Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu


hahahaha hujui mchele mmoja ila mapishi mbali mbali kuna bokoboko, pilau, wali mweupe, kuna ukoko n.k sasa nyumba kubwa inazidiwa maujuzi na nyumba ndogo fikiria ukifika mlangoni unabebwa mgongoni nyumba kubwa hata karibu tu hakuna :becky::becky:
 
Hahahahaahaaaaaaaaaaaaa! umenifurahisha sana wiyelele, inaonyesha lile tatizo la mkeo halijaisha na bado linakukera sanaaaaaaa! na umenifanya nicheke sana, yaani mwili kinondoni ila moyo na roho kimara Loh! angalia usije siku ukakosea ukataja jina la small house kwa mkeo, kikawaka zaidi.
 
:becky::becky::becky: alafu nyumba kubwa nasikia nazo huwa zinaonyesha ujuzi na utundu kwa vidumu/serengeti boyz unalijua hilo? kwa mmewe anabana ujuzi na utundu

mi ni NYUMBA!habari ya kubwa sijui nini!MIMI NI NYUMBA!so viserengeti sijui vitusker lsrger ni utoto wa kike!
 

Kweli wife ndiye anae fanya nipendeze, ndiye anae hakikisha navutia mpaka kwa nyumba ndogo, tatizo lipo kwenye mapishi ya KUTIA mara utasikia leo nimechoka mara leo nimefua sana sasa hapo anakaribisha au anafungua milango wazi kwa nyumba ndogo kumsaidia KUTIA ndo hivyo KUTIA ni ubunifu na ujanja kwa kweli :becky:
 
mi ni NYUMBA!habari ya kubwa sijui nini!MIMI NI NYUMBA!so viserengeti sijui vitusker lsrger ni utoto wa kike!

wewe ni nyumba ongeza na nyumba kubwa yaani wewe ni NYUMBA KUBWA wengine wanao ongezeka kwa mmeo ni nyumba ndogo ndogo inaweza kuwa ya tembe au msonge n.k
 
Kuku huchosha kila siku kwa hiyo wanamme huenda kuonja dagaa kwa majirani


Hivi unajua waweza jikuta umeolewa na zombie? afu wa ukweee yupo yupo tu?

 
nyingine huwa mbwembwe tu lengo kuu ni KUTIA na kuchapa mwendo

dahhhh wadada wengine wagumu kuwaingilia..
Na kuna wanaume hawapendi kushindwa na msicha kumkatalia
ye ndo anakuwa more attracted kwake . Anavutiwa zaidi na mbweembwee
zamaringo..

ndo hapo ataanza kububujika.
"mi na mke wangu sijua hata kwa nini tulioana"
" Nampango wa kumuacha siku za karibuni "
"Nahitaji mwanamke kama wewe maishani"

akisha kuvaa ndo huyo humuoni tena .
utamuona siku "Scorpio King" ana njaaaaaa...

ladies kuweni waangalifu ....
 

hapa nazungumzia nilichoambiwa na huyo dada, alitembea nae kisa alitaka hiki na kile, na jamaa alimuahidi kumfanyia hiki na kile,tamaa mbele, na hakufanyiwa hata kimoja,labda kama alimchuna za mfukoni tu, nilimtesa yule dada mpaka nikaridhika na nafsi yangu mwenyewe, alivyokuwa ananitobolea masiri yao ndio nilikuwa nakasirika zaidi, na jamaa home anatubu yale yale niliyoambiwa, hahah mke mtamu ati, aliomba msamaha akiusindikiza na haleluya kuu, yule dada alikuwa mchumba wa mtu, nilimfata mpaka yule mchumba wake ofisini na nikamcal mdada nikamwambia nipo kwa mume wako mtarajiwa, nikuharibie? aliteseka yule dada, alilia mpaka basi, natembea na picha za mchumba wake kama bible vile kwenye pochi yangu,hahaha kila mmoja nilimtesa kivyake,tukija kwenye ishu ya performance hapo ndio ntajua mwanaume nilienae anaweza hata kuombwa na wanaume wenzie akawapa pia kisa "wanajiweza" hapo tena ni kesi nyingine na naomba isinifike mana atanitia kinyaa cha milele, kwamba anatumika na wanaojiweza kisa performance yake? uuuuh, ipitie mbali kwa sasa.
 
hahahaha hujui mchele mmoja ila mapishi mbali mbali kuna bokoboko, pilau, wali mweupe, kuna ukoko n.k sasa nyumba kubwa inazidiwa maujuzi na nyumba ndogo fikiria ukifika mlangoni unabebwa mgongoni nyumba kubwa hata karibu tu hakuna :becky::becky:
Fidel80 hapo kwenye Red, hawezi kukufanyia hayo kama hauna pesa kwa walet yako.Hapo hupendwi wewe kinapendwa pesa yako tu.
 
kabisa yaani hakuna tena muda wa kuremba remba

Amakweli mambo hadharani siku hizi afrodenzi unajuwa mwanzoni nilijua umekosea na utarudi kuedit...LoL...kumbe mie ndio nimekosea!!...Ivi tujiulize why all this? Kwamba hatuna akili kiasi hiki? au ninyi wenyewe mnapenda kudanganywa na ndio maana tunajitahidi kusema lolote ili tupate tunachohitaji?? Why? Why? why?

Kama njia hiyo ingekuwa inaprove failure si wanaume wangeiacha??

cc snowhite.

 
Last edited by a moderator:

:becky::becky: sasa utajuaje huyu anataka KUTIA na kukimbia? mbinu gani mnatumia kung'amua hilo?
 
Fidel80 hapo kwenye Red, hawezi kukufanyia hayo kama hauna pesa kwa walet yako.Hapo hupendwi wewe kinapendwa pesa yako tu.

hata mimi nazama mfukoni kutoa wallet kutokana na huduma nayo pewa nikipewa zaidi na manjonjo ya kufa mtu lazima wallet icheke vizuri huduma ikiwa hafifu hata motisha inakuwa hafifu
 
Una-negotiate na anayekuibia?

Mie sioni hata la kuongea naye

Ili anisimulie, alikuwa ananikunja kabisa au inaingia yote??
NO WAY!

 


Duuuuuuuuuuuuuuuuuuhhhhhhhhhh,

Hapa ungekabidhiwa AK 47 basi tungeshuhudia genocide zaidi ya ile ya Kimbari....

Babu DC!!
 
Hawana akili wakipata majanga huko mfano; kuumwa au kuumia wanarudi nyumbani kuuguzwa na wake zao si muendelee na hao wa kando wanaojua mapenzi unarudi home kufanya nini? Yaani hawana akili hawa viumbe
 

Hapana ..
solution hapo si nyumba ndogo.
Nyumba ndogo ni magojwa.

sasa hata mkeo anatumia damu si petrol anaruhusiwa kuchoka .
na kama kweli kazi za nyumbani zinamuelea ni kumtafutia mtu wa
kumsaidia mfano mfanyakazi wa ndani..

mi nakwambia umuoonyeshee bibie manjonjo yote jinsi gani
una hamu naye, unamtoa out mnaenda holiday, unambusu bila
kufikiria mmmmhhhhh atageuka kukupa kila unachotaka na kukutimizia
kila haja yako.. hadi ukisikia nyumba ndogo unawaza "ndo ini tu"??

Na ubunifu wa mambo matamu ni kazi ya wawili so mamake tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…