Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

unajua sometimes you need to test dawa mnazozitengeneza....... siyo kutoa dose kwa wenzenu tu wakati hamjui hata ina-taste vipi


Tatizo ni kwamba dawa nyingine hazifanyiwi test kwani hakuna aliyewahi kuionja halafu akapata nafasi ya kutoa taarifa...... Mfano ni hiyo cyanide!!

Wanaume ni walaini kama mrenda.....ishini nao kwa akili na busara hata kama wanawafanyizia....(I know this is not good for your ears)!!

Otherwise, mtaimba mapambio kila siku....!!

Babu DC!!
 
umeona eeh!
hizo story za kuiponda familia huwa zinakuwaga..... lakini kama mimi nazichukulia ni za kizushi tu
kama kweli yupo kwenye tanuri la moto kwa nini asitoke kwanza apate upepo kidogo then aanze upya?


Kwani ni lazima kupiga story...?

Kama mtu hana cha kusema si mcheze kidali po kuliko kumwagiana upu-pu??

Pole zao ambao bado wanapiga hizo game za mchangani...lol!!

Babu DC!!!
 
noted........
 
Babu DC, kama hujawahi kcuhit usiusemee moyo

Watu wanajikuta wanaropoka tu

Mengine hata hawajui kwa nini wanaropoka

Chezeiya ukute kudumu kiko fit kichwani wewe?

Unajikuta huko ndio unatafuta masuluhisho ya baadhi ya matatizo

Anayefanya hayo ni irresponsible cheater au ana matatizo zaidi ya anavyojihisi....

Mdau mwenye busara zake hata story za familia yake hazimo kwenye recipe yake na kidumu.....!!

Babu DC!!
 
Kwani ni lazima kupiga story...?

Kama mtu hana cha kusema si mcheze kidali po kuliko kumwagiana upu-pu??

Pole zao ambao bado wanapiga hizo game za mchangani...lol!!

Babu DC!!!
ha ha haaaaaaaa, upu-pu una raha yake babu......
 
siku hizi mimi na KakaKiiza tunawasiliana kwa simu na PM TU hatutaki uzushi wanga walikuwa wengi sana wanamvizia ila du ni mzinguaji kwelikweli hahahaha
Umeulizwa wengine ni mawakala wa makampuni yatoayo huduma wawza kusimamisha chombo chetu baharini!aha!mwanamke wakizaramo bwana kwakujionyesha ili wakujue tulia mimi niwako!!

Heheheheee kama anakuzingua tupa kuleeee kwani nini aisee
Wewe ulisikia cocaine ikachomwa moto?au uliambiwa asali inaexpare?utasubiri sana kwa nivea

CC: KakaKiiza hili neno ndio nlokuwa nalisaka sana sasa akija ndio utajua moja
Nimeisha kuja bby achana na wachonga mihuri samora!!wote hao kazi zote wao,udalali,fundi saa,fundi radio,fundi wamihuri,fundi simu utalala hoi!bebe!

Tena mwambie asikuzoee eti
Copy kwa KakaKiiza
Wewe unahangaika na roho lakini kama kufa ulishakufa kama Waziri mkuu wa Islael shalom mwaka wa 7 ajitambui!
 
Last edited by a moderator:
Kidumu umejimuvuzisha nacho Melvedes (@Bishanga anahusika hapa)

Mko kule kwa wiki 2, mtaacha kupiga story??

Kwani ni lazima kupiga story...?

Kama mtu hana cha kusema si mcheze kidali po kuliko kumwagiana upu-pu??

Pole zao ambao bado wanapiga hizo game za mchangani...lol!!

Babu DC!!!
 
Kwani ni lazima kupiga story...?

Kama mtu hana cha kusema si mcheze kidali po kuliko kumwagiana upu-pu??

Pole zao ambao bado wanapiga hizo game za mchangani...lol!!

Babu DC!!!
eti babu kwenye gemu unadai utukaniwe bibi ndo unaenjoy
mtukane bibi,mtukane bibi
nalog offfffffffffffffffffffff
 
Mkuu wangu usisahau kuninukuu niliposema habari za kuzungumzia mambo ya familia inakuja kwa bahati mbaya sana, tena baada ya kutafunana vitumbua na kuzoeana. Sasa ndege akipotea hapo kuna cha kupoteza??
 
Acha tu yaani kimpango wa kando kinanikasirisha sana

Pole shoste usije watukana tuu kama mie nilivoharibu maana nilishindwa kujizuia wala kujicontrol. Yataisha ni muda tuu na hali ya hewa itarudi kuwa sawa.
 
Babu DC, kama hujawahi kcuhit usiusemee moyo

Watu wanajikuta wanaropoka tu

Mengine hata hawajui kwa nini wanaropoka

Chezeiya ukute kudumu kiko fit kichwani wewe?

Unajikuta huko ndio unatafuta masuluhisho ya baadhi ya matatizo
babu hajasema hajawahi kuchit ila kasema anakochit haongelei mambo ya home, either anazungumzia hadithi za kuku na bata au anacheza kidali po then anasepa......
si eti babu Dark City?
 
Last edited by a moderator:
Najiuliza.................

Ni kweli mpango wa kando a.k.a nyumba ndogo husaidia kupunguza stress za nyumbani kwako??

Ndo maanake, unajua nyumba kubwa ikisha olewa huwa inajisahau sana mpaka wajibu wake kama mke.

Kama si kweli mbona unakwenda kumsimulia mpango wa kando mambo/matatizo yako na mkeo???

Kumsimulia ishu za nyumba kubwa ni kujiongezea max na CV kwa nyumba ndogo ili ijue unaipeeenda kumbe upo pale kwa ajili ya kukata kiu kisha unaenda kulala kwa nyumba kubwa.

Kama ni kweli mbona humuoi huyo mpango wa kando akawa mke mdogo/wa pili ili hizo stress za home uzimalizie bila kificho wajameni???

Akiolewa atakuwa na vitabia kama nyumba kubwa kujisahau na kubweteka

Najiuliza sana sipati majibu kwanini uende kumueleza matatizo/shida/ugomvi wako na mkeo huyu mwanamke wa nje tena unaomba akupunguzie stress?? Eeehhh??

Majibu ndo hayo yamekaa kidijitari zaidi kama unavyo ona.

Yaani unakutana na kimpango wa kando kinakujua kuliko eeeeehhhhh wajameni...................... .

Wewe huna kidumu cha kukukuna? au mnaita kiserengeti boy cha form ii
 
umeona eeh!
hizo story za kuiponda familia huwa zinakuwaga..... lakini kama mimi nazichukulia ni za kizushi tu
kama kweli yupo kwenye tanuri la moto kwa nini asitoke kwanza apate upepo kidogo then aanze upya?
Mkwe kumbe na wewe una tabia mbaya eh? Hebu twende PM tukapange mipango mikakati!
 

Sikujua kuwa siku nyingine unakuwaga kama msaidizi wa Paroko.....

Au tayari umeshavumbua kanisa lako??


noted........

Hapa ndipo mtu yeyote anapoweza kuchora mstari kati ya mtu mzima mwenzetu wa 1947 na hawa wadogo zetu akina Smile...


Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…