, vibaka, foleni barabarani etc
Je, wewe unamiss kipi?
Hata mie napenda sana kufanya shughuli zangu wakat wa usiku, nakuwa huru saana.Namiss mihogo na mishikaki ya coco beach.
Na pia night life.. I love shopping at night na kuzurura town mida hiyo
Mkuu hivi Manzese kuna sehemu yenye amani kweli?Daah naimiss sana Manzese