Hivi ni kwamba laana, kutamkiwa maneno mabaya huja baadae kumuathiri mtu

Hivi ni kwamba laana, kutamkiwa maneno mabaya huja baadae kumuathiri mtu

Hivi jamni kweli laana kutoka kwa mtu mzima aliye kuzidi umri mzazi pamoja na kutamkiwa maneno mabaya huweza kumkuta mtu?

Na kama mtu huweza kukutwa na maneno hayo ya laana je ,Kuna njia ya kuiondoa au mtu akiamini ndo yanamkuta au ni akili zetu tu hamnaga kitu kama hicho.
Njia ya kuiondoa laana ni kitubu mapema kabla mtamkaji hajarudi mavumbini
 
Sio lazima, inategemea na matendo ma mienendo ya mtamkiwa. Ndo maana ni muhimu mtu uwe unasali na kusaidia masikini ili utengeneze kinga za laana na maneno mabaya unayonenewa na watu
 
Hivi jamni kweli laana kutoka kwa mtu mzima aliye kuzidi umri mzazi pamoja na kutamkiwa maneno mabaya huweza kumkuta mtu?

Na kama mtu huweza kukutwa na maneno hayo ya laana je ,Kuna njia ya kuiondoa au mtu akiamini ndo yanamkuta au ni akili zetu tu hamnaga kitu kama hicho.
Hakuna laana
 
Hivi jamni kweli laana kutoka kwa mtu mzima aliye kuzidi umri mzazi pamoja na kutamkiwa maneno mabaya huweza kumkuta mtu?

Na kama mtu huweza kukutwa na maneno hayo ya laana je ,Kuna njia ya kuiondoa au mtu akiamini ndo yanamkuta au ni akili zetu tu hamnaga kitu kama hicho.
Akitamka ukayqsikia yakatae fanya maombi ya kupinga alivyotamka, ulimi una nguvu ya kuumba.
 
General Rule: 'LAANA ya mzazi' huwa ni useless belief.

Exception 1: 'LAANA ya mzazi' = Ushirikina.

Exception 2: Baadhi ya wazazi (hususani Wamama) huloga mtoto under the umbrella of 'LAANA'.

Kama hujaelewa uliza. 😎

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom