mnyandzombe
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 245
- 194
Muda wa kulala huu Mzee......au upo single...
Vipi unafanya kazi bar nini maana mchana ma baa medi wengi huwa mnalalaMuda wa kulala huu Mzee......au upo single...
Umeoa Jini Maimuna sio mke huyoHabari za mida hii?? Namshukuru mwenyezi Mungu kwa kuni ruzuku uhai. Mara kadhaa nimeskia wanaume wenzangu wakilalamika kuwa wake zao hawaamini kabisa kuwa hawana hela katika kipindi chao cha maisha. Lakini pia nimesikia mara kadhaa wanawake wanasema ''mwanaume haishiwi pesa''.
Kwa utafiti wangu usiorasmi nimebaini kuwa wanaume wengi huishiwa fedha na pale wanapoambiwa kuwa haiwezekani mwanaume kuishiwa pesa imewapelekea kukopa zaidi ili kukidhi matakwa ya wake zao.
Enyi wanawake aminini kuwa waume zenu wanaweza kuishiwa hela
Wasalaam
Ebu andika vizuri,Acha kujizima data.GAMA UNA MWANAWUKE WA AHINA HIHO GIMBIA BALI MKUHU
Habari za mida hii?? Namshukuru mwenyezi Mungu kwa kuni ruzuku uhai. Mara kadhaa nimeskia wanaume wenzangu wakilalamika kuwa wake zao hawaamini kabisa kuwa hawana hela katika kipindi chao cha maisha. Lakini pia nimesikia mara kadhaa wanawake wanasema ''mwanaume haishiwi pesa''.
Kwa utafiti wangu usiorasmi nimebaini kuwa wanaume wengi huishiwa fedha na pale wanapoambiwa kuwa haiwezekani mwanaume kuishiwa pesa imewapelekea kukopa zaidi ili kukidhi matakwa ya wake zao.
Enyi wanawake aminini kuwa waume zenu wanaweza kuishiwa hela
Wasalaam
Ebu andika vizuri,Acha kujizima data.
Mkiwa hamna hela muwahi kurudi nyumbani sasa, sio mnakesha baa halafu mnasema hamna hela.
umeishiwa sasa unanunuaje,sijui kama umemwelewa jamaaTatizo ni wanaume sio wanawake, kama huna pesa, nunua maitaji unayoweza, wakishakula tu, hata kama ni uji, we endelea na Mambo mengine.
ukiwa hauna hela nyumbani huwa ni mbali acha Tu!Mkiwa hamna hela muwahi kurudi nyumbani sasa, sio mnakesha baa halafu mnasema hamna hela.
ukiwa hauna hela nyumbani huwa ni mbali acha Tu!
Mwanaume akiwa hana hela anakaa nyumbani atoki na akitoka anawahi kurudi Nyumbani na kukaa sebleniMkiwa hamna hela muwahi kurudi nyumbani sasa, sio mnakesha baa halafu mnasema hamna hela.
Aisee nilivyopata tabu kusoma hii comment😂GAMA UNA MWANAWUKE WA AHINA HIHO GIMBIA BALI MKUHU