Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Pole utazoea tuāØMarafiki na mpenzi wangu.. ni shida tu zimenileta mkoani ila mpaka sasa hivi bado sina raha na huku nilipo.. napakumbuka sana dar kwa kweli
Karibu mkoaniš¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole utazoea tuāØMarafiki na mpenzi wangu.. ni shida tu zimenileta mkoani ila mpaka sasa hivi bado sina raha na huku nilipo.. napakumbuka sana dar kwa kweli
Kugombea daladala na mwendo Kasiš¤øHabari JF,
Dar es salaam ni Jiji lenye mambo mengi sana kuliko mikoa mingi na Majiji mengi Duniani
Binafsi nkiondoka Dar huwa namiss vingi sana ingawa vingine vibaya kama warembo wa usiku Buguruni, vibaka, foleni barabarani etc
Je, wewe unamiss kipi?
Habari JF,
Dar es salaam ni Jiji lenye mambo mengi sana kuliko mikoa mingi na Majiji mengi Duniani
Binafsi nkiondoka Dar huwa namiss vingi sana ingawa vingine vibaya kama warembo wa usiku Buguruni, vibaka, foleni barabarani etc
Je, wewe unamiss kipi?
Kabisa mkuu..Hata mie napenda sana kufanya shughuli zangu wakat wa usiku, nakuwa huru saana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado upo upo sana???Naanzaje anzaje kuhama dar Jamani[emoji23][emoji23] [emoji23][emoji23] hapana kwakweli