unajua sometimes you need to test dawa mnazozitengeneza....... siyo kutoa dose kwa wenzenu tu wakati hamjui hata ina-taste vipi
Hivi mzee mwenzangu.nini dawa ya mwanaume kama huyu?
Mbu unajua nakuheshimu sana wewe
K i z u n g u z u n g u
umeona eeh!
hizo story za kuiponda familia huwa zinakuwaga..... lakini kama mimi nazichukulia ni za kizushi tu
kama kweli yupo kwenye tanuri la moto kwa nini asitoke kwanza apate upepo kidogo then aanze upya?
Hajambo bana, kila siku anaulizia kijana bado hajabalehe aanze kumbemenda?:becky::becky:mkwe nipo.......
mkwe wangu hajambo?
noted........Tatizo ni kwamba dawa nyingine hazifanyiwi test kwani hakuna aliyewahi kuionja halafu akapata nafasi ya kutoa taarifa...... Mfano ni hiyo cyanide!!
Wanaume ni walaini kama mrenda.....ishini nao kwa akili na busara hata kama wanawafanyizia....(I know this is not good for your ears)!!
Otherwise, mtaimba mapambio kila siku....!!
Babu DC!!
Anayefanya hayo ni irresponsible cheater au ana matatizo zaidi ya anavyojihisi....
Mdau mwenye busara zake hata story za familia yake hazimo kwenye recipe yake na kidumu.....!!
Babu DC!!
ha ha haaaaaaaa, upu-pu una raha yake babu......Kwani ni lazima kupiga story...?
Kama mtu hana cha kusema si mcheze kidali po kuliko kumwagiana upu-pu??
Pole zao ambao bado wanapiga hizo game za mchangani...lol!!
Babu DC!!!
uwwiiiiiii.......Hajambo bana, kila siku anaulizia kijana bado hajabalehe aanze kumbemenda?:becky::becky:
Umeulizwa wengine ni mawakala wa makampuni yatoayo huduma wawza kusimamisha chombo chetu baharini!aha!mwanamke wakizaramo bwana kwakujionyesha ili wakujue tulia mimi niwako!!siku hizi mimi na KakaKiiza tunawasiliana kwa simu na PM TU hatutaki uzushi wanga walikuwa wengi sana wanamvizia ila du ni mzinguaji kwelikweli hahahaha
Wewe ulisikia cocaine ikachomwa moto?au uliambiwa asali inaexpare?utasubiri sana kwa niveaHeheheheee kama anakuzingua tupa kuleeee kwani nini aisee
Nimeisha kuja bby achana na wachonga mihuri samora!!wote hao kazi zote wao,udalali,fundi saa,fundi radio,fundi wamihuri,fundi simu utalala hoi!bebe!CC: KakaKiiza hili neno ndio nlokuwa nalisaka sana sasa akija ndio utajua moja
Wewe unahangaika na roho lakini kama kufa ulishakufa kama Waziri mkuu wa Islael shalom mwaka wa 7 ajitambui!Tena mwambie asikuzoee eti
Copy kwa KakaKiiza
Kwani ni lazima kupiga story...?
Kama mtu hana cha kusema si mcheze kidali po kuliko kumwagiana upu-pu??
Pole zao ambao bado wanapiga hizo game za mchangani...lol!!
Babu DC!!!
eti babu kwenye gemu unadai utukaniwe bibi ndo unaenjoyKwani ni lazima kupiga story...?
Kama mtu hana cha kusema si mcheze kidali po kuliko kumwagiana upu-pu??
Pole zao ambao bado wanapiga hizo game za mchangani...lol!!
Babu DC!!!
Mkuu wangu usisahau kuninukuu niliposema habari za kuzungumzia mambo ya familia inakuja kwa bahati mbaya sana, tena baada ya kutafunana vitumbua na kuzoeana. Sasa ndege akipotea hapo kuna cha kupoteza??Sasa ukisifia familia si ni sawa na kupeperusha ndege??
Ukweli ni kwamba hakuna hata nafasi ya kujadili hayo mambo....
Pia vidumu ambavyo viko makini ukianza kuongelea familia yako vinakutoa nduki...
Kwani story za kupiga na kuchagiza upuuzi wenu zinakuwa zimeisha duniani??
Si bora muongelee habari ya Pope kujiuzulu wadhifa wake kuliko kuongelea mambo ambayo ni lethal??
Babu DC!!
Acha tu yaani kimpango wa kando kinanikasirisha sana
babu hajasema hajawahi kuchit ila kasema anakochit haongelei mambo ya home, either anazungumzia hadithi za kuku na bata au anacheza kidali po then anasepa......Babu DC, kama hujawahi kcuhit usiusemee moyo
Watu wanajikuta wanaropoka tu
Mengine hata hawajui kwa nini wanaropoka
Chezeiya ukute kudumu kiko fit kichwani wewe?
Unajikuta huko ndio unatafuta masuluhisho ya baadhi ya matatizo
Najiuliza.................
Ni kweli mpango wa kando a.k.a nyumba ndogo husaidia kupunguza stress za nyumbani kwako??
Kama si kweli mbona unakwenda kumsimulia mpango wa kando mambo/matatizo yako na mkeo???
Kama ni kweli mbona humuoi huyo mpango wa kando akawa mke mdogo/wa pili ili hizo stress za home uzimalizie bila kificho wajameni???
Najiuliza sana sipati majibu kwanini uende kumueleza matatizo/shida/ugomvi wako na mkeo huyu mwanamke wa nje tena unaomba akupunguzie stress?? Eeehhh??
Yaani unakutana na kimpango wa kando kinakujua kuliko eeeeehhhhh wajameni...................... .
Mkwe kumbe na wewe una tabia mbaya eh? Hebu twende PM tukapange mipango mikakati!umeona eeh!
hizo story za kuiponda familia huwa zinakuwaga..... lakini kama mimi nazichukulia ni za kizushi tu
kama kweli yupo kwenye tanuri la moto kwa nini asitoke kwanza apate upepo kidogo then aanze upya?
Unajua binafsi nimekuwa nikiangalia tabia za wanaume (Sio mimi) nimeona almost 90% wana vidumu au hata kama hawana wanavizia nje ya ndoa so ni vigumu kunambia kuwa wanaume ni waaminifu kwa asilimia kubwa....kwa mwanaume ambae hajamfuma mumewe na mtu au tetesi asijipe tumaini kuwa mumewe hana kidumu ni kuwa kajificha tu.
Hapa suala ni kushirikishana maombi ya familia na kuifanya familia iwe na hofu ya Mungu na kwa imani hiyo hizo dhambi zitapungua sana au kwisha kabisa!
noted........