mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
Us bila ya Israel can not exist!Kwanini mnaiangalia Israel nje ya US?!! Bila US Israel,can not exist! So kama US ipo hakuna uwezekano wa kufutwa kwa Israel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Us bila ya Israel can not exist!Kwanini mnaiangalia Israel nje ya US?!! Bila US Israel,can not exist! So kama US ipo hakuna uwezekano wa kufutwa kwa Israel
Hakuna ambaye yupo sirias kwa hiyo ishu hiyo lkn pia ana ulinzi thabit wa mabwana zake na yy ndio taifa linaloongoza kwa kupokea kiwango kikubwa cha pesa km msaada hapa dunian kutoka kwa marekan pamoja na hao wa ulaya.Habari JF..
Hizi habari za israel kufutwa kwenye ramani ya dunia na maadui zake nimezisikia toka zamani sana.
Hivi wanakwama wapi hawa wanaotaka kuifuta israel kwenye ramani ya dunia?
Israel kazungukwa na maadui pande zote lakini bado anadunda.
Je, wanakwama wapi?
hivi unajua jiografia wewe? Israel inapakana na Iran hata irushe risasi iran?
Hivi kwa nn Israel inashindwa kurusha ata risasi kwenye mpaka wa Iran? [emoji23] Nafkiri Ayatullah kauli hio ataitekeleza endapo wayahudi day watakapokosea njia kuishambulia Iran kama wanavyosema kila siku
Mbona wairani tena wanasayansi wanauawa na irani haina cha kufanya? Wajaribu waone moto... Endeleeni kuamini kwamba teknolojia ya irani ni kubwa kuliko ya Israel.Hivi kwa nn Israel inashindwa kurusha ata risasi kwenye mpaka wa Iran? [emoji23] Nafkiri Ayatullah kauli hio ataitekeleza endapo wayahudi day watakapokosea njia kuishambulia Iran kama wanavyosema kila siku
Hakuna cha divine protection hizo ni propaganda. Israel inaundwa na wayahudi waliotapaka dunia nzima katika kila sekta nyeti hasa ya fedha, madini na tech na pili wameishika serikali ya US ambapo in turn inaipa msaada dola ya israel kijeshi (zaidi ya nusu ya bajeti ya jeshi la israel inatoka US). Kama ni kweli israel inalindwa na Mungu, basi huyo Mungu ni shetani sana maana kwa mauaji yanayofanywa na IDF huko gaza ni zaidi ya unyama.
Kwa msingi huo ni ngumu sana kupambana na taifa la israel.
Unafundishwa alafu unakuwa mjuaji wakati hujasoma history unabisha je?Hizo ni illusions tu. Marekani imekuwa taifa kubwa miaka kibao hata israel haipo. Na wameendelea kwa sbb mbalimbali, mf za free labour ya utumwa, social inclusivity, kuwa na eneo kubwa na kuwa na bahari mbili zenye maji yasiyoganda kitu kinachoifanya iwe naval power. Na inaendelea kushamiri kiuchumi sbb ya Wizi na unyonyaji wa rasilimali za mataifa masikini.
Siamini kama Mungu alikusudia israel hii yenye serikali ya kiuaji kama ile.
History ipi?Unafundishwa alafu unakuwa mjuaji wakati hujasoma history unabisha je?
Ngoja waje wanao fahamu hiliHabari JF..
Hizi habari za israel kufutwa kwenye ramani ya dunia na maadui zake nimezisikia toka zamani sana.
Hivi wanakwama wapi hawa wanaotaka kuifuta israel kwenye ramani ya dunia?
Israel kazungukwa na maadui pande zote lakini bado anadunda.
Je, wanakwama wapi?
Israel ina survive kwa mgongo wa US na ubabe + unyama inaofanya dhidi ya Palestine. Haya mambo yanapohalalishwa Kwa visingizio vya dini ndio dunia inazaa serikali na vikundi vya kigaidi kama israel, saudi arabia, isis, boko haram. Dunia inaendeshwa kwa sheria za kimataifa sio story za kwenye biblia na quran!Ndio Israeli inaundwa na Wayahudi ! Usisahau Kuna Ebrows ambao ni uzao wa Yakobo ndio hao MUNGU ameweka Agano la milele tangu BABU yao Abraham kabla ya kuitwa IBRAHIMU Baba wa Mataifa ,ukilaani Israel umelaaniwa ukiibariki umebarikiwa kabila 12 za Israel ndio hao wanaibeba Israel na hao Wayahudi .
Mungu wao alikuwa byzy 2006 ilipochezea kichapo mpaka waziri mkuu akajiuzuluNinaamini wapo na mbinu zao tofauti na hizo za ki-imani.
That's it mama! Hakuna taifa kubwa linaloendelea kwa imani. Ni mbinu tu.Ninaamini wapo na mbinu zao tofauti na hizo za ki-imani.
Unamaanisha Lebanon war?Mungu wao alikuwa byzy 2006 ilipochezea kichapo mpaka waziri mkuu akajiuzulu
Zile risasi zilizompiga mwanasayasi mkuu wa Iran pale Tehran hukuzisikia auHivi kwa nn Israel inashindwa kurusha ata risasi kwenye mpaka wa Iran? [emoji23] Nafkiri Ayatullah kauli hio ataitekeleza endapo wayahudi day watakapokosea njia kuishambulia Iran kama wanavyosema kila siku
Wewe jamaa bora uhamie tu Iran kwa ayatollah maana unaonekana ni mzalendo na mwenye mahaba na Iran pasipo mfanoweMungu wao alikuwa byzy 2006 ilipochezea kichapo mpaka waziri mkuu akajiuzulu
Mbona wairani tena wanasayansi wanauawa na irani haina cha kufanya? Wajaribu waone moto... Endeleeni kuamini kwamba teknolojia ya irani ni kubwa kuliko ya Israel.