Hivi ni kwanini Israel imeshindikana kufutika kwenye ramani ya dunia?

Hivi ni kwanini Israel imeshindikana kufutika kwenye ramani ya dunia?

They have divine protection.
Hakuna cha divine protection hizo ni propaganda. Israel inaundwa na wayahudi waliotapaka dunia nzima katika kila sekta nyeti hasa ya fedha, madini na tech na pili wameishika serikali ya US ambapo in turn inaipa msaada dola ya israel kijeshi (zaidi ya nusu ya bajeti ya jeshi la israel inatoka US). Kama ni kweli israel inalindwa na Mungu, basi huyo Mungu ni shetani sana maana kwa mauaji yanayofanywa na IDF huko gaza ni zaidi ya unyama.

Kwa msingi huo ni ngumu sana kupambana na taifa la israel.
 
Hakuna cha divine protection hizo ni propaganda. Israel inaundwa na wayahudi waliotapaka dunia nzima katika kila sekta nyeti hasa ya fedha, madini na tech na pili wameishika serikali ya US ambapo in turn inaipa msaada dola ya israel kijeshi (zaidi ya nusu ya bajeti ya jeshi la israel inatoka US). Kama ni kweli israel inalindwa na Mungu, basi huyo Mungu ni shetani sana maana kwa mauaji yanayofanywa na IDF huko gaza ni zaidi ya unyama.

Kwa msingi huo ni ngumu sana kupambana na taifa la israel.
Well,Si imeandikwa kwamba atawabariki wale watakayoibariki Israel na kuwalaani wanaowalaani? Na watu wa duniani watabarikiwa kupitia Israel?

US wananguvu sana kwa sababu wanatimiza yaliyoandikwa kwa kui-support Israel hivyo na Mungu anawabariki. Na Imeandikwa pia tuiombee Israel na Christians wengi wanaiombea sana Israel. Sasa huoni wana ulinzi mkubwa sana?

It's written..lakini sio ninavyoamini mimi, lol
 
Hao wanasayansi kuuwawa sio mmoja, walishauwawa zaidi ya mmoja na makundi ya magaidi, hoja ni kushambulia Iran kama alivyosema Ayatullah, em nataka day katika vita yao na hamas wakosee kombora litue tehran alaf uje ucomment tena hapa
Unajua juzi Waziri wa ulinzi wa Israel aliongea kuwa bado wanayo nia yao mpaka sasa ya kuishambulia Iran sasa hio nia yao ndio Ayatullah anayoisubiria kwa hamu
We jamaa wakupe uraia huko
 
They have divine protection.
Kwanini
Habari JF..

Hizi habari za israel kufutwa kwenye ramani ya dunia na maadui zake nimezisikia toka zamani sana.

Hivi wanakwama wapi hawa wanaotaka kuifuta israel kwenye ramani ya dunia?

Israel kazungukwa na maadui pande zote lakini bado anadunda.

Je wanakwama wapi?
Labda turudi kwenye Historia kisha tuhitimishe ya kuwa ni kwanini hao maadui zake wanataka kuifuta ?
 
Well,Si imeandikwa kwamba atawabariki wale watakayoibariki Israel na kuwalaani wanaowalaani? Na watu wa duniani watabarikiwa kupitia Israel?
Hapa ni kitu gani kilichokujulisha kama inaongelewa Israeli hii ya mwaka 1948 kama Taifa na si Israeli kama Ukoo wa nabii Yakubu ?
wananguvu sana kwa sababu wanatimiza yaliyoandikwa kwa kui-support Israel hivyo na Mungu anawabariki. Na Imeandikwa pia tuiombee Israel na Christians wengi wanaiombea sana Israel. Sasa huoni wana ulinzi mkubwa sana?
Mimi nachotaka kujua kwanza ni upi usahihi wa hayo maandiko, na hizi habari ameziandika nani ?

Unajuaje nguvu za US kivita au kima pigano ?
written..lakini sio ninavyoamini mimi, lol
Wewe unaamini vipi ?
 
Tokea lini Mungu akawalinda waliompa kichapo Yesu? [emoji23]
Sio tu hilo, huwa najiuliza ni kwamba watu hawasomi historia au ni vipi ?

Hawa wajiitao leo Israeli wamechukua tu jina lakini hawana uhusiano wowote na ule ukoo nabii Yakubu, ndiyo maana huwa tunawauliza watupe nasaba zao.

Lakini kuna hawa Mayahudi, hawa iko wazi jambo lao, kwani wamelaaniwa kwa ulimi ya nabii Issa na nabii Dawood kadhalika.
 
Habari JF..

Hizi habari za israel kufutwa kwenye ramani ya dunia na maadui zake nimezisikia toka zamani sana.

Hivi wanakwama wapi hawa wanaotaka kuifuta israel kwenye ramani ya dunia?

Israel kazungukwa na maadui pande zote lakini bado anadunda.

Je wanakwama wapi?
Israeli ilianzishwa kutimiza unabii. Biblia ilitabiri Israeli ingekuwa taifa huru 1948. Ukitaka nikujuze Jinsi gani biblia ilitabiri hivyo njoo pm. Kwa hiyo taifa la Israeli halifutwa milele, bado Kuna Mambo yapo kibiblia yanapaswa kutimizwa ikiwemo kufanya agano na mpinga Kristo kipindi Cha dhiki kuu
 
Israeli ilianzishwa kutimiza unabii. Biblia ilitabiri Israeli ingekuwa taifa huru 1948. Ukitaka nikujuze Jinsi gani biblia ilitabiri hivyo njoo pm. Kwa hiyo taifa la Israeli halifutwa milele, bado Kuna Mambo yapo kibiblia yanapaswa kutimizwa ikiwemo kufanya agano na mpinga Kristo kipindi Cha dhiki kuu
Tupe faida,tupate kuujua huo ukweli wa Biblia.
 
Well,Si imeandikwa kwamba atawabariki wale watakayoibariki Israel na kuwalaani wanaowalaani? Na watu wa duniani watabarikiwa kupitia Israel?

US wananguvu sana kwa sababu wanatimiza yaliyoandikwa kwa kui-support Israel hivyo na Mungu anawabariki. Na Imeandikwa pia tuiombee Israel na Christians wengi wanaiombea sana Israel. Sasa huoni wana ulinzi mkubwa sana?

It's written..lakini sio ninavyoamini mimi, lol
Hizo ni illusions tu. Marekani imekuwa taifa kubwa miaka kibao hata israel haipo. Na wameendelea kwa sbb mbalimbali, mf za free labour ya utumwa, social inclusivity, kuwa na eneo kubwa na kuwa na bahari mbili zenye maji yasiyoganda kitu kinachoifanya iwe naval power. Na inaendelea kushamiri kiuchumi sbb ya Wizi na unyonyaji wa rasilimali za mataifa masikini.

Siamini kama Mungu alikusudia israel hii yenye serikali ya kiuaji kama ile.
 
Habari JF..

Hizi habari za israel kufutwa kwenye ramani ya dunia na maadui zake nimezisikia toka zamani sana.

Hivi wanakwama wapi hawa wanaotaka kuifuta israel kwenye ramani ya dunia?

Israel kazungukwa na maadui pande zote lakini bado anadunda.

Je wanakwama wapi?
Waulize iran
 
Back
Top Bottom