Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Mimi siko CCM wala Chadema
Kuuliza kwangu ni kwanini NEC ya CCM inawaita akina Membe na kunwacha Musiba, ni kwa kuwa nataka haki itendeke na naamini kuwa huyo Musiba ndiyo "root cause" wa haya yote yanayotokea
Kitendo cha CCM kufanya ubaguzi na kuwaonea baadhi ya watu, kitasababisha Taifa hil lisambaratike. OVA
Natumia Uhuru wa kutoa maoni yangu kama Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya mwaka 1977, ibara ya 18(1) inavyosema, nikiiinukuu " Kila mtu yuko huru kutoa nje maoni yake na kutafuta na kupokea habari zozote kupitia chochote cha habari bila kujali mipaka ya nchi na pia Uhuru huo wa mawasiliano kutotakiwa kuingiliwa kati na chombo chochote kile" mwisho wa kunukuuni chama chao naTanzania, ya mwaka eshwi na katiba ya nchi....
Kama sio member wa ccm then kuuliza ni udaku[emoji1]
Kuna vyama hata vya kichawi.. haturuhusiwi kwanini wanafukua kaburi hili badala ya lile la zamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumia Uhuru wa kutoa maoni yangu kama Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya mwaka 1977, ibara ya 18(1) inavyosema, nikiiinukuu " Kila mtu yuko huru kutoa nje maoni yake na kutafuta na kupokea habari zozote kupitia chochote cha habari bila kujali mipaka ya nchi na pia Uhuru huo wa mawasiliano kutotakiwa kuingiliwa kati na chombo chochote kile" mwisho wa kunukuu
Kutumia Katiba ya nchi kuhoji mambo ya yanavyoenda kwenye tahsisi binafsi ni sahihi kabisaunatumia katiba ya serikali kuongelea chama ccm? Haviingiliani boss.. Uhuru hauingilii taasisi zisizokuhusu..
umechanganya ama umechanganyikiwa?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutumia Katiba ya nchi kuhoji mambo ya yanavyoenda kwenye tahsisi binafsi ni sahihi kabisa
Kwa kuwa Katiba ya nchi ndiyo iko juu ya kila kitu hapa nchini
Mkuu hutapata majibu sahihi ya maswali yako. Ukweli uko wazi kuwa anaeshikilia chama ndiye anaeamua ni nani ahojiwe ni nani ashitakiwe na kwa makosa yepi na amekwenda mbali zaidi hata kuwa Hakimu ktk maamuzi mbalimbali Mahakamani na hata ndani ya ule Mhimili unaotunga na kusimamia Sheria. Musiba ni speaker tu.Mwenyekiti wa chama ni amilijeshi mkuu
Waziri wa mambo ya ndani ni kada wa ccm
Je ccm inabariki uvunjifu wa sheria ?
Je ccm inaruhusu wanachama wake kutukanwa na kuzushiwa ?
Je ccm inaruhusu wanachama wake kudhalauliwa na kudhalilishwa?
Ikiwa sheria ipo wazi kwanini waziri hawezi kumshughulikia Musiba?
Musiba yupo juu ya ccm kuliko wanachama wa ccm?
Mbona kila kwenye matatizo yenu lazima muitaje Chadema? Wewe hata mumeo akishindwa kukupachika mimba utasingizia Chadema, nani kawaroga nyie? Au moja wapo ya masharti ya kulipwa buku7 ni kuitaja Chadema na Mbowe?CCM haiogopi watu kama chadema ,huku ukizingua unasurubiwa kama yeyete
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watu wa buku 7 hawana kumbukumbu Mkuu. Na pia wanaweza kutoa majibu mepesi kuwa alishaachana na siasa baada ya kuwa mwanaharakati huru. Watz SIYO Wajinga.Kama siyo mwanachama aligombeaje ubunge kule Mwibara kwa tiketi ya CCM na kubwagwa na Kangi Lugola?!!
Nchi ni lazima iongozwe kwa kufuata sheriaMkuu hutapata majibu sahihi ya maswali yako. Ukweli uko wazi kuwa anaeshikilia chama ndiye anaeamua ni nani ahojiwe ni nani ashitakiwe na kwa makosa yepi na amekwenda mbali zaidi hata kuwa Hakimu ktk maamuzi mbalimbali Mahakamani na hata ndani ya ule Mhimili unaotunga na kusimamia Sheria. Musiba ni speaker tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wakiwa huko ndani, wanawahoji au ni mazungumzo ya maridhiano?
Kosa kuu la akina kinana ni kumdhihaki na kumdhalilisha mwenyekiti,hakuna sehemu ambayo Musiba amemdhihaki mwenyekitiNaomba nijibiwe kwa hoja, wala si kwa kutoa povu
Wamemdhihaki kivipi Rais??Kosa kuu la akina kinana ni kumdhihaki na kumdhalilisha mwenyekiti,hakuna sehemu ambayo Musiba amemdhihaki mwenyekiti
Kwa mujibu wa katiba yetu ya ccm,makosa hayo yanajadiliwa na kamati ya madili na nidhamu,na ili haki ionekane imetendeka,ndio maana wameitwa
Nikukumbushe hata kwenu chadema mliwaita kubenea na komu na mkawahukumu kwa kumdhalilisha mwenyekiti wenu na hukufungua thread
Kwani Musiba amekuwa kigogo wa CCM?na je aitwe na CCM kwa kosa gani na akiwa kama nani?Kwenye sheria ni lazima unapohitaji haki itendeke uhusishe pande zote ili uujue ukweli na ufanye uamuzi usiopendelea upande mmoja
Nimesikia kwenye kikao cha baraza kuu la CCM kilichomalizika siku chache zilizopita, huko Mwanza, kuwa kimeamua kuwaita akina Bernard Membe, Abdurahman Kinana na Yusufu Makamba kuwahoji kuhusu tuhuma zinazowakabili za kuvuja kwa sauti zao kwenye audio clips
Nina maswali machache ninataka kuwauliza hao wajumbe wa NEC walioazimia azimio hilo
1. Ni kwanini muwaite akina Membe na kutaka kuwahoji wakati mmeacha kumuita Musiba, ambaye ndiye "root cause" ya haya yote yanayotokea ikiwa mnatafuta haki itendeke kwa kusikiliza pande zote za mgogoro huo?
2. Hivi "privacy policy" haipo tena nchini Tanzania, ambapo mtu analindwa kisheria katika maongezi yake ya faragha??
3. Mnawezaje kuwa nyinyi baraza la CCM kuwa ndiyo waamuzi wa kesi hiyo, wakati mnajua kabisa kuwa mnakiuka "principle" kuu ya "natural justice" inayosema "You can't be a judge in your own case"
4. Hivi kwa kitendo kilichofanywa na baraza la CCM, siyo kinazidi kuthibitisha shutuma za wananchi walio wengi kuwa huyo Musiba anakingiwa kifua na anatumwa na mtu mzito sana ndani ya nchi hii kutoa hizo shutuma zake zisizokuwa na ushahidi??
Hili Taifa kama linafanya maamuzi yake kwa ubaguzi wa waziwazi kabisa, katika kuwashughulikia wahusika wake linalowatuhumu, kama huu tunaouona sasa tujue kama Taifa tupo hatarini kusambaratika
Naomba nijibiwe kwa hoja, wala si kwa kutoa povu
We una matatizoHivi hamjasikia namna Rais anavyowadhihaki na kuwadhalilisha hata kuwatukana, wapinzani kwenye hotuba zake za kisiasa??
Musiba na wenzie ndiyo hit squad ya CCM wanatumwa kama majini. Ngoja tukutane na Jasusi mbobezi Bernard tusikie bombaniKwenye sheria ni lazima unapohitaji haki itendeke uhusishe pande zote ili uujue ukweli na ufanye uamuzi usiopendelea upande mmoja
Nimesikia kwenye kikao cha baraza kuu la CCM kilichomalizika siku chache zilizopita, huko Mwanza, kuwa kimeamua kuwaita akina Bernard Membe, Abdurahman Kinana na Yusufu Makamba kuwahoji kuhusu tuhuma zinazowakabili za kuvuja kwa sauti zao kwenye audio clips
Nina maswali machache ninataka kuwauliza hao wajumbe wa NEC walioazimia azimio hilo
1. Ni kwanini muwaite akina Membe na kutaka kuwahoji wakati mmeacha kumuita Musiba, ambaye ndiye "root cause" ya haya yote yanayotokea ikiwa mnatafuta haki itendeke kwa kusikiliza pande zote za mgogoro huo?
2. Hivi "privacy policy" haipo tena nchini Tanzania, ambapo mtu analindwa kisheria katika maongezi yake ya faragha??
3. Mnawezaje kuwa nyinyi baraza la CCM kuwa ndiyo waamuzi wa kesi hiyo, wakati mnajua kabisa kuwa mnakiuka "principle" kuu ya "natural justice" inayosema "You can't be a judge in your own case"
4. Hivi kwa kitendo kilichofanywa na baraza la CCM, siyo kinazidi kuthibitisha shutuma za wananchi walio wengi kuwa huyo Musiba anakingiwa kifua na anatumwa na mtu mzito sana ndani ya nchi hii kutoa hizo shutuma zake zisizokuwa na ushahidi??
Hili Taifa kama linafanya maamuzi yake kwa ubaguzi wa waziwazi kabisa, katika kuwashughulikia wahusika wake linalowatuhumu, kama huu tunaouona sasa tujue kama Taifa tupo hatarini kusambaratika
Naomba nijibiwe kwa hoja, wala si kwa kutoa povu