Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 775
- 1,150
Njia ya kuiondoa laana ni kitubu mapema kabla mtamkaji hajarudi mavumbiniHivi jamni kweli laana kutoka kwa mtu mzima aliye kuzidi umri mzazi pamoja na kutamkiwa maneno mabaya huweza kumkuta mtu?
Na kama mtu huweza kukutwa na maneno hayo ya laana je ,Kuna njia ya kuiondoa au mtu akiamini ndo yanamkuta au ni akili zetu tu hamnaga kitu kama hicho.
Sasa kama katmka na huna kosa vipi kuhusu hapoNjia ya kuiondoa laana ni kitubu mapema kabla mtamkaji hajarudi mavumbini
Hamnaga kitu inaitwa laana.Ila mazuri ata usemeje hayaji.
Asante mkuuuSio lazima, inategemea na matendo ma mienendo ya mtamkiwa. Ndo maana ni muhimu mtu uwe unasali na kusaidia masikini ili utengeneze kinga za laana na maneno mabaya unayonenewa na watu
SafiUsidhubutu kutamkiwa maneno laana na mzazi wako au mzee yoyote yule,.zingatia.
Mbn Kuna watu katika jamii ni vichaa ...hawajafanikiwa kimaisha na ukiulizia historia yao wanakuambia ni laana inawatafunaHamnaga kitu inaitwa laana.
Mi mawazo yao tu, ni kama mtu awe mlevi mbwa, au malaya aliekubuhu halafu useme karogwa.Mbn Kuna watu katika jamii ni vichaa ...hawajafanikiwa kimaisha na ukiulizia historia yao wanakuambia ni laana inawatafuna
Hakuna laanaHivi jamni kweli laana kutoka kwa mtu mzima aliye kuzidi umri mzazi pamoja na kutamkiwa maneno mabaya huweza kumkuta mtu?
Na kama mtu huweza kukutwa na maneno hayo ya laana je ,Kuna njia ya kuiondoa au mtu akiamini ndo yanamkuta au ni akili zetu tu hamnaga kitu kama hicho.
Ni kweli laana hisiyo na sababu haiwezi kumpata mtuHayo ni mambo ya kiimani zaidi,, siyo kila laana au baya analotamkiwa mtu basi litamkuta. 😎🤝
Akitamka ukayqsikia yakatae fanya maombi ya kupinga alivyotamka, ulimi una nguvu ya kuumba.Hivi jamni kweli laana kutoka kwa mtu mzima aliye kuzidi umri mzazi pamoja na kutamkiwa maneno mabaya huweza kumkuta mtu?
Na kama mtu huweza kukutwa na maneno hayo ya laana je ,Kuna njia ya kuiondoa au mtu akiamini ndo yanamkuta au ni akili zetu tu hamnaga kitu kama hicho.
Hawezi ila mzazi anaweza kumlaani mtotoMtoto anaweza kumlaani mzazi?
Asante dada♥️Akitamka ukayqsikia yakatae fanya maombi ya kupinga alivyotamka, ulimi una nguvu ya kuumba.
Asante kakaNi kweli laana hisiyo na sababu haiwezi kumpata mtu
Kwa nini mtoto hawezi kumlaani mzazi?Hawezi ila mzazi anaweza kumlaani mtoto
Mbn kuna watu wanateseka ukiuliza unaambiwa ni laanaHakuna laana
Saababu ni mdogo kwa mzaziKwa nini mtoto hawezi kumlaani mzazi?